Ali Kiba si Mtu Mzuri - Hakeem 5

geometry

JF-Expert Member
Oct 30, 2014
466
358
Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana muda nae kwa sasa.

Akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo leo alipewa heshima ya Bongo fleva, Hakeem 5 anadai kuwa msanii huyo kwa sasa amekuwa akijisikia sana kitu ambacho yeye kimemkera na kudai kuona kwamba msanii huyo ana roho mbaya, roho ya kukunja.

” Unajua kuna wasanii wana roho mbaya sana wanadhani kwamba ridhiki wao ndiyo wanatoa kumbe Mungu ndiye mtoaji wa ridhiki, kiukweli kabisa Ali Kiba kwa sasa sitaki hata kumsikia sababu huyu jamaa nampigia simu simu zangu hata hapokei, ujumbe wangu hajibu na kuna siku nilikutana nae studio na kumwambia naomba tufanye kazi pamoja lakini yeye aliniambia unajua, Hakeem 5 kazi tutafanya ila subiri kwanza na mambo kama hayo ndiyo maana saizi sitaka hata kumsikia” alisema Hakeem 5.

Katika hatua nyingine msanii huyo amezidi kusikistiza kuwa anataka kufanya kazi na msanii huyo na kusema kuwa yeye hataki pesa za Ali Kiba ila anachotaka kwa sasa ni kufanya nae kazi tu, kwani yeye Hakeem 5 anasema ameshamalizana na Ali Kiba kwenye wimbo wa Nakshi Mrembo ila Ali Kiba yeye bado hajamalizana na msanii huyo.

Unajua mimi nimefanya mambo makubwa na Ali Kiba na wala hakunilipa na mimi sitaki pesa zake nilimwambia sitaki pesa yako mimi nataka tufanye kazi, yeye anasema kila jambo linawakati wake, mimi nilishamalizana na yeye ila yeye hajamalizana na mimi” alidai Hakeem 5.
 
Kwani aliingia nae katika mkataba ???.... Au ndo return the favour ???....

Ameshawasiliana na management yake au anafanya mambo kiholela ???.....

Je , alikuwa ana maana gani kumtolea mbovu kijana mwenzie huku akishinikiza kolabo on TV !!!!!...

Naweza nikakubali kuwa kiba ana shauzi kutokana na interview zake za hivi karibuni lakini huyu jamaa hakuwa na haki yoyote kwa aliyoyasema
 
tokea alikiba ahojiwe akajibu eti kiti chake ni kama kilikuwa na vumbi tu kwa hiyo anarudi kufuta vumbi ,ewewewewewew sahau leo yapo wapi?unaondoka kwenye game miaka mitatu halafu eti unasema kiti kina vumbi tu?sasa huo muda alifikiri wasanii wengine wamekaa tuuu,
 
Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana muda nae kwa sasa.

Akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo leo alipewa heshima ya Bongo fleva, Hakeem 5 anadai kuwa msanii huyo kwa sasa amekuwa akijisikia sana kitu ambacho yeye kimemkera na kudai kuona kwamba msanii huyo ana roho mbaya, roho ya kukunja.

” Unajua kuna wasanii wana roho mbaya sana wanadhani kwamba ridhiki wao ndiyo wanatoa kumbe Mungu ndiye mtoaji wa ridhiki, kiukweli kabisa Ali Kiba kwa sasa sitaki hata kumsikia sababu huyu jamaa nampigia simu simu zangu hata hapokei, ujumbe wangu hajibu na kuna siku nilikutana nae studio na kumwambia naomba tufanye kazi pamoja lakini yeye aliniambia unajua, Hakeem 5 kazi tutafanya ila subiri kwanza na mambo kama hayo ndiyo maana saizi sitaka hata kumsikia” alisema Hakeem 5.

Katika hatua nyingine msanii huyo amezidi kusikistiza kuwa anataka kufanya kazi na msanii huyo na kusema kuwa yeye hataki pesa za Ali Kiba ila anachotaka kwa sasa ni kufanya nae kazi tu, kwani yeye Hakeem 5 anasema ameshamalizana na Ali Kiba kwenye wimbo wa Nakshi Mrembo ila Ali Kiba yeye bado hajamalizana na msanii huyo.

Unajua mimi nimefanya mambo makubwa na Ali Kiba na wala hakunilipa na mimi sitaki pesa zake nilimwambia sitaki pesa yako mimi nataka tufanye kazi, yeye anasema kila jambo linawakati wake, mimi nilishamalizana na yeye ila yeye hajamalizana na mimi” alidai Hakeem 5.
Hakim-5 hutakiwi kulia lia mtoto wa kiume
 
Kwani aliingia nae katika mkataba ???.... Au ndo return the favour ???....

Ameshawasiliana na management yake au anafanya mambo kiholela ???.....

Je , alikuwa ana maana gani kumtolea mbovu kijana mwenzie huku akishinikiza kolabo on TV !!!!!...

Naweza nikakubali kuwa kiba ana shauzi kutokana na interview zake za hivi karibuni lakini huyu jamaa hakuwa na haki yoyote kwa aliyoyasema
Acha mzaha ndugu yangu. Kiba hana menejimenti ni shombo tupo. Jamaa ananata kama demu flani hivi kwa vijitabia vya hovyo.

Sababu ya babu kuchuja ilikuwa ni minato pale alipotoka kubebwa na R Kelly. Aliona wataalamu wote ni mafala kama AY, na wengine. Watu wakampotezea hadi muda huu uzeeni ndo ameamka tena wakati usingizi haujaisha vizuri
 
Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana muda nae kwa sasa.

Akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo leo alipewa heshima ya Bongo fleva, Hakeem 5 anadai kuwa msanii huyo kwa sasa amekuwa akijisikia sana kitu ambacho yeye kimemkera na kudai kuona kwamba msanii huyo ana roho mbaya, roho ya kukunja.

” Unajua kuna wasanii wana roho mbaya sana wanadhani kwamba ridhiki wao ndiyo wanatoa kumbe Mungu ndiye mtoaji wa ridhiki, kiukweli kabisa Ali Kiba kwa sasa sitaki hata kumsikia sababu huyu jamaa nampigia simu simu zangu hata hapokei, ujumbe wangu hajibu na kuna siku nilikutana nae studio na kumwambia naomba tufanye kazi pamoja lakini yeye aliniambia unajua, Hakeem 5 kazi tutafanya ila subiri kwanza na mambo kama hayo ndiyo maana saizi sitaka hata kumsikia” alisema Hakeem 5.

Katika hatua nyingine msanii huyo amezidi kusikistiza kuwa anataka kufanya kazi na msanii huyo na kusema kuwa yeye hataki pesa za Ali Kiba ila anachotaka kwa sasa ni kufanya nae kazi tu, kwani yeye Hakeem 5 anasema ameshamalizana na Ali Kiba kwenye wimbo wa Nakshi Mrembo ila Ali Kiba yeye bado hajamalizana na msanii huyo.

Unajua mimi nimefanya mambo makubwa na Ali Kiba na wala hakunilipa na mimi sitaki pesa zake nilimwambia sitaki pesa yako mimi nataka tufanye kazi, yeye anasema kila jambo linawakati wake, mimi nilishamalizana na yeye ila yeye hajamalizana na mimi” alidai Hakeem 5.
Kiba is busy kajaribu kwa diamond pllllllllz!!!!!...
 
tokea alikiba ahojiwe akajibu eti kiti chake ni kama kilikuwa na vumbi tu kwa hiyo anarudi kufuta vumbi ,ewewewewewew sahau leo yapo wapi?unaondoka kwenye game miaka mitatu halafu eti unasema kiti kina vumbi tu?sasa huo muda alifikiri wasanii wengine wamekaa tuuu,
 

Attachments

  • 1459022991511.jpg
    1459022991511.jpg
    44.8 KB · Views: 49
Acha mzaha ndugu yangu. Kiba hana menejimenti ni shombo tupo. Jamaa ananata kama demu flani hivi kwa vijitabia vya hovyo.

Sababu ya babu kuchuja ilikuwa ni minato pale alipotoka kubebwa na R Kelly. Aliona wataalamu wote ni mafala kama AY, na wengine. Watu wakampotezea hadi muda huu uzeeni ndo ameamka tena wakati usingizi haujaisha vizuri
Kiba size nyingine Mzee itakupwaya..mwache aringe si anaweza bwana...
 
Back
Top Bottom