Leo tumalize ubishi; Ni msanii gani mkali kuliko wote pale WCB?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,427
21,118
Muda mrefu kumekuwa na minong'ono ya chinichini kwamba kuna baadhi ya wasanii pale WCB wana uwezo mkubwa tatizo nyota wengine uwezo wao mdogo ila wanabebwa na kiki.


Wapo wanaodai Rayvann ndiye msanii mkali kuliko wote pale WCB, wapo wanaodai Richi Mavoko ni shiiiida yaani anajua mpaka anakera, vilevile wapo wanaovutiwa na uwezo wa uimbaji wa Lavalava pia wapo wanaodai Konde Boy Harmonize uwezo wake sio wa nchi hii .

Bila kusahau wapo wanaodai uwezo wa Diamond Platinums Chibu D Chibu De a.k.a Simbaaaa ni hakunaga kama yeye Tangu dunia iumbwe.


Screenshot_2017-09-08-19-10-03.jpg
Diamond Platnumz

Screenshot_2017-09-08-19-10-20.jpg
Rayvann

Screenshot_2017-09-08-19-10-35.jpg
Konde boy Harmonize

Screenshot_2017-09-08-19-11-04.jpg
Mavoko

Screenshot_2017-09-08-19-12-38.jpg
Lavalava.


Haya sasa tiririkeni.
 
Back
Top Bottom