Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Askofu TD Jakes ambaye amemtumikia Mungu kwa miongo mingi amejiuzulu kwa madai ya kuwa na mahusiano na mmoja wa waumini wa kanisa lake. Source: Tecnico Informatico
5 Reactions
54 Replies
3K Views
Hi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe...
16 Reactions
170 Replies
5K Views
Ukienda kule DSTV (Jua Kali) utawakuta familia ya kina Mwaipopo [emoji23] ambao ni Gabo, Eliudi, Mwaipopo, Uncle Lusajo na Chichi & Mama Gabo, familia yenye kila aina ya vituko. Hawa jamaa ni...
0 Reactions
9 Replies
370 Views
Dogo amepoa sana kama uji wa sembe, hana amsha amsha, mziki wa bongo unahitaji uandishi mzuri na drama kwa wingi ili uende mjini. Diamond platnumz licha ya uandishi wake mzuri alikuwa na drama...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nauliza krefu cha herufi G kwenye jina la marehemu Gadner G Habash na je hayo ndio majina yake halisi?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama ni mfatiliaji mzuri wa hip hop, nadhani Utakuwa umesha Iona hii. Ila Kama bado, story Ina anzia Mwaka Jana ambapo drake na j Cole wali toa ngoma Ina itwa first person shooter. Humo ndani j...
5 Reactions
48 Replies
1K Views
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina...
102 Reactions
319 Replies
22K Views
Ray kigosi aliwahi kusema wanakunywa maji mengi sana kubadili rangi ya ngozi, ni Maji haya ni yapi?
7 Reactions
19 Replies
721 Views
Hili swali nimeulizwa na huyu mtoto wangu mdogo! Kila mcheshi anadhani anaweza kuwa MC na wengi wamevamia huko, cha ajabu ni wachache sana kati yao wenye angalau. Japo lengo lao kujipatia...
2 Reactions
4 Replies
203 Views
Habari wakuu, Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu...
12 Reactions
45 Replies
2K Views
Movies za Idris Elba Bastille Day Sean Briar Finding Dory Fluke Voice role 100 Streets Max Star Trek Beyond Krall / Balthazar Edison 2017 The Dark Tower Roland Deschain...
0 Reactions
8 Replies
727 Views
Hivi marehemu Gadner G Habashi alikua namtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren? Naulizia hivi kwa maana ndie anaepewa pole pekee kila mahali hasa kupitia mitandao ya kijamii.
2 Reactions
32 Replies
2K Views
A man accused of being Diddy's 'drug mule' was arrested trying to board at the same time the rapper's mansion was raided by police. Brendan Paul, 25, was arrested by Miami-Dade Police, alongside...
0 Reactions
10 Replies
801 Views
Aliyekuwa Muigizaji wa tamthilia ya Zahanati ya kijiji Bi Ubwa amefariki leo tarehe 20/4/2024. Hakika sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea. ======= Msanii wa maigizo nchini aliyefanya vizuri...
5 Reactions
66 Replies
3K Views
Alianza kuimba tangu akiwa shule wakati anasoma sekondani ndipo akajiunga na Tanzania House of Talents (THT) ila alitoka kimuziki chini ya M Lab (Music Laboratory) na sasa ni miongoni mwa waimbaji...
11 Reactions
31 Replies
1K Views
Anaitwa Kylian Mbappé Lottin, alizaliwa tarehe 20 Desemba 1998 huko Paris, Ufaransa. Yeye ni mchezaji wa soka wa Kifaransa anayecheza kama mshambuliaji katika klabu ya Ligue 1, Paris Saint-Germain...
7 Reactions
16 Replies
778 Views
Nakumbuka kipindi fulani(2002-2004), kulitokea mgomo pale UDSM. Bwana Bahati aliyekuwa mwanafunzi wakati ule alitajwa na speaker bungeni kwamba alikuwa kinara wa vurugu hizo. Kulingana na namna...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari zilizotufikia punde ni kuwa mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Hamisi Tale au Babu Tale) aitwaye Shamsa Tale almaarufu kama Shammy Nails amefariki. Pole kwa familia ya Babu Tale maana...
13 Reactions
807 Replies
109K Views
Boby Risky amehukumiwa kwenda jela kwa kosa la kukanyaga fedha ya Naira. Hakimu amemuondolea kipengele cha kulipa faini, ili aende jela moja kwa moja. Naona wali msaka long time, Sasa ame jaa...
21 Reactions
602 Replies
12K Views
Mwanamichezo maarufu, O.J. Simpson amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76 kwa kansa. Simpson pamoja na michezo anakumbukwa kwa kesi ya mauaji ambapo alituhumiwa kumuua mkewe Nicole Brown(35)...
8 Reactions
78 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…