Ila aisee kwanini sisi watanzania tuko hivi?
Ni laana gani tuliyo nayo sisi?
Katika pita pita mitandaoni nimejikuta nashangaa why! Watu wana make fun of juma jux. Ndo hao hao walomcheka akiwa...
Mke wa nyota wa As Monaco Paul Pogba, Zulay Pogba amejitokeza hadharani kumtetea mume wake, na kukataa madai ya watu kwamba kiungo huyo mwenye umri wa miaka 33 anapaswa kustaafu soka na aliamua...
Polisi nchini Ecuador wamekamata zaidi ya kilo 450 za Cocaine kutoka kwenye lori karibu na mpaka wa Colombia. Vifurushi hivyo vilidaiwa kuwa na stika zenye picha ya mwanasoka wa Norway, Erling...
Kwa mara ya kwanza mtangazaji nguli nchini Taji Liundi amefunguka kuhusu maisha yake binafsi na mchango wake katika tasnia ya muziki. Taji Liundi aka Master T ambaye amefanya kazi na vituo...
JAY MOE - MPENZI KWAHERI
Intro:
"Au sio Kwahiyo ndio Unaondoka
sio ,
Amna Noma Bwana , Mi ndio Hivyo Nipo,
Au sio kinachoenda ndio kinachorudi."
Verse..1
Kwanza sikuwa na Muda wa Mapenzi...
Mitandaoni kumeibuka mjadala kuhusu muonekano wa msanii wa Tanzania, Juma Jux, baada ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii kudai kuwa msanii huyo amepungua uzito kwa kiasi kikubwa.
Baadhi...
Hii interview ya huyu dada anayeitwa Shuu Salun mmeiangalia?
Yaani huyu dada alicheat, alafu akaja kumwambia kaka wa watu kuwa hiyo mimba ni ya kwake na alisema ALIPANGA kabisa kupata hiyo mimba...
Nabii Koko Kalapina anasema watu wawaache wasanii wakongwe wale pensheni zao na michongo mingine ya kuwaingizia pesa sababu wamesota sana na huu muziki.
Kupitia page yake Kalapina ameandika 👇...
Ukishindwa kuwa na nidhamu kwenye fedha basi sbiri fedha ikufundishe nidhamu
Na kilichobaki kwa sasa mostly ni ku act, kulazimisha aonekane bado ana fedha, kitu kinachozidi kumuingiza kwenye...
Cristiano Ronaldo amefunga ndoa rasmi na mpenzi wake wa muda mrefu, mwanamitindo Georgina Rodríguez, katika iliyofanyika nchini Ureno.
Mchezaji huyo nyota wa soka wa Ureno, mwenye umri wa miaka...
Wengi wetu tunamfahamu Coy Mzungu, CEO wa Cheka Tuu. Tukirudi nyuma kwenye historia ya stand-up comedy Tanzania, record zinaonyesha kuwa marehemu MC Pilipili alikuwa miongoni mwa waanzilishi...
Kisa cha Ibrah Da Huster Kwenye Jukwaa la Miaka 30 ya Bongo Fleva
Katika maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva yaliyofanyika Rock City Mall jijini Mwanza, kundi la Nako 2 Nako lilipata nafasi ya...
Hawa jamaa nimependa wanavyopiga show kwenye miaka 30 ya Bongo flavor
Hawana mbwembwe nyingi zisizo za maana, pia sauti Yao haijamezwa na beat, sauti Yao sio kavu, na wala hawafuatishi CD,
Best...
Mkwanja Unazidi Kupanda 🔥
Kwa mara ya kwanza, klabu za Tanzania zinaenda kumheshimisha mchezaji wa ndani kwa kumuokotesha mapene ya dola milioni za Kimarekani, hela ambazo kwa mazingira ya soka...
Kiungo wa zamani wa Yanga kutoka Taifa la Congo Tonnombe Mukoko aliyekipiga Yanga kwa mafanikio makubwa atapeliwa nyumba na mkewe pisi Kali ambaye ni mbongo aitwae kwa Jina la Trish ambapo ndoa...
Leo Agosti 8, nchini Kenya tukio kubwa ni engagement ya Charlene Ruto ambaye ni binti wa Rais Ruto. Katika tukio hilo, ametambulisha mumewe mtarajiwa ambaye ni Mtanzania Isaya Yunge. Historia yake...
Mastaa wengi wanapokuwa kwenye mahusiano,wanapotengana,au wanapofanya jambo linalozua mjadala,taarifa hizo huvutia attention kubwa kutoka kwa mashabiki.
Soma zaidi:Inawezekana kubalance kazi na...
Mwanamama Zari Hassan (45), anayejulikana zaidi kama Zari The Boss Lady kutokea Uganda amezua mjadala mzito baada ya kudai kuwa kuchepuka kwa mpenzi wako asiyetoa msaada wa kifedha "siyo usaliti...
Hawa wanaojiita wasanii wa zamani wanaandaa tamasha lao bila mkali voice wounder ni kichekesho... Leo hii Madee anapewa nafasi kubwa kwenye Bongofleva ya zamani...
Hawajamleta mkali voice wounder...