Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Samahani nauliza: Hivi huyu Mrisho Mpoto kwanini havaagi viatu?! Unajua simwelewagi kabisa huyu mtu?! Kuna siku nilikutana nae pale Makumbusho anapekuaaa skunyingine nimekutana nae Posta mpya...
0 Reactions
107 Replies
15K Views
1 Reactions
41 Replies
6K Views
UCHAMBUZI WA WIMBO JINA LA WIMBO: SIKOMI MSANII : DIAMOND PLATNUMZ UTANGULIZI Diamond Platnumz ni msanii wa muziki wa kizazi kipya (bongofleva) kutoka Tanzania. Anaiwakilisha nchi yake na fasihi...
15 Reactions
32 Replies
17K Views
Akiwa mdogo alipendelea kwenda malishoni kuchunga mbuzi, Akiwa na miaka 7 tu, aliwapeleka koondoo na mbuzi milishoni kila mifugo hao wakifika eneo moja kila siku wakaonja majani.ya mmea...
1 Reactions
44 Replies
10K Views
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Wana JF MMU leo nimepitapita huku na kule social mediani duh ! kumbe mapemzi huwa...
2 Reactions
121 Replies
17K Views
Beyonce ameanzisha dini yake..Watu wanamuabudu yeye kama muungu wao.. Wasio jua maandiko wanamlaani Beyonce ..They think they know better than Beyonce .. In the Bible at Psalms 82 : 6 God is...
5 Reactions
105 Replies
13K Views
Hakuna kesi ngumu Dunani Kama ya kusuluhisha wapendanao Mke anaongea yake Mume anaongea yake Mwisho wa siku kitanda ndio kinaamua Kama wanapendana au la Ushauri: Wadogo zangu Giggy Money...
3 Reactions
54 Replies
10K Views
Jumamosi iliyopita ilishuhudiwa sherehe kubwa ya harusi iliyoteka dunia kwa muda iliyokuwa inamuhusu Prince Harry na mpenzi wake wa muda mrefu Meghan Markle. Ndoa hiyo ilihudhuriwa na wageni...
0 Reactions
52 Replies
8K Views
Rayvany msanii wa wasafi classic chini ya diamond platinumz anayetamba kwa wiimbo wa Pochi nene. Ametoa free style matata akiwatani mke wake, harmonize, sarah na muarab fighter. It was joke and...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
KWa wale vijana wenzangu wa zamani wanaweza kushangaa kidogo kama kweli kundi hili lililowahi kutamba sana miaka 35 iliyopita na vibao kibao kama vile Chiquitita, Money Money na nyingine kibao...
5 Reactions
39 Replies
8K Views
America supermodel huyo atatua Bongo kuja kupumzika na kutembelea vivutio mbali mbali vya kitalii. Chanzo: The Guardian #TanzaniaUnforgettable
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Moja ya advantage kubwa ya kuwa member wa JF . Habari za mwanzo kabisa kutoka Windsor zinasema baada ya Prince Harry na Meghan kuangalia ni nchi gani watakaa fungate yao barani Afrika,hatimaye...
15 Reactions
84 Replies
9K Views
Baada ya kuzozana kwa muda mrefu Mwijaku na Mwenzie hatimae wimbo waliokua wanaupa kiki watoka hii ina maanisha kwamba ilikua ni mzozo feki kati ya vijana hao wawili kuupa kiki wimbo wa Mrisho...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Sheikh maarufu hapa nchini Hilali Shaweji Makarani maarufu kama Sheikh Kipozeo hatimaye ametambulishwa rasmi Wasafi TV kuwa ndiye atakayeongozwa mafundisho yanayohusu mwezi huu mtukufu wa...
8 Reactions
46 Replies
12K Views
Masista duu wanaosumbua kwenye mitandao ya kijamii, zari the bosslady (Uganda) , pamoja na Vera Sidika(Kenya) wamekutana na kupiga picha ya pa moja baad ya muda mrefu kudaiwa kuwa kwenye bifu la...
6 Reactions
93 Replies
21K Views
Toka unyang'anywe mke na Mwinjaku imekuwa vilio visuvyokuwa na kikomo huko insta, wewe ni mwanaume usililie mwanamke hizo zama zimeshapitwa na wakati.
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Samahani mimi kama Mzalendo naomba niulize wale wazalendo wanaopenda maendeleo wenzangu. Hivi kweli Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote ni wa kuuza Karanga kweli? Yani na ma Exposure yote...
4 Reactions
84 Replies
14K Views
Nimesoma habari hii katika mtandao fulani wa kijamii ukidai kuwa lulu muigizaji maarufu kuwa ametoka akiwa na kitumbo. Sasa ninajiuliza aliempa hicho kitumbo ni nani kama ni kweli?
1 Reactions
33 Replies
7K Views
Yaani Kagera Sugar wametoboa tundu la Simba? Mr. President hapa kaenda too far
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Eti aeleza alivyomvua wigi na kumtupia viatu nje Madale, asema anamchukia ile mbaya ch akuchekesha sasa eti amemsifia Zari. Ubuyu wa moto moto unasema kuwa baada ya kuvuma kwa taarifa mitandaoni...
1 Reactions
108 Replies
20K Views
Back
Top Bottom