Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Mwanamziki Diamond platnumz amepata dili tamu zaidi kutoka kwa bank moja hapa bongo BANK OF AFRICA (BOA),adai zile video za jana ilikuwa beleare here beleare there tu ila now yuko poa kwa kazi..mna maoni gani wadau kwa huyu kiumbe na walompa hili dili,jana tu ametukanwa amedhalilisha wanawake,halafu leo amekomba mamilioni ya ubalozi,karibuni.