Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwakyembe amesema kuna baadhi ya wasanii ambao walianza kufanya uhuni ndani ya mitandao akiwemo mwanamuziki nyota wa muziki, Diamond ambae tayari amekamatwa na Jeshi la Polisi na anahojiwa...
8 Reactions
198 Replies
38K Views
Nimekuwa nikijiuliza hili swali siku nyingi sana Hivi yule mkali Wa Hasara roho,muziki,usikate tamaa A.k.a Darassa yuko wapi jamani? Mliopo Dasilamu mtusaidie sisi wa mikoani Darassa Amepotelewa...
2 Reactions
67 Replies
14K Views
Ndoa ya mwanamuziki Alikiba na mchumba wake Amina inatarajiwa kufungwa kesho alfajiri katika msikiti wa Ummul Kulthum ulioko eneo la Kizingo jijini Mombasa. Mama wa bibi harusi mtarajiwa, Bi...
3 Reactions
54 Replies
7K Views
Salam, Moja kwa moja niende kwenye mada, kila mtu sasa anajua kuhusu kuvuja kwa video ya faragha ya wasanii Nandy na Billnas. Kwenye ile video Nandy mwenyewe, mhanga mkuu, anaonekana ndo...
16 Reactions
155 Replies
20K Views
1. JAY Z : Baada ya kua namba 2 kwa kipindi kirefu kidogo hatimaye Jay Z karudi tena namba moja na utajiri wa pesa za kitanzania Trilioni 2 na Bilioni 25.. shukrani ziende kwenye uwekezaji...
1 Reactions
62 Replies
13K Views
mwananchi_officialMuigizaji Elzabeth Michael 'Lulu', anaisheherekea siku yake ya kuzaliwa kupitia wawakilishi wake katika Hospital ya Taifa Muhimbili na watoto wenye vichwa vikubwa. Lulu...
0 Reactions
80 Replies
13K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes, ametoa ya moyoni baada ya kutoalikwa harusi ya msanii mwenzake Alikiba, ambaye kwa asilimia kubwa amehusika kwenye sanaa yake ya muziki mpaka...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Haya Haya Sasa Kumechuka Diamond Ameanza Kuachia Video Akiwa na Mpenzi mpyaa! Ameamua athibitishe Kwa Vitendo kuwa Ameachana Na Mzazi Mwenzie Zari The Bosslady Diamond Amepost videos akiwa na...
5 Reactions
193 Replies
29K Views
Mwanamasumbwi mwenye sifa, mikogo na majivuno makubwa nchini Marekani, Floyd Mayweather amekuja na jipya wiki hii baada ya kudai anaweza kuinunua klabu ya Newcastle United ambayo ipo sokoni kwa...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Kama ulikuwa mfatiliaji mzuri wa stori ya Janjaro kujifanya mwanamke kwenye video yake basi utakumbuka kuwa watu wengi walimpiga vita kufikia hatua ya kutakiwa asifike Arusha na ndipo Enewz...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Akizungumza muda mfupi tu uliopita katika mahojiano na Kituo kimoja cha Television Msanii Peter Msechu amesema kwamba kama kuna kitu ambacho amejifunza kwa Watanzania basi ni tabia zao kubwa mbili...
18 Reactions
45 Replies
5K Views
Msanii wa Muziki Bongo, Nandy amesema anaweza ku-date na Bill Nass ila siyo Dogo Janja kutokana na urafiki wao kuwa wa karibu zaidi. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma...
1 Reactions
54 Replies
12K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes, ametoa ya moyoni baada ya kutoalikwa harusi ya msanii mwenzake Alikiba, ambaye kwa asilimia kubwa amehusika kwenye sanaa yake ya muziki mpaka...
1 Reactions
31 Replies
12K Views
Chama kubwa la WCB Leo wameachia wimbo bora wa Kwangwaru wa kijana Chinga boy aliomshirikisha boss wake Diamond saa 10 jioni hii kupitia TV yao wa Wasafi. Nyota yake Harmonize inazidi kung'aa...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Mwanamziki Diamond platnumz amepata dili tamu zaidi kutoka kwa bank moja hapa bongo BANK OF AFRICA (BOA),adai zile video za jana ilikuwa beleare here beleare there tu ila now yuko poa kwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Yawezekana nisiwe chochote kwako lakini si vema ukapuuzia kila unachoshauriwa. Nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu, si shabiki tu bali mtu ninayesupport pia kazi zako. Mie si muhudhuriaji hata...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amempa nasaha za maisha ya ndoa na ujana, Ali Kiba ambaye yuko kwenye harakati za kufunga ndoa hivi karibuni. Ingawa taarifa za awali kutoka Mombasa zimekuwa...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
Kwa mara ya kwanza baada ya kutopiga ngoma za Wcb kwa mda mrefu Tv E inayosimamiwa na majizo saa 11 jioni ya leo imeonesha hii video ya konde boy, hii ndio kumaanisha wameyamaliza bifu zao au Dj...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wadau.. Naamini media nyingi za tanzania zimegundua umuhimu wa diamnond kwenye tasnia ya habar hususan udaku udaku na mambo mengine.. Diamond ni brand kubwa saana ambaya kuipuuzia katika...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni yule dingi wa filamu maarufu ya FULL METAL JACKET ikieelezea story ya makuruta wanaojinoa kupambana ktk vita ya Vietnam vs US...anafahamika sana kwa kumhenyesha Private Pyler na Private...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…