Zuchu vs Nandy, mpambano umewaka moto

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,522
7,370
Kwa leo story kubwa ni pambano linaloendelea uko YouTube kati ya Zuchu na Nandy.

Vipi wadau ikitokea Nandy kashindwa kumpita Zuchu mnadhani ndio itakuwa ushahidi kuwa Nandy ameshapotezwa na Zuchu?
IMG-20201018-WA0011.jpg
 
Wakati zuchu anabebwa na misukule yooteeee ya wachafu koge(kile chumba saiv kipo motoo kompyuta simu zikifanya kazi kuongeza vieeeeewwwwwssss). Nandy yupo na mashabiki wake na bill pekee
Zuchu anabebwa na Wasafi... Nandy anapewa promotion na Clouds, Efm, East Africa radio & tv, Wasafi media, wasanii wote wakubwa leo tumeona mpaka viongozi wa serikali wanamfanyia promotion. Lakini hali bado nitete, mtoto Zuchu anamlaza na viatu leo.
 
zuchu kaingia namba 1 baada ya masaa mangap jiulze ...hapo winner unamjua tayar..lakin pia views zinasoma ngapi tayar jibu unalo....

By the way kuwafananisha hawa watu wawil ni makosa...mziki anaofanya Nandy na zuchu ni tofaut...kila mtu ana ladha yake..


Huu ujinga wa ku compare watu unafanya mwingine atembelee kiki ya mwenzie...tuache kila mtu apambane na hali yake.

Ndo yale yale ya Diamond kufananishwa na walala hoi..mwisho na wao wanatembelea kiki sasa bila kazi....



Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom