Mambo niaje,
Leo katika sakasaka mitaa ya Kijitonyama kwa Alimaua nikaambiwa kuna mahali inafanyika harusi rasmi ya shishi na dia wake uchebe nikadhan kuna pilau. Kufika pale nimekutana na ndugu...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Chomoka na kichwa cha story hapo hewan mwanawane
Naweka mambo sawa kwanza mimi ni team hapa kaz tu, team mama angelina mabula na team yanga mtoto wa london...
habari wadau..
nazani wote tunaona kishindo alichokuja nacho dogo diamond plutnumz toka wimbo wa mbagala ulivyomtoa... hajarudi nyuma tena ni hit by hit mpaka kushika tanzania nzima na baadae...
Mama kanumba afunguka Jinsi Wema Sepetu alivyofaa kuolewa na kanumba kwa kuwa alikuwa mstaarabu na alikuwa akivaa kiheshima sana alipokuwa akimtembelea. shilawadu walimuuliza atajisikiaje wema...
Kayathibitisha hayo kwenye sherehe ya harusi ya Rommy Jons ambaye ni official dj wa Diamond. Babu Tale kauambia umma kupitia sherehe hiyo kuwa harusi ya Diamond na Zari ndo inayofuata baada ya...
Cassper Nyovest ni ushahidi usemi ‘mcheza kwao hutuzwa.’ Rapper huyo Jumamosi aliweka rekodi ya kwanza nchini humo kupita show yake Fill Up FNB Stadium kwa kuuza tiketi 68,000.
Ingawa lengo lake...
Kusemazana ukweli hii tuzo nyumbu wamempendelea, wapi hamisa, wapi Lulu, wapi Wolper? Nadhani hao niliowataja kwa kweli kwenye suala la mitupio ndio wanaongoza, wema sepetu hana kitu, ila kama...
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Timbulo amesema wasanii wa Bongo wajifunze kutoa kazi zao kwa lengo la kujitangaza nje ya nchi kuliko kutengemea wasanii wa nje ambao muda mwingine hawana mchango...
Diamond Platnumz second baby mama, Hamisa Mobetto is currently in Nigeria for a beauty pageant and while there, she took to Snapchat and made this post;
"The most beautiful girl in Nigeria is...
WAKATI akisubiri kufunga ndoa na mchumba wake, Uchebe Ashraf siku chache zijazo, staa wa muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ yu gonjwagonjwa, Ijumaa Wikienda limedokezwa.
Chanzo makini ambacho...
Imemfuatilia huyu ngoma zake ..hasa hii ya sasa kali sana..
Tatizo ni nini. Media zinmpotezea ... Hana promo... Au management.
Au upepo wa kiba na mondi unawaficha kama hawa.
Sikia ngoma hii...
Utendaji wa kazi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar Mheshimiwa Paul Makonda na Gavana wa Nairobi Mike Sonko hauko tofauti jinsi Mheshimiwa Makonda anavyoshughulikia huduma za kijamii kwa wakazi wa Dar hamna...
Msanii Ruby ameonyesha kufurahi sana baada ya mzungu kutoka italy akiimba wimbo wa ruby akapela uitwao na Yule. Rubby amepost akionyesha kufurahia sana. Wazungu wa Italy waliupokea vizuri sana...
Baadhi ya mashabiki amekuwa wakishikilia tafsiri yao ambayo ni tofauti na ile iliyokusudiwa na msanii husika. Hapa jamvini nimeleta ngoma kadhaa ambazo tunaweza kuzijadili;
Rostam – Kiba_100...