Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu Bwana Salim Kikeke mtangazaji wa Radio ya BBC alipenda sana kuwa anakuja Tanzania akiwa OFF Mara nyingi tumekuwa tukikutana pale Qatar uwanja wa ndege upande wa Transit wote tukiwa tunatokea...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu jamaa tumpongeze kwa makubwa anayofanya. Tusikosoe na kutoa kasoro kila siku. Tukiona kuna vijana wenzetu wanajituma na kufanya kazi kwa bidii tuwape moyo na kuwapongeza waendelee kufanya...
23 Reactions
53 Replies
7K Views
Wakuu naangalia Tamasha la wasafi huko sumbawanga kupitia channel ya wasafi media lakini nimeona ghafla jukwaa limegeuka chini juu. Na baadhi ya wasanii kutumbukia Kisha ghafla matangazo...
2 Reactions
76 Replies
19K Views
-Mshambuliaji wa klabu ya Coastal Union Ali Salehe Kiba amefanya mabadiliko kwenye mkataba wake na klabu ya Coastal Union ya Tanga. Mwanzo wa msimu huu Alikiba alisaini mkataba wa miaka miwili...
2 Reactions
74 Replies
11K Views
Inaboa Kila msanii anataja Wema tuuuuuuuuuu
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Hawa jamaa kusema ukweli wanakubalika sana utadhani ni Obama kaja
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Jana kijana ametua hapa Sumbawanga idadi ya watu waliokuja kumpokea huku wengine wakijaa barabarani ni jibu tosha kuwa kijana ana fan base kubwa sana. Diamond platnumz kwa sasa hategemei tena...
10 Reactions
76 Replies
12K Views
Hivi mama zetu siku hizi wanatuonaje sisi watoto wao?.Au sisi vijana tunawaonaje mama zetu?.Fikiria kuwa wewe ni msanii mkubwa maarufu halafu mama yako yuko hivi.AU TUKUBALIANE TUU NA WAKATI?
1 Reactions
96 Replies
12K Views
Rapper kutoka pande za states mwenye hitsong ya 'Panda' hakuamini kilichomtokea juzi kwenye stage wakati anapiga show baada ya 'makonki' wa Kenya kusepa na raba zake na soksi nakumuacha mchizi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Na Veronica Simba – Dar es Salaam Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ametuma ujumbe kwa watanzania kwamba utekelezaji wa mradi mkubwa wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Show ya kibabe ya wasafi festival iliyokuwa ikifanyika sumbawanga katika uwanja wa Nelson mandela imeahirishwa kutokana na mvua kubwa kunyesha wakati show ikiendelea na kufanya isimamishwe kupisha...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Mwaka huu bado unashikiria record kwani ni mwaka ambao wanamuziki wengi walitoka zaidi ya miaka mingine toka bongo fleba ianze 1.noorah- vijimambo 2.Q-chief- aseme 3.ngwea-getto langu...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Kwa mliotazama game ya Coast Union Vs Mbeya City jana, vipi mfalme alifanikiwa hata kutoa pasi moja ? Sikupata muda wa kuangalia nasubiria marudio azam tv leo.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii ni habari njema kwa wasanii wa Tanzania kuona wanapewa heshima ya kutosha,tulishazoea kuona wanasiasa tu ndio wanapewa heshima kama hii,sasa ni zamu ya wasanii natamani siku nyingine kusikia...
8 Reactions
55 Replies
9K Views
Wiki iliyopita Msanii Baraka Da Prince alijigamba kuporomosha mjengo wa maana na kudai ametumia kiasi kikubwa sana na bado haujaisha. Jeuri hiyo ikapelekea hata kubadilika kwa kiswahili chake na...
5 Reactions
74 Replies
27K Views
Jana kwa mara ya kwanza kaanza ! coast vs mbeya city, nilikua ktk pilikapilika zangu sikuwahi kuuangalia, baadae saa 5 usiku ulirudiwa nikiwa job nikawa naibia jicho kwenye tv ili nimuone mfalme...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Ni miaka imepita lakini hii ngoma ya 'dhahabu' ni bonge la hit ambalo hadi leo ikipgwa lazima watu waamke. Je, katika wimbo huu unadhani nani ndio alifunika kati ya Joslyn,Blue au...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wazee wenzangu wapenzi wa redio hasa rfa juzi apa napita mtaani nikaskia sauti ya presenter bora kabisa wa miaka ya 2000s anatema cheche Uyu ndugu nilipata kumkubali sana hasa kwenye kipindi cha...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Jana usiku kutokana na mvua kubwa kunyesha ilibidi Diamond platnumz atangaze kusitisha show na kuahidi kurudiwa siku ya leo saa kumi jioni , Diamond amesema kuwa Show itakuwa ni buree Wachawi...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Sumbawanga Hakufai, Jana Show Ya Wasafi Haikumalizika Yote baada Ya Mvua Kubwa Kunyesha, Haijulikani Ilitokea Wapi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…