Kila mtu huwa na mawazo ya kibiashara bila kupinda clouds radio na television pia ea adio na eatv ndizo channels bongo zinazoongoza kwa kuwa jihusisha na issues za vijana especially musicKumekucha mawingu na Wasafi ila hii tabia ya kuzima vipaji na riziki za watu Kutokana na sababu Binafsi ni ungese tuu
Ruby alikuwa bonge la icon
Jide " pia
Sugu pia
Now mondii
Ngoja tuone mwishowe lakini mtu aliyeshindwa kuwa na msimamo wa maisha kuanzia familia ndogo ya mke na watoto
Kundi kubwa ndo ataweza kweli shubamit
KWA AKILI YAKO HUYU MKATA VIUNO ANAWEZA KUMPIGA MTU hata kofi km hajasema "kalale nacho;huyu mgambia bwana...kwahiyo Mondi ndo alimtuma afanye vile...kutaka kumuingiza Mondi wa watu kune ujinga wake...angekua na hekima angeomba tu radhi yakaisha...au angeuchuna tu...sio kuanza kumdrag Chibu kune upuuzi wake...
Sijaona ulazima wa Diamond kuanzisha media. Biashara zipo nyingi na zinazolipa kwa kutumia media hizi hizi zilizopo. Sidhani kama alipata ushauri mzuri *sana* kabla ya kulipitisha hili.
Acha umbea..hiyo biashara nzuri mbona we huna?Sijaona ulazima wa Diamond kuanzisha media. Biashara zipo nyingi na zinazolipa kwa kutumia media hizi hizi zilizopo. Sidhani kama alipata ushauri mzuri *sana* kabla ya kulipitisha hili.
Kumbe Mgambia?Huyu Mario Mghambia mbona anafuka fuka tu,aache sasa kukata mauno aungane na BiMdashi amfundishe biznes.