Kiukweli anapaswa aende tu kwenye msiba... Asahau hayo ya nyuma...Very wise advise, this kid should know it wasn't personal, it was business, in Don Corleone voice
Povu lq nini sasa?Kwani asipoenda kuna kitu kitaharibika? Achaneni nae bwana!! Wameenda watu wazito wenye pesa kama mchanga kwahiyo hata asipoenda hakuna kitachoharibika.
Japo hakuna kinachoharbka msanii kiyoo cha jamii na ni kipenz wa weng so happen ivo mashabik lazma wa complainKwani asipoenda kuna kitu kitaharibika? Achaneni nae bwana!! Wameenda watu wazito wenye pesa kama mchanga kwahiyo hata asipoenda hakuna kitachoharibika.
Hakuna Povu Mkuu kwani asipoenda kuna tatizo? Au akienda Ruge atafufuka?
Hat me nashangaaHalafu huyu mzee naye anatafuta kiki tu..
Kama diamond ni mdogo waka inamaanisha ana namba yake..kwa nini kitu sensitive hivi akipost insta badala ya kumcheki kwenye simu akamshauri?
Sent using Jamii Forums mobile app