Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wasalaam wana jamvi. Mama wa msanii maarufu na tajiri kuliko wote nchi Diamond Platimuz ameweka wazi sababu za mwanae kutoonekana kwenye msiba na mazishi ya msanii mwenzie Godzilla. Mama Diamond...
7 Reactions
154 Replies
22K Views
1.smooth vibes project Hapo walifanikiwa kutoka kimuziki wanamuziki mbalimbali kama jaydee,rayc q chief, mr paul, pauline zongo stara thomas, k basil 2.prime time promotion Hapa tuliweza kupata...
13 Reactions
52 Replies
10K Views
Pekupeku kama mpoto kwenye hili amefell Post yake imekaa vibaya....
5 Reactions
344 Replies
51K Views
Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo...
5 Reactions
33 Replies
13K Views
Joseph Mbilinyi TAARIFA YA MASIKITIKO: WALIKUJA NA KUOMBA MUAFAKA NASI TUKAKUBALI KWA AJILI YA AMANI NA MAENDELEO YA SANAA, NAMI KAMA KINEGA MWANDAMIZI NA PIA KIONGOZI MBUNGE) NIKACHUKUA...
0 Reactions
69 Replies
11K Views
Safi sana, 2012 funguka, dunia yako, chaguo lako, chagua kumpenda aliyekuwa adui yako
0 Reactions
26 Replies
6K Views
7.2 Harakati za kudai haki za wasanii. Mheshimiwa Spika, sanaa imeendelea kufanywa mtaji wa biashara na watu wachache ambao wanatumia nguvu waliyo nayo katika jamii na uwezo wao wa kifedha katika...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia...
54 Reactions
537 Replies
73K Views
Jana nilikuwa napiga story mbili tatu na mdau mmoja wa muziki kuhusu kifo cha Mangwea pia zinazoitwa tuzo za KILI...Ni mengi tuliongea, ila lililonifanya nije na hii post ni kuhusu msanii Belle 9...
6 Reactions
122 Replies
26K Views
Wadau kwanza naomba tumuombee marehemu Rugemalila dua ili mungu amuweke panapostahili kulingana na amali zake!!Kifo ni tabia ya kimaumbile ambapo mimi na wewe wote tutakufa!Lazima.. . Huko nyuma...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau binafsi namkubali sana ruge hasa akili yake kibiashara ana mchango mkubwa sana kwenye sanaa yetu, maana yeye ndie kafanya hata kina jay z, 5o cent, ja rule wameijua Tanzania iko wapi...
19 Reactions
91 Replies
13K Views
Habari za jioni wapendwa wana jf !!!!Leo ndo kilele cha usiku wa tuzo za films zinazofanyika na kuonyeshwa live Kupitia Azam TV ambalo ni mwaka wa pili tangu kuanzishwa kwake hapa nchini...
10 Reactions
656 Replies
71K Views
Movement ya Anti-Virus ilianzishwa kimya kimya na Mapacha Wa Maujanja Saplayaz baada ya kulalamikia unyonyaji uliopitiliza katika kituo kimoja cha redio jijini Dar es Salaam. Wakiwa wawili tu...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Yule mwanamziki nguli wa Hip Hop wa miaka ile mwenye jina hapo juu ameondokewa na baba yake profesa rubanza siku ya juzi na amezikwa jana. Mungu ametoa na kwake amerudi jina lake lihimidiwe
2 Reactions
27 Replies
8K Views
Kevin Hart reaches out to Nigerian boy who did a drawing of him Kevin Hart has reached out to a talented Nigerian boy who did a beautiful drawing of him. The boy shared the drawing on Twitter...
10 Reactions
26 Replies
6K Views
Jamaa mwenye ngumi kama jiwe, Francis Cheka amepata ofa ya kusoma form one katika shule moja hapo Moro. Wiki ijayo ataanza pre form one. Ofa hyo inakuja wiki moja baada ya kupewa viwanja viwili...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Anakwambia alijisikia bored akaona aende zake Singapore alafu anasema mkae mkao wa kula kesho anaweza kuwa nchi nyingine yeyote....!! (isije ikawa TZ) Wewe ukiwa bored unafanya nini...?!
3 Reactions
75 Replies
8K Views
Nimepita mahali nikamuona huyu jamaa kama vile amedhoofika sana kiafya. Anasumbuliwa na nin?
6 Reactions
130 Replies
47K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…