Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ila shoga angu kiboko khaa, warumi mie napenda ushirikina ila shoga angu umezidi, kwa hiyo wewe na kina wema na lulu kila wiki nyie mnaenda kuroga? Kwa hiyo na nyie kwenu ilikua kama ibada kila...
15 Reactions
82 Replies
16K Views
Baada ya mwanadada Jokate Mwegelo kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya kisarawe picha ya mtangazaji "Mussa Kipanya" akiwa na Jokate Mwegelo miaka hiyo enzi za ujana wao imeibuliwa na kusambaa kwa...
7 Reactions
104 Replies
28K Views
Msaada kwenye tuta... Natafuta lyrics ya wimbo wa JOSE MTAMBO FT BELLE 9_Naongea na roho. Napataje wadau,au kuna mwenye uwezo wa kushusha hata vesi 1 tu. Asante. #forgive me.
0 Reactions
4 Replies
441 Views
KIMEUMANA🚨‼️ Hii imetoka kwa Rapa kutoka Kanada, Nav mke wa Nav ameshikwa na sitofahamu baada ya kuwasilisha kesi ya talaka akihitaji kupewa nusu ya utajiri wa Nav ambao ni zaidi ya dola milioni...
12 Reactions
37 Replies
2K Views
Mrembo Loveness Tarimo ambaye ni Miss Fitness 2019 amezua gumzo kuhusiana na jinsia yake. Wengi hawaamini kama Love ni mwanamke kulingana na namna anavyojiweka ,sauti yake ,kifua chake ,mpaka...
14 Reactions
99 Replies
13K Views
Huyu jamaa anajiita Manara anaoa kwa lengo la kujipatia pesa Ila sio ili akae na mwanamke . Naomba wadau kuanzia Gsm, wasafi na serikali msinchangie tena Manara Endapo akitaka kuoa mwambieni...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
Inadaiwa Haji na Mkewe Zai, wanamtuhumu MaiMartha Jesse kwa kumtusi Mkewe Zailyisa kupitia mahojiano na Online Tv yake ya Mai Tv, kuwa ni mwanamke asiyefaa kuwa mke wa Mtu kutokana na kitendo...
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Hamisa Mobetto ajitabiria kuwa baada ya miaka mitano atakuwa mwanamke wa ndoto yake, atakua kiuchumi, mwenye furaha na aliyefanikiwa Baada ya kutoa kauli hiyo walimwengu wameenda mbali na kusema...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
mkali wa morning routine tayari duniaini Dunia inamtambua
2 Reactions
4 Replies
529 Views
Bibie sasa anataka kuweka Hadharani Jambo lako na yule Tajiri wa Dubai (sasa Marehemu) na Tajiri wako wa sasa Dar es Salaam. Haji Manara kwa bahati mbaya Wanahabari wengi (hasa wa Michezo) wanajua...
19 Reactions
75 Replies
6K Views
NI kijana mdogo mwenye ndoto kubwa ya kufanikiwa kimuziki. Anajiona anaweza, wanaomsikiliza pia wanamwambia anaweza japo hawakosekani wa kumsema kwamba analazimisha fani. Kuambiwa huwezi ni kitu...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
"Namshukuru Mungu kwa kunitoa gizani na kunielekeza kwenye mwanga. Ilikuwa uamuzi mgumu sana, lakini leo nimesimama nikiwa na nguvu zaidi na nimejaa azma kuliko wakati wowote. Nimebarikiwa na...
8 Reactions
46 Replies
3K Views
Tuseme tu ukweli, couple ya Haji Manara na ZaiyLissa ni couple inayokuwa kwa kasi sana na wakiendelea hivi hivi huenda ndio ikawa couple yenye mvuto zaidi hapa nchini. Zai na Haji wanapendezana...
11 Reactions
143 Replies
14K Views
Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hakiwezi kufichika . Inaonekana Zainabu fundi sana naona ndugu yetu Haji Manara kakolea na penzi analopewa na Zai mpaka kaamua kuvunja kiapo chake cha...
7 Reactions
106 Replies
11K Views
Leo imekua siku chungu kwa Manara, wakati Simba akivuka robo fainali kwenda Nusu Fainali Mke wake nae kavuka kutoka ndani ya nyumba mpaka mtaaani
16 Reactions
325 Replies
20K Views
Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali. Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi...
126 Reactions
768 Replies
66K Views
Wazoefu mtwambie, Huyu mwanamama KISSA SINS atakua anakula lishe ya namna gani, Maana ni amegoma kabisa kuzeeka. Miaka inaenda bado namuona yuko vile vile tu😊
8 Reactions
33 Replies
3K Views
Wasalaam wakuu, Niko katika harakati za kutafuta mtu wa kuishi naye maisha yote nitakayoishi kwenye hii sayari. Kuna huyu dada anatanganza Morning Trumpet wa Azam TV, ana sura nzuri, rangi safi...
13 Reactions
76 Replies
16K Views
Habari, Jana msanii tajika sana nchini Tanzania, Afrika Mashariki na kati na pengine kuliko wote kusini mwa jangwa la Sahara Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, alisaini dili kubwa na...
11 Reactions
65 Replies
11K Views
Baada ya kutizama kwa kina nyimbo za Diamond Platnumz zilozofungiwa na BASATA, Hallelujah, Wakawaka na nyinginezo sikuona kosa la kimaadili Miaka ya nyuma BASATA ilichukua uamuzi wa kufungia...
1 Reactions
11 Replies
833 Views
Back
Top Bottom