Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wakuu... Napenda kuwakaribisha kuasikiliza wimbo wangu wa kwanza kabisa kuuachia uitwao 'you are the one' kupitia youtube channel yangu hapa Maoni yanahitajika pia, wapi nimeboronga, nirekebishe...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari zenu wakubwa zangu na wadogo zangu ? Mimi bana ni mpenzi wa dabriusibi ..bana pale mziki akuna tena anaye baki anaimba vitu vya kueleweka na ndo new king wa bongo f ni Harmonize konde boy...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari Wakuu!! Sasa uyu msanii wetu wa kimataifa #chibudii chibudee a.k.a simba au dangote.uyu jamaa ni msanii kweli kweli sio tu katika muziki au biashara ya muziki ama kujiamini kwake kutekeleza...
1 Reactions
115 Replies
19K Views
JAMAA amenikumbusha mbalii SANAA yaaani katoaa ya MOYONI Unafiki hajuiii
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwanamtandao mashuhuri na machachari Afrika Mashariki based in LA Mange Kimambi amesema Zari bado hajamove on na kumuacha Diamond Platnumz. Akichangia post mojawapo Instagram kwenye page ya the...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
1. Alipouawa, mwili wake uliteketezwa kwa moto (kwa mujibu wa tamaduni zao), cha ajabu wafuasi wake wa "outlaws" walichukua majivu yake, wakachanganya na bangi na kuvuta! 2.Neno lake la mwisho...
15 Reactions
305 Replies
80K Views
MWANAMUZIKI mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY’, ambaye wimbo wake wa Microphone aliomshirikisha Fareed Kubanda ‘FID Q’ ndiyo mpya kwa sasa, amefunguka siri ya kuamua kuishi...
37 Reactions
439 Replies
52K Views
Kwanza hongera,show ya mtwara wewe ndiye ulikuwa star,ndugu yetu aliiingia akiwa amelewa kabisaaa mapombe sijui ecstacy anajua mwenyewe kaka ulivyoimba nyimbo za lucky dube kwanza hongera ulini...
15 Reactions
18 Replies
5K Views
Ni wimbo mpya wa safari najiuliza kwanini hajaenda wasafi wakati meneja wa AY ni mwarabu aliyezamia Tanzania Sallam
3 Reactions
35 Replies
7K Views
Nasikiliza album mpya ya Nikki Mbishi titled Sam Magoli, kwenye hii album kuna ngoma inaitwa Where my crown at inayoonekana ni direct dis kwa Wakazi, kwa fan yeyote hahitaji kutumia nguvu...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
MWANAMUZIKI Miguel Jontel Pimentel (33) kutoka San Pedro amefunga pingu za maisha na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu, Nazanin Mandi, toka California Santa Susan (32), California, Jumamosi...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
NYOTA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando amesema hakuna jambo jema alilojifunza tangu abadili dini kutoka kwenye Uislamu na kuwa Mkristo zaidi ya ‘ugaidi' wa kiroho mbaya na sasa...
5 Reactions
136 Replies
56K Views
Mchungaji Daud Mashimo wamewadhamini msanii Amber Rutty na mpenzi wake Said Bakary, katika Mahakama ya Hakimu Makazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Wawili hao walikuwa wanashikiliwa kwa kusambaza...
9 Reactions
88 Replies
18K Views
KAMA nakuona vile, unaringia gauni la dukani unasahau kama umevaa viatu vya mtumba, heeee heeeeiyaaa! Unalo mwaka huu shoga! Wanakwambia ukiona maharage yameiva jua mkaa umeteketea! Ulifikiri...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mtoto pekee wa kike wa muingizaji maarufu duniani Jackie Chan aitwae Etta Ng mwenye umri wa miaka 19 amethibitisha kufunga ndoa na mwanamke mwenzie ajilikanae Kama Andi Autumn kupitia mtandao wa...
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Mtoto wa Kiume wa Muigizaji Maarufu Duniani Will Smith, anayefahamika Kama Jaden Smith mwenye Umri wa Miaka 20 ametangaza Hadharani Kuwa Rapper na mchekeshaji Kutoka nchini Marekani Tyler the...
0 Reactions
343 Replies
53K Views
Kuna kipindi kumewahi kutokea mikwaruzani kati ya Harmonize na Diamond Platnumz,” said Lizer Classic. “Nakumbuka kuna siku Diamond alikuja Studio akaniambia kuwa nifute vocal zake zote katika...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Kwakweli imebidi nije kwenu maana humu ndio penyewe kwa kila jambo naomba msaada wa kimaamuzi kwa sasa wapenzi wa gospel kati ya hao magwiji wawili nani mkali ? Andika jina tu kwa unayeona nyimbo...
1 Reactions
97 Replies
21K Views
Mtangazaji wa zamani wa Clouds Media Group, Zamaradi Mketema ambaye baada ya kuvunjika kwa mahusiano yake ya kimapenzi na Mkurugenzi wa CMG, Ruge Mutahaba, alihamia Wasafi Media kuendelea na...
11 Reactions
54 Replies
14K Views
NOORAH Kitandani…..FIESTA Uwanjani!! Japo muda kidogo umepita tangu utokee huu mkasa lakini sio mbaya tukikumbushana hii kitu. Jinale halisi ni Haji Nurah Ngarama almaarufu kama ‘Noorah’ au Baba...
17 Reactions
181 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…