Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hii interview ya huyu dada anayeitwa Shuu Salun mmeiangalia? Yaani huyu dada alicheat, alafu akaja kumwambia kaka wa watu kuwa hiyo mimba ni ya kwake na alisema ALIPANGA kabisa kupata hiyo mimba...
4 Reactions
29 Replies
779 Views
Nabii Koko Kalapina anasema watu wawaache wasanii wakongwe wale pensheni zao na michongo mingine ya kuwaingizia pesa sababu wamesota sana na huu muziki. Kupitia page yake Kalapina ameandika 👇...
8 Reactions
180 Replies
2K Views
Ukishindwa kuwa na nidhamu kwenye fedha basi sbiri fedha ikufundishe nidhamu Na kilichobaki kwa sasa mostly ni ku act, kulazimisha aonekane bado ana fedha, kitu kinachozidi kumuingiza kwenye...
16 Reactions
124 Replies
3K Views
Cristiano Ronaldo amefunga ndoa rasmi na mpenzi wake wa muda mrefu, mwanamitindo Georgina Rodríguez, katika iliyofanyika nchini Ureno. Mchezaji huyo nyota wa soka wa Ureno, mwenye umri wa miaka...
5 Reactions
17 Replies
418 Views
Wengi wetu tunamfahamu Coy Mzungu, CEO wa Cheka Tuu. Tukirudi nyuma kwenye historia ya stand-up comedy Tanzania, record zinaonyesha kuwa marehemu MC Pilipili alikuwa miongoni mwa waanzilishi...
11 Reactions
45 Replies
853 Views
Kisa cha Ibrah Da Huster Kwenye Jukwaa la Miaka 30 ya Bongo Fleva Katika maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva yaliyofanyika Rock City Mall jijini Mwanza, kundi la Nako 2 Nako lilipata nafasi ya...
1 Reactions
4 Replies
140 Views
Hawa jamaa nimependa wanavyopiga show kwenye miaka 30 ya Bongo flavor Hawana mbwembwe nyingi zisizo za maana, pia sauti Yao haijamezwa na beat, sauti Yao sio kavu, na wala hawafuatishi CD, Best...
7 Reactions
10 Replies
278 Views
Mkwanja Unazidi Kupanda 🔥 Kwa mara ya kwanza, klabu za Tanzania zinaenda kumheshimisha mchezaji wa ndani kwa kumuokotesha mapene ya dola milioni za Kimarekani, hela ambazo kwa mazingira ya soka...
1 Reactions
22 Replies
359 Views
Kiungo wa zamani wa Yanga kutoka Taifa la Congo Tonnombe Mukoko aliyekipiga Yanga kwa mafanikio makubwa atapeliwa nyumba na mkewe pisi Kali ambaye ni mbongo aitwae kwa Jina la Trish ambapo ndoa...
9 Reactions
74 Replies
1K Views
Leo Agosti 8, nchini Kenya tukio kubwa ni engagement ya Charlene Ruto ambaye ni binti wa Rais Ruto. Katika tukio hilo, ametambulisha mumewe mtarajiwa ambaye ni Mtanzania Isaya Yunge. Historia yake...
9 Reactions
13 Replies
607 Views
Mastaa wengi wanapokuwa kwenye mahusiano,wanapotengana,au wanapofanya jambo linalozua mjadala,taarifa hizo huvutia attention kubwa kutoka kwa mashabiki. Soma zaidi:Inawezekana kubalance kazi na...
1 Reactions
6 Replies
98 Views
Mwanamama Zari Hassan (45), anayejulikana zaidi kama Zari The Boss Lady kutokea Uganda amezua mjadala mzito baada ya kudai kuwa kuchepuka kwa mpenzi wako asiyetoa msaada wa kifedha "siyo usaliti...
5 Reactions
37 Replies
627 Views
Hawa wanaojiita wasanii wa zamani wanaandaa tamasha lao bila mkali voice wounder ni kichekesho... Leo hii Madee anapewa nafasi kubwa kwenye Bongofleva ya zamani... Hawajamleta mkali voice wounder...
2 Reactions
10 Replies
134 Views
Mfanyabiashara Rostam Azizi ametoa nasaha kwa Isaya Yunge, kijana Mtanzania ambaye amemuoa binti wa Rais wa Kenya, William Ruto. Katika ujumbe wake, Rostam alizungumza kwa lugha ya Kisukuma...
1 Reactions
1 Replies
178 Views
Tajiri wa Katoro sio mtu wa kupenda unyonge! Hapana kabisa! hana dogo, anapenda kujulikana kwamba ana mkwanja mrefu kama mguu wa twiga! Na usidhani ni maneno tu, tuliona video wiki iliyopita...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Hili tamasha la miaka 30 ya bongo fleva limeibua mambo mengi tusioyajua, ni bora kusikiliza zile nyimbo zao za zamani kuliko kuwasikiliza hawa wasanii, Sauti zao zimepotea kabisa, sijui ni uzee...
6 Reactions
11 Replies
256 Views
Habari, Msanii Angel Bernard ameolewa kwa mara ya pili. Mara ya kwanza aliolewa na Producer wa Nyimbo za Injili Godsave Sakafu. Angel akiwa na Godsave Sakafu siku ya Sendoff yake Julai 2015...
22 Reactions
1K Replies
108K Views
Sakata la P-Square limechukua sura mpya baada ya Peter Okoye, maarufu kama Mr P, kuamua kufunguka hadharani kuhusu kile anachodai kuwa ndicho kilichosababisha kuvunjika kwa moja ya duo kubwa zaidi...
9 Reactions
31 Replies
662 Views
Mshangazi wa taifa Janepher Sanga mwenye views na followers zaidi ya million 8 kwenye mitandao ya kijamii, katoa onyo kwa ukali kwa madalali wa wanawake ambao wana posti namba zake kwenye page zao...
16 Reactions
136 Replies
4K Views
Mfanyabiashara na mjasiriamali wa teknolojia kutoka Tanzania, Isaya Yunge, amefunga ndoa ya kimila na Charlene Ruto, binti wa Rais wa Kenya William Ruto. Sherehe hiyo ilifanyika Kilgoris, Kaunti...
0 Reactions
3 Replies
240 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…