Masharti ya mgangaWakuu naangalia Tamasha la wasafi huko sumbawanga kupitia channel ya wasafi media lakini nimeona ghafla jukwaa limegeuka chini juu. Na baadhi ya wasanii kutumbukia Kisha ghafla matangazo yakakatika Je Diamond platnumz yu hali gani?
Kwa hiyo katika wote hao wee umemwona diamond tuu kwani alikuwa pekeake hapo jukwaani?Wakuu naangalia Tamasha la wasafi huko sumbawanga kupitia channel ya wasafi media lakini nimeona ghafla jukwaa limegeuka chini juu. Na baadhi ya wasanii kutumbukia Kisha ghafla matangazo yakakatika Je Diamond platnumz yu hali gani?
Mi huko wala sijui nini kinaendelea maana sio mshabiki wa miziki ya bongo fleva.Mimi nimemuona yeye natumai nawe utanijulisha wengine ulio waona wako katika haki gani baada ya tukio hilo.
Pamoja sana mkuuUmejibu vema.
wachawi hamuachi kuloga, unaleta uongoWakuu naangalia Tamasha la wasafi huko sumbawanga kupitia channel ya wasafi media lakini nimeona ghafla jukwaa limegeuka chini juu. Na baadhi ya wasanii kutumbukia Kisha ghafla matangazo yakakatika Je Diamond platnumz yu hali gani?