Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Socialite maarufu kutoka nchini Kenya [emoji1139], Huddah Monroe amewashauri wanaigeria wote waishio nchini South Africa kurudi majumbani kwao wakajitafutie huko kuliko kuwa watumwa katika nchi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kutoka fethibuku: Sote tunajua diamond ni mwenyekiti wa Wcb na pia ni msanii. Hivi vitu ni kitu kibaya endapo msanii mwenye hivi vyeo ana kundi / label yenye wasanii wazuri. Binadamu tuna wivu...
5 Reactions
44 Replies
10K Views
Kiukweli harmonize hatofanikiwa kimuziki kamwe hata amalize waganga na waganguzi huko chitoholi ila suala la kupiga hatua ya kimuziki halitawezekana asilani abadani. Jamaa hana ubunifu kabisa...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Dah kuna ndugu yetu mmoja ametoa ngoma na Nora Fatehi dah mpaka mda huu sijapata picha kabisa toto kama lile sijui kalibumia mazingira gani. Tayari ngoma ishavunja rekodi ya fastest million views...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
1.Amesharap........... ...Fresh Rmx 2. Ameimba taarab........ Nasema na wewe 3. Ameimba zouk.......... Ntampata wapi na nyingine nyingi 4. Ameimba RNB.......... Nenda kamwambie na nyingine nyingi...
25 Reactions
48 Replies
7K Views
Habari zenu wanajamvi!?. I hope mko poa kabisa, Nikiongelea vipindi vya redio nnavyovipenda sana ni Power Breakfast ya Clouds FM kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa11 Alfajiri hadi saa4...
4 Reactions
64 Replies
13K Views
😭😭😭 WCB FOR LIFE.
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Tunakwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi wakiwa wameogopeshwa , wametishwa hawana raha. Binafsi nimeshuhudia viongozi wa kuteuliwa na Mh Raisi hasa Ma DC wakiwa wanawatisha...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa nini hawa wanao itwa " celebrities " wa kibongo wanapenda kupunguza miaka yao?. Kisa nini? au ndio waonekane ni watoto wa dogo ambao wanafanya mambo makubwa?. Leo...
28 Reactions
114 Replies
63K Views
Habari zenu wanajamvi
0 Reactions
3 Replies
848 Views
mbwembwe zote za kuwa na festival yenu ila mmeishia muleba hapo kwa wahaya!!
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukija upande wa pili wa kutengeneza jingles za company's mbalimbali afanyi makosa kabisa kijana wetu diamond na jingle zake zimekuwa Zina influence mauzo kuongea za bidhaa hizo kutokana na wateja...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu. Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za...
4 Reactions
137 Replies
17K Views
Again kijana wetu anazidi kutuwakilisha vyema kimataifa sas yuko nominated kwenye TUZO KUBWA ZITAKAZOFANYIKA MAREKANI November mwaka huu.. Mpigie kura diamond katika kipengele alichowekwa kama...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Msanii anayetoka katika lebo ya Wasafi ,Rayvanny amachaguliwa katika tuzo za STARQT AWARDS 2019 za south africa,katika kipengele cha BEST MALE ARTIST. Na ni msanii pekee yake kutoka Tanzania...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
Ingia kwenye link hapa chini kupiga kura. https://pca.eonline.com/vote/african-influencer-of-2019/diamond-platnumz
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna ngoma imetoka huko ni ya aslay na kiba Lakin kusema ukweli aslay kaimba vizur ila huyu ali kiba kazingua sana Super star mkubwa kaimba kama under ground Bora tu hata angesimama mayunga au...
5 Reactions
87 Replies
13K Views
Msanii wa bongo fleva Harmonize na mrembo wake kutoka italy bibie Sarah wanatarajia kufunga ndoa usiku huu pale serena hotel. Source jikoni.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Ndugu Moderator, Invisible naomba kubadili ID yangu. Kuna mjinga mmoja na anafuatulia kila ninachopost ananitumia screenshots. Sipo comfortable na hili. Natanguliza shukrani Wako Mla vitumbua
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Mchekeshaji Kevin Hart na wenzake wawili wamepata ajali ya gari mapema Jumapili Septemba 01, huko Calabasas, California baada ya dereva kukosa udhibiti wa gari hilo Hart na dereva Jared Black...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…