aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
huyu dada kwanini anakomaa tu na Diamond na sio majizzo aliyezaa nae mtoto wa kwanza? Kama utajiri mbona majizo ana pesa kuliko daimond? Au anafuata jina? Ama sababu Lulu alimtoa kwenye reli na yeye anataka amtoe zari? Ambaye diamond alimtoa ivan ?
Halafu huyu dada na yeye anachembe chembe za kutotulalia mtu amezaa na majizzo 2015 then na 17 na diamond? Inamaanisha kuwa mtoto aliyezaa na majizo akiwa na mwaka 1 tu alianza kubanduliwa na mondi
Anasema yeye na mondi walianza zaman sasa ilikuwaje wa 1 akazaa na majizzo?
Usipojielewa utahisi kila jambo unaonewa
Halafu huyu dada na yeye anachembe chembe za kutotulalia mtu amezaa na majizzo 2015 then na 17 na diamond? Inamaanisha kuwa mtoto aliyezaa na majizo akiwa na mwaka 1 tu alianza kubanduliwa na mondi
Anasema yeye na mondi walianza zaman sasa ilikuwaje wa 1 akazaa na majizzo?
Usipojielewa utahisi kila jambo unaonewa