Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa kichwa kinavyosomeka hapo juu
Wale magwiji na wababe wa vita za kiait huko inster wamefutilia mbali acount zenye wafuas wengi za kimbeya mbeya
Acount ya...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Kuna huyu bwana mdogo dimond licha ya kutumia nguvu kubwa lakin zinapotea bure tu
Jamaa anabebwa lakin habebek kabisa...
Mchekeshaji kutoka Timamu, Mama Ashura amesema hakuumizwa na maneno makali katika mitandao ya kijamii kutoka kwa mashabiki wa Alikiba baada ya kumkosoa msanii huyo kwa kukaa muda mrefu bila kutoa...
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha...
Wadau
Ray C yupo live TBC akiwa Mlimani City ana perform kwenye tamasha la Dar fresher's day.
Ukweli yupo vizuri sana tofauti na niliaminishwa hapo awali.
Mungu azidi kumtia nguvu na afya.
Hii ni orodha ya wasanii ambao kwa mwaka huu umekua mzuri kwao, nikimanisha ndio wanaongoza kwa kulipwa pesa nyingi..
Namba 10- Le Bron James mchezaji kikapu mahiri mwaka huu kaweka kibindoni...
Ndo maana ni vigumu kuona mweusi akiwa sehem ya mamlaka akamnyanyua mweusi mwenziye kwa kumpa tenda atampa mtu wa rangi tofauti tuu ndo maana nchi yetu uchumi umetawaliwa kwa %80 na watu wenye...
Mara nyingi kipindi cha hivi karibuni amekuwa akitoa Audio ambazo huwezi kusikiliza mara mbili sikioni tofauti na mwnzake king kiba
Domond amekuwa akiuza sana kupitia vidio tofauti na Audio maana...
Ulishawahi kujiuliza kwamba maisha yatakuaje kama ungekua na utajiri wa Bilioni 900 za kitanzania.? Fikiria umeipata hicho kiwango kwa siku moja au kwa kujumuisha miaka yako yote..utazitumiaje...
Ipi kati ya maumivu per day (kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya kariakooo) na hii ya waka waka ( kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya tandare) ambayo platnumz kamshirikisha yule mvuta...
habari za majukumu wana jamvii..?
kama kichwa cha uzi kinavojieleza.
Nina ka hotel kangu huko mikoa ya pwani.Tokana na wimbi kubwa la wateja wangu wanapenda singeli.Nimeonelea hawa wasanii...
Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond...
Bilionea wa Jiji la Dar es Salaam ambaye kwa sasa amekuwa gumzo Dkt Louis Shika aliyejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara maarufu, Said Lugumi...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Usiku wa jana palikuwa na tuzo za dunia huko uingeleza london
Wasanii kutoka afrika walikuwa wanashindania tuzo mbili ambazo ni kipengere cha msanii bora wa...
Msanii kutoka label ya king's music inayomilikiwa na Ali Kiba aitwae Abdukiba anatoa wimbo iitwayo Single. Akiwa amemshirikisha AliKiba.
Nimeona vipande vya hiyo video ni nyimbo mbaya haijawahi...
Mmoja kati ya vijana wa yamoto band (mkubwa na wanawe) Maromboso yupo kimya sana tofauti na wenzake kama Aslay, Beka flavour, Enock wote wametoa nyimbo as solo artist. Lakini bado maromboso...
Frola Mtegoa.
MAMA wa staa wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema kuwa, kutokana na matatizo yaliyompata staa wa filamu Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya kuhukumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.