Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kutoka fethibuku:
Sote tunajua diamond ni mwenyekiti wa Wcb na pia ni msanii.
Hivi vitu ni kitu kibaya endapo msanii mwenye hivi vyeo ana kundi / label yenye wasanii wazuri.
Binadamu tuna wivu, ndio asili yetu, ndivyo tulivyoumbwa, huwezi kupigana na nafsi yako.
Diamond kwa sasa gharama zake za kufanya show zimeshuka, sio kama zamani alipokuwa anapewa milioni 150 kwa show nje ya nchi, kwa sasa mapromota wengi wapo tayari kutoa pesa ya kawaida tu.
Mziki ukaja pale Diamond anpata bookings za show pungufu kuliko zamani na mapromota wakashusha dau lake la milioni 150 mpaka milioni 50, Huku upande wa pili Harmonize anasumbuliwa vibaya mno kufanya shows kwa gharama kubwa sana pengine kuzidi hata Diamond.
Hapa ndipo mzozo ulipoanza sasa, Diamond ndio Mwenyekitu wa wcb, Kwa wivu kwamba Harmonize anapata booking za show kibao kwa pesa ndefu, Diamond akaanza kucheza michezo michafu kwa kuwaambia mapromota kwamba harmonize yupo busy sana ili harmonzie afanye show chache kuzidi yeye na hata ikitokea booking imekubaliwa basi ilikuwa ni show za kwaida, Yale tamasha yaa wasanii wakubwa afrika ambayo Diamond hakuwepo ila Harmonize alikuwa anaombwa awepo ndio yaliyopigwa chini, Ni matamasha yanyoongeza hadhi ya msanii na ilikuwa hatari kwa Diamond.
Diamond ni CEO wa wasafi hivyo ana nguvu kubwa kutoa maamuzi, ila kibaya zaidi nae alikuwa msanii, Ilikuwa ikitokea kuna mwaliko wa kufanya show ikitokea tenda kutoka kamouni fulani wakitaka msanii moja wa wcb aende kupiga show marekani, basi hapo diamond kwa vile yeye alikuwa anatoa maamuzi na pia ni msanii, alikuwa anajipendelea kwa kujichagua, ila ikafika kipindi sasa hadi makampuni yanamkubali harmo aende kupiga show kuliko diamond aliekuwa analazimisha aende yeye, hapa kulikuwa na mutano sio kitoto.
Huwezi kumziba panya kwa mkate, Dogo harmonize kila akiachia ngoma ni jiwa na inapata views kibao huko youtube, Hapa maji yanamfikia boss shingoni sasa, boss akaanza kutoa ngoma kwa fujo na promo kibao na kiki ila ngoma ina kuwa kama big g haikai wiki ishazimia, hali ikawa mbaya boss akaona atembelee nyota ya konde boy waktaoa kwangaru ambayo hadi sasa ina views milioni 50 na ushehe, kodne boy hana kiki wala nini akitoa ngoma ila zinabamba balaa hadi ile ya fire waist ndio ilihusika wengi kumjua mzee wa likwidi.
Ukweli kujifichua ni swala la muda tu, Kimbembe kikaja sasa Harmo taarifa zikampitia kwamba kuna shows zake za hadhi ya juu zenye mpunga mrefu zilikuwa zilipigwa chini , ukichanganya na kubaniwa kutoa ngoma zake zilizorundikana studia ndio hapo sasa mmakonde akaomua kumchana boss,
Kwa kuwa konde boy alikuwa anafanyiwa unyama huu ikabidi aende kwa boss kumpa makavu, hapa ndipo vugu vugu la harmonize kuondoka likaanza kusambaa mitandaoni, Konde boy kwa roho safi hili kipindi akawa anafanya udiplomasia na boss wake kama wanaweza kwenda sambamba kuanzia muda huo bila kuendelea hii michezo michafu, hii ikawa kama vile adui yako njaa inamuuma we unampelekea chakula ukidhani kwamba atakuona mwema kumbe ndio kwanza umetia mafuta kwenye moto, hapa ikabidi boss akiri tu kwamba hawawezi kuendelea kazi kwa usalama wake maana konde boy anakuja kwa spidi ya radi atamfunika hadi boss wake kwenye label yake.
Konde boy hana kosa lolote, alikiri kabisa boss wake D ni kama baba yake, hata baba hapendagi mtoto wake azeekee nyumbani.
Sote tunajua diamond ni mwenyekiti wa Wcb na pia ni msanii.
Hivi vitu ni kitu kibaya endapo msanii mwenye hivi vyeo ana kundi / label yenye wasanii wazuri.
Binadamu tuna wivu, ndio asili yetu, ndivyo tulivyoumbwa, huwezi kupigana na nafsi yako.
Diamond kwa sasa gharama zake za kufanya show zimeshuka, sio kama zamani alipokuwa anapewa milioni 150 kwa show nje ya nchi, kwa sasa mapromota wengi wapo tayari kutoa pesa ya kawaida tu.
Mziki ukaja pale Diamond anpata bookings za show pungufu kuliko zamani na mapromota wakashusha dau lake la milioni 150 mpaka milioni 50, Huku upande wa pili Harmonize anasumbuliwa vibaya mno kufanya shows kwa gharama kubwa sana pengine kuzidi hata Diamond.
Hapa ndipo mzozo ulipoanza sasa, Diamond ndio Mwenyekitu wa wcb, Kwa wivu kwamba Harmonize anapata booking za show kibao kwa pesa ndefu, Diamond akaanza kucheza michezo michafu kwa kuwaambia mapromota kwamba harmonize yupo busy sana ili harmonzie afanye show chache kuzidi yeye na hata ikitokea booking imekubaliwa basi ilikuwa ni show za kwaida, Yale tamasha yaa wasanii wakubwa afrika ambayo Diamond hakuwepo ila Harmonize alikuwa anaombwa awepo ndio yaliyopigwa chini, Ni matamasha yanyoongeza hadhi ya msanii na ilikuwa hatari kwa Diamond.
Diamond ni CEO wa wasafi hivyo ana nguvu kubwa kutoa maamuzi, ila kibaya zaidi nae alikuwa msanii, Ilikuwa ikitokea kuna mwaliko wa kufanya show ikitokea tenda kutoka kamouni fulani wakitaka msanii moja wa wcb aende kupiga show marekani, basi hapo diamond kwa vile yeye alikuwa anatoa maamuzi na pia ni msanii, alikuwa anajipendelea kwa kujichagua, ila ikafika kipindi sasa hadi makampuni yanamkubali harmo aende kupiga show kuliko diamond aliekuwa analazimisha aende yeye, hapa kulikuwa na mutano sio kitoto.
Huwezi kumziba panya kwa mkate, Dogo harmonize kila akiachia ngoma ni jiwa na inapata views kibao huko youtube, Hapa maji yanamfikia boss shingoni sasa, boss akaanza kutoa ngoma kwa fujo na promo kibao na kiki ila ngoma ina kuwa kama big g haikai wiki ishazimia, hali ikawa mbaya boss akaona atembelee nyota ya konde boy waktaoa kwangaru ambayo hadi sasa ina views milioni 50 na ushehe, kodne boy hana kiki wala nini akitoa ngoma ila zinabamba balaa hadi ile ya fire waist ndio ilihusika wengi kumjua mzee wa likwidi.
Ukweli kujifichua ni swala la muda tu, Kimbembe kikaja sasa Harmo taarifa zikampitia kwamba kuna shows zake za hadhi ya juu zenye mpunga mrefu zilikuwa zilipigwa chini , ukichanganya na kubaniwa kutoa ngoma zake zilizorundikana studia ndio hapo sasa mmakonde akaomua kumchana boss,
Kwa kuwa konde boy alikuwa anafanyiwa unyama huu ikabidi aende kwa boss kumpa makavu, hapa ndipo vugu vugu la harmonize kuondoka likaanza kusambaa mitandaoni, Konde boy kwa roho safi hili kipindi akawa anafanya udiplomasia na boss wake kama wanaweza kwenda sambamba kuanzia muda huo bila kuendelea hii michezo michafu, hii ikawa kama vile adui yako njaa inamuuma we unampelekea chakula ukidhani kwamba atakuona mwema kumbe ndio kwanza umetia mafuta kwenye moto, hapa ikabidi boss akiri tu kwamba hawawezi kuendelea kazi kwa usalama wake maana konde boy anakuja kwa spidi ya radi atamfunika hadi boss wake kwenye label yake.
Konde boy hana kosa lolote, alikiri kabisa boss wake D ni kama baba yake, hata baba hapendagi mtoto wake azeekee nyumbani.