Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mambo niaje, Leo katika sakasaka mitaa ya Kijitonyama kwa Alimaua nikaambiwa kuna mahali inafanyika harusi rasmi ya shishi na dia wake uchebe nikadhan kuna pilau. Kufika pale nimekutana na ndugu...
2 Reactions
30 Replies
6K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Chomoka na kichwa cha story hapo hewan mwanawane Naweka mambo sawa kwanza mimi ni team hapa kaz tu, team mama angelina mabula na team yanga mtoto wa london...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Huyu jamaa userious kwenye mziki unapotea vidio vidio tu hazitakusaidia kitu dimond Kiukweli hii wakawaka audio ni upuuzi tu bora hata sikomi mara mia
1 Reactions
37 Replies
4K Views
habari wadau.. nazani wote tunaona kishindo alichokuja nacho dogo diamond plutnumz toka wimbo wa mbagala ulivyomtoa... hajarudi nyuma tena ni hit by hit mpaka kushika tanzania nzima na baadae...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Nimeupenda naona sauti ni mbongo ila video wahindi naomba kujua sauti hiyo ni msanii gani na jina la wimbo
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Mama kanumba afunguka Jinsi Wema Sepetu alivyofaa kuolewa na kanumba kwa kuwa alikuwa mstaarabu na alikuwa akivaa kiheshima sana alipokuwa akimtembelea. shilawadu walimuuliza atajisikiaje wema...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kayathibitisha hayo kwenye sherehe ya harusi ya Rommy Jons ambaye ni official dj wa Diamond. Babu Tale kauambia umma kupitia sherehe hiyo kuwa harusi ya Diamond na Zari ndo inayofuata baada ya...
2 Reactions
43 Replies
7K Views
Naona jamaa wanacheza na Dully Sykes anacheka cheka tu wimbo mzima. Alielewa anisaidie hata baadhi ya sentensi alizozielewa
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Cassper Nyovest ni ushahidi usemi ‘mcheza kwao hutuzwa.’ Rapper huyo Jumamosi aliweka rekodi ya kwanza nchini humo kupita show yake Fill Up FNB Stadium kwa kuuza tiketi 68,000. Ingawa lengo lake...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kusemazana ukweli hii tuzo nyumbu wamempendelea, wapi hamisa, wapi Lulu, wapi Wolper? Nadhani hao niliowataja kwa kweli kwenye suala la mitupio ndio wanaongoza, wema sepetu hana kitu, ila kama...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
Sasa 12:15 ya jioni yupo live clouds TV majanga tu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naona jamaa wanacheza na Dully Sykes anacheka cheka tu wimbo mzima. Aliyeelewa anisaidie hata baadhi ya sentensi alizozielewa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Timbulo amesema wasanii wa Bongo wajifunze kutoa kazi zao kwa lengo la kujitangaza nje ya nchi kuliko kutengemea wasanii wa nje ambao muda mwingine hawana mchango...
8 Reactions
46 Replies
8K Views
Diamond Platnumz second baby mama, Hamisa Mobetto is currently in Nigeria for a beauty pageant and while there, she took to Snapchat and made this post; "The most beautiful girl in Nigeria is...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
WAKATI akisubiri kufunga ndoa na mchumba wake, Uchebe Ashraf siku chache zijazo, staa wa muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ yu gonjwagonjwa, Ijumaa Wikienda limedokezwa. Chanzo makini ambacho...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Imemfuatilia huyu ngoma zake ..hasa hii ya sasa kali sana.. Tatizo ni nini. Media zinmpotezea ... Hana promo... Au management. Au upepo wa kiba na mondi unawaficha kama hawa. Sikia ngoma hii...
2 Reactions
46 Replies
11K Views
Utendaji wa kazi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar Mheshimiwa Paul Makonda na Gavana wa Nairobi Mike Sonko hauko tofauti jinsi Mheshimiwa Makonda anavyoshughulikia huduma za kijamii kwa wakazi wa Dar hamna...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msanii Ruby ameonyesha kufurahi sana baada ya mzungu kutoka italy akiimba wimbo wa ruby akapela uitwao na Yule. Rubby amepost akionyesha kufurahia sana. Wazungu wa Italy waliupokea vizuri sana...
2 Reactions
41 Replies
10K Views
Baadhi ya mashabiki amekuwa wakishikilia tafsiri yao ambayo ni tofauti na ile iliyokusudiwa na msanii husika. Hapa jamvini nimeleta ngoma kadhaa ambazo tunaweza kuzijadili; Rostam – Kiba_100...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…