Well, so this Chelsea fan Lee Mitchell, just got himself a tattoo of John Obi Mikels name on his bum after the Nigerian broke the deadlock with a header against Derby County in the 4th round...
Socialite Kim Kardashian, took a dramatic fashion turn by heading to Starbucks in LA with torn jeans which exposd most of her upper thighs. Her Elder sister Kourtney wore a less revealing...
Kufuatia huyu Kaka'etu aliyepata heshima kubwa sana kwenye tasnia ya Uandishi wa Habari na Utangazaji nchini kupitia IPP Media,
Ambaye pia ni mwalimu wa fani hiyo Chuo Kikuu cha Tumaini kampasi...
Umuofia kwenu,
Igweeeeeee.
Shwari wapenzi wana JF.
Naomba ku-declare interest kwamba mimi ni shabiki kindaki-ndaki wa Diamond Platinumz.
Kulingana na uhalisia wa jamii tunamoishi, nimejikuta...
Nisiwachoshe sana, huyu bint anafanya siku ionekane fupi kila ukikutana na videos zake mitandaoni.
Kiufupi ni kama comedian flani kuanzia muonekano mpaka kauli zake.
Nilitazama interview moja...
Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai...
Zumas growing stock of wives and the burden of Christianity
POLYGAMY: Nicholas Sengoba
Jacob Gedleyihlekisa Zuma, 65, President of the African National Congress (ANC) has been making...
Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi Ng’wanakilala.
Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
Hii ndio Taarifa ya sasa mitandaoni , kwamba Msemaji wa Ikulu ya Tanzania , ambaye pia ni Mtangazaji wa zamani wa BBC , Zuhura Yunus , amefunga pingu za maisha na ndugu Fumbuka Nkwabi Mwanakilala...
Msanii Zuchu kutoka Zanzibar amesema anafurahi sana kutimiza moja ya ndoto zake za utotoni kwa kufanikisha kujenga msikiti maeneo ya Paje.
''Msikiti huu utakuwa msaada kwa wakazi wa maeneo hayo...
Msanii Zuchu ni miongoni mwa wasanii ambao wamesajili katika lebo ya WCB inayomilikiwa na staa wa bongo Diamond Platnumz.
Baada ya kujiunga na lebo hiyo Zuchu ameonekana akiinuka kutoka kiwango...
Haka katoto mwanzoni nlikua nakchukulia POA Ila hii ngoma ya Sukari aisee Ni [emoji91] [emoji91], dzain kapita Kama maua Sama na iokote. Bravo https://youtu.be/E2mJ-w_sZ2Q
Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa...
Last Saturday Zuchu alitambulishwa rasmi katika ulimwengu wa Muziki. Huu ni ulimwengu uliojaa vitimbwi na vioja vya kila aina ya ushetani. Huwezi kupata unachokitaka bila kukubali kuishi maisha ya...
Ikiwa ni saa chache baada ya Zuchu kupitia page yake ya Facebook aliwaeleza washabiki wake malalamiko zidi ya kudhalilishwa na ustadh Jumaa yeye na familia yake kuhusu kuruhusu kila wakati...
Kwa leo story kubwa ni pambano linaloendelea uko YouTube kati ya Zuchu na Nandy.
Vipi wadau ikitokea Nandy kashindwa kumpita Zuchu mnadhani ndio itakuwa ushahidi kuwa Nandy ameshapotezwa na Zuchu?
Msanii wa kike namba moja Africa ya mashariki na Kati supastaa Zuchu leo amechaguliwa kushindania tuzo ya MTV Europe music awards.
Ameingia kwenye kipengele cha best african act na mshindani wake...
Mwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao
Toka majuzi...
Huu wimbo wake alioutoa juzi unaimbwa kila mahali, hata kama huupendi utajikuta tu unausikiliza kila unapoenda,
Ukiamka unaskia jirani anaupiga
Ukitoka nje unakutana nao kwenye maduka ya...
Are u telling me what I think ur telling me?
Kilaza mmoja ATA comment" Yani wewe mwanaume mzima unafuatilia watoto wa kike" ?
Shaabash!!! mwanaume rijali naachaje kufuatilia watoto wa kike?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.