Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33. Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema...
6 Reactions
136 Replies
12K Views
Mwanamuziki wa Uingereza na aliyewahi kushiriki Britain’s Got Talent, Natalie Okri, amezua gumzo baada ya kudai kuwa baadhi ya wigs za nywele halisi huleta mikosi na bahati mbaya. Katika video...
6 Reactions
12 Replies
596 Views
Nipo najiuliza hapa kwanini watu muhimu wenyevipaji na maono makubwa katika jamii huwa wanamaisha mafupi sana katika dunia yetu hii. Hao ni baadhi tu ambao nimependa kupigia mfano hapa lakini...
3 Reactions
51 Replies
2K Views
Taarifa kutoka Zanzibar zilizopatikana zinaeleza kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa EFM na TVE, Francis Ciza maarufu kama Majizzo amepata ajali mbaya ya gari iliyopelekea vifo vya watu wawili. Tukio...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Katika mahojiano yaliyofanyika siku ya jana kati ya Ayo tv na mwanamuziki Chid Benzi, mwanamuziki huyo ameeleza wazi kuwa yuko njiani kutangaza ndoa. Ameyasema hayo baada ya kutoka soba katika...
3 Reactions
11 Replies
659 Views
Sanii wa nyimbo za injili na mchungaji ametangaza kuwa yupo kwenye mahusiano serious na mtu mwenye wivu na asiyetaka kuonekana . Awali ndoa yake ya muda na mme wake mbaye pia ni mchungaji...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Aaaargh watu wana maana? Hamna kitu. Dogo anashindwa vitu vidogo tu watu hata ndoa haijafika mwaka tayari... Dogo anashinda analia tu wana wana mbembeleza. Katoa talaka 3 kaona hazitoshi...
11 Reactions
153 Replies
7K Views
Ndugu zangu mafanikio hayakufuati ukiwa umeketi nyumbani kwako, lahasha, ni lazima uyafuate tena kwa juhudi ya hali ya juu. Star wa bongo fleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa vijana...
7 Reactions
77 Replies
11K Views
Msanii nguli wa bongo fleva. Dudubaya adai toka msanii mwenzie Diamond plutnumz atoke nyumbani kwa P diddy huko Marekani, akili zake nado hazipo sawa.
14 Reactions
31 Replies
3K Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu ameibuka hadharani kulalamikia waandaaji wa Tamasha la CHAN 2025 kwa kushindwa kumlipa malipo kamili ya onyesho alilofanya jijini Nairobi, Agosti 30, 2025...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, wahenga walipata kunena. Mwanamama Evelyn Miller mwenye miaka 31, Mkazi wa nchini Austarilia amestaajabisha kwa kusema wazi kwamba amejaaliwa nyuchi...
17 Reactions
85 Replies
8K Views
Huyu jamaa alijichulia umaarufu sana hasa Jijini Arusha na hata Moshi, alikuwa ni Polisi matata hapo Arusha na ni korofi na mbabe sana, Swali kwa anayemjua, Je! Yuko wapi siku hizi? Yu hai kweli...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Alikamwe amekaa kushabikia timu yake huku akisahau wajibu wake kwa mkewe bwana alikamwe anadai kuwa mkewe alimcheat Ndoa sio kitu cha kukimbilia hovyohovyo ndoa hata miezi 3 haijaisha Au...
4 Reactions
55 Replies
3K Views
Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi. Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni.. Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated...
52 Reactions
744 Replies
54K Views
Katika interview ya mwanamuziki wa hiphop kutoka Tanzania Bwana Rashidi Abdallah Mohamed Makwiro maarufa kwa jina Chid Benzi aliyofanya na Ayo tv siku ya jana ameeleza safari yako ya maisha tangu...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Huyu mtu ni kweli ndivyo ilikuwa hivi, kama ni kweli, basi wazee walisota sana.
1 Reactions
8 Replies
605 Views
Mwanamziki wa hiphop Chid Benzi katika mahojiano aliyofanya na Ayo tv ameeleza kuwa chanzo cha yeye kujihusisha na madawa ya kulevya ni mapenzi na wala si muziki kama wengine wanavyodhani. Katika...
4 Reactions
4 Replies
899 Views
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani. Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya...
32 Reactions
828 Replies
140K Views
Mwanzo Aristotle alikuwa ni msusi wa wanawake, baadaye akajiongeza kuuza weaving na wigs na wateja wake walikuwa ni mastar wakubwa na celebrities wa Tanzania wa hapo Dar-es-Salaam. Aliupata...
6 Reactions
65 Replies
8K Views
Nimekutana nae hapa Mbezi Makonde EB Restaurant. Jamani unaweza kufa au ukauza ukoo wote!!! Hivi anapatikana wapi?
23 Reactions
333 Replies
64K Views
Back
Top Bottom