Msanii wa kibongo anayechipukia aitwae Davista, ameomba kwa mtu yeyte mwenye connection na msanii Tekno aweze kumfanyia mchakato akutane nae kwa maana anaamini kutokana na kufanana kwao kwa kiasi...
Binafsi naiheshimu sana sanaa kwani ni ubunifu ambao mtu anajigundua nao kisha anautumia kwa kujitafutia ridhiki huyu mchekeshaji maarufu kama MC pili pili nimemuona kwenye video moja inayozunguka...
Habari.
Jana nimesikiliza kipindi cha Ala za Roho ambacho kinaendeshwa na Diva wa Clouds FM. Pamoja na yote aliyoyandaa lakini nilijiuliza sana kwa kile anachokiita Diva Charity kwa maana ya...
wadau bila kupepesa , huu mwaka harmonize ndiye kafanya kazi zilizotrend, ukipita mikoani unagundua harmonize ana fanbase almost sawa na diamond, inawezekana ndiye mrithi wa diamond,
Yamoto band ni kundi lililotikisa sana miaka michache ya nyuma hapa bongo... liliundwa na vijana machachari wenye mashairi pendwa kwa rika zote. Baada ya hilo kundi kuvunjika kila msanii alianza...
Woyoooo niaje?!
Nigerians once again wametisher
movie ya Kwanzaa Africa kuingia Netflix imetokea Nigeria inaitwa Lion Heart
Jamaica Bongo Movie tutaingia Netflix lini? !
Roho inaniumaje? !
wapi...
Kuna mambo nayasikia Sana kuhusu mateja wanaokula unga.kwamba Hawa mateja waliochoka wachafu wanakula unga mchafu.Lakini wapo wenye hela zao wengi tu wanakula unga.
Research yangu fupi nikaifanya...
Habari zenu wakuu!
Nimefikiria kitu kuhusu huyu jamaa, katika tasnia ya mziki hapa Tanzania! Huyu jamaa yupo vizuri, ukisikiliza nyimbo zake kuna tungo nzuri kwa lugha yetu ya kiswahili fasaha...
Baada ya tuhuma nzito ya kutelekeza mtoto Munah Love ameamua kumfuata Mwanae BRYAN akiwa ameambatana na Masanja!
Hii imekuja baada ya mwanadada huyo kushambuliwa na mashabiki zake kuwa...
Simba au dangote wa miaka mitatu iliyopita sio huyu wa sasa nadiriki kusema kageuka paka sio simba tena.
Simba wa zamani ilikuwa ni ngumu kumkuta bongo ratiba yake ilikuwa booked almost the whole...
Bondia Floyd Joy Money Mayweather amethibitisha kurudi ulingoni desemba mwaka huu kuzichapa kwa mara ya pili na Manny Pacquiao.
Katika pambano la mara ya kwanza Floyd aliibuka mshindi kwa...
Jamani naomba kuuliza, kuna yule jamaa aliyekua ni mtangazaji wa Redio 1 kipindi cha nyuma kwa jina Misanya Bingi hivi kaendaga wapi? kuna mtu anataarifa zake nikazipata? Asanteni.
Asubuhi unasema "...hilo lilitarajiwa " kuhusu ushindi wa CCM.
Sidhani kama maadili yako ya kazi yanakuruhusu kuonyesha unazi hadharani kwenye media yenye diversity of audience. Rejea maadili...
Msanii aliyekuwepo kundi la wakali kwanza aliyekuwa anafahamika kwa jina la QJay ameingia kwenye wimbi la madawa y kulevya.
Q Jay amekuwa mlevi kupindukia na anatumia madawa ya kulevya.
Uteja...
Wakati Diamond alivokuwa anatoka kimziki alikuwa ana uhitaji wa dancers lakini nyimbo zake za siku hizi hahitaji tena dancers mfano nyimbo alizotoa hivi karibuni, dah wanahuzunisha kweli ata trip...
Mpoki ni mchekeshaji mzuri na kwa kweli ana kipaji au karama ya kazi hiyo.
Ametuchekesha na kuyuelimisha muda mrefu na jina lake lilivuma zaidi wakiwa original comedy pale EA Radio na kubwa lao...