Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ishowspeed kabla ya kutembelea Afrika keshakuwa na shobo na WWE SuperStars, mwanakulitafuta siku moja kapeleka kwato kwa mhuni Randy, baada ya mapokezi hakuwahi tena kujihusisha na WWE
4 Reactions
7 Replies
232 Views
Miongoni mwa biashara pasua kichwa ni hii biashara ya kumsimamia msanii haswa msanii wa muziki . Awali ya yote, wengi hawajui kuna utofauti kati ya sponsor na manager. Manager kiuhalisia inabidi...
9 Reactions
54 Replies
943 Views
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara, Dar es Salaam alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya...
9 Reactions
188 Replies
33K Views
Kuna video imeniumiza na kunisikitisha kupitia Grobal TV Online ambapo mama Kanumba anaeleza kwa uchungu sana jinsi mdogo wake Kanumba Seth alivyopata ugonjwa wa ajabu uliopelekea kupalalaizi...
12 Reactions
106 Replies
18K Views
Muigizaji wa Comedy mwingine William Mockray anaekwenda kwa jina la stejini Mtumishi Obama, nae amejionesha leo akijipa zawadi ya gari aina ya BMW 320i ya mwaka 2006 hadi 2008. Ni hatua nyingine...
7 Reactions
59 Replies
3K Views
Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo amejiunga na Radio ya E FM ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana...
3 Reactions
18 Replies
4K Views
--------------------------------------------- For days now, social media users have been wondering who is dating Miss Mutesi Jolly, since she is one of those famous girls whose personal life is...
14 Reactions
272 Replies
20K Views
Hizi tuzo za wachekeshaji mwaka jana zilifanyika Februari 14 siku ya Valentine wakamualika hadi Rais kama mgeni rasmi Mwaka huu nimepita kwenye instagram yao sijaona update yoyote.Tukiwaambia...
3 Reactions
5 Replies
276 Views
Kwanini nimesema una uwalikini mkubwa? Vile tunashuhudia humu jukwaani hata huko uraiani mambo ni yaleyale. Kuna jamaa walikuwa wanatambiana kuwa ana nguo za kulalia nyingi kiasi kwamba mademu...
15 Reactions
52 Replies
1K Views
MKOLONI FT JITA MAN - BEI JUU. Mkoloni amewataka wasanii kuimba nyimbo za kuelimisha kama walivyokuwa wanaimba zamani ili kuweza kuiweka jamii sawa na siyo kuimba mambo ambayo ukiyasikia mpaka...
2 Reactions
1 Replies
335 Views
Wanabodi, Tunaposherehekea siku ya wanawake duniani ambayo ndio leo, sio vibaya tukiwakumbuka na Tanzanians Top Women Celebrities ambao kwa namna moja au nyingine, wameling'arisha jina la...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Dudu Baya amemwaga sewage katika mtandao wa YouTube akimlaami mwanaye Wile kwa maneno makali jambo ambalo limekera baadhi ya Watanzania hasa alipotamka kauli chafu kuwa alimpiga trees mama wa...
5 Reactions
175 Replies
2K Views
Master J ndio Godfather wa hili game japo yeye hapendagi kabisa hizi debates, anaona zinampotezea muda tu haoni umuhimu wa kuitwa legend wala mambo ya kupewa heshima. inshort hapewi kabisa heshima...
2 Reactions
6 Replies
710 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
WATU PORI - USINICHUKIE Afande sele.( Verse).. "inshallah kama umenisamehe Kama bado basi Ewallah Yote namuachia Allah Kwani tulipo , Tupo kwa vile ametaka Tuwepo/ Anatupenda Sawa sawa...
1 Reactions
1 Replies
123 Views
K sal ft ferooz Mwana mkiwa Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo & Domokaya inayoitwa starehe na fedha ila haikufanya pouwa baada ya hapo...
11 Reactions
129 Replies
2K Views
MATUMAINI: katika mambo yanayokwamisha mtu kuweza kuendelea ni pale anapokutana na changamoto mbalimbali za maisha hasa pale unapokuta unashindwa kufikia malengo uliyoweka kwa wakati,hali hii...
2 Reactions
6 Replies
159 Views
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa. Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani. Wahindi na...
27 Reactions
326 Replies
37K Views
AFANDE SELE - MIAKA 10. Intro .. Yeah.!! Oooh.!! Miaka 10 Imefika Ya mfalume mimi Imepita viumbe wanakuja wanazaliwa wanakufa wanaondoka shwaa!! Dunia hudumu Daima weweee!! Chuki ya nani...
1 Reactions
2 Replies
116 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…