Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Leo tarehe 22/12/2017 ni siku maalumu sana kwa Watanzania wote kwani ni kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dk John Pombe Maguguli.
Nichukue fursa hii kumtakia kila la kheri pamoja na kumuombea kwa Mungu ili amzidishie nguvu, ujasiri, uvumilivu na baraka tele aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu ya kumshauri na kumsaidia Mh Rais wetu mpendwa anayeongoza mapambano dhidi ya ufisadi.
Mungu akubariki sana Mh Kasimu Majaliwa.
Happy Anniversary!
Leo tarehe 22/12/2017 ni siku maalumu sana kwa Watanzania wote kwani ni kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dk John Pombe Maguguli.
Nichukue fursa hii kumtakia kila la kheri pamoja na kumuombea kwa Mungu ili amzidishie nguvu, ujasiri, uvumilivu na baraka tele aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu ya kumshauri na kumsaidia Mh Rais wetu mpendwa anayeongoza mapambano dhidi ya ufisadi.
Mungu akubariki sana Mh Kasimu Majaliwa.
Happy Anniversary!