Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wote tunamjua Marioo kama msanii anaejitafuta ila bado ajajipata. Wote tunajua anakopi sana swaga za Mbosso Khan. Wote tunajua kusoma na kuandika bado ni mtihani kwake. Lakini huyu dogo baada...
15 Reactions
135 Replies
10K Views
NANDY HAWEZI KUMSHAWISHI BINTI YANGU - GERALD HANDO. Mjadala umeibuka kwenye #MsumariWaMoto kuhusu baadhi ya Wasanii kuoa au kuolewa kuonekana kupoteza ushawishi wao kwa Mashabiki Vijana, mfano...
5 Reactions
55 Replies
4K Views
Kuanzia leo, akaunti zao za Twitter hazijathibitishwa tena. Kampuni hiyo kubwa ya mitandao ya kijamii ilianza kuondoa uthibitishaji wa tiki ya bluu uliokuwa ukitamaniwa kutoka kwa maelfu ya...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakubwa katika nyimbo ninayoipenda sana binafisi ni ya alikiba Mac Muga Mashairi mazuri , vina vimepangiliwa ujumbe mzuri Katika kufukunyua na kufuatilia nimepata nusu taarifa kuwa alieimbiwa...
8 Reactions
52 Replies
7K Views
Nina hoja mbili kuhusu huyu legend kwenye utangazaji hapa nchini... Zinazonipa maswali mengi 1.kwanini ni rahisi Kwa huyu jamaa kuama redio moja kwenda nyingine chapu chapu Bila kuangalia brand...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
If you want others to be happy, practice compassion. If you want to be happy, practice compassion. By :Dr. Selelih Kitashu (PhD)
1 Reactions
1 Replies
345 Views
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta...
39 Reactions
335 Replies
19K Views
Baada ya siku chache kupita ambapo mwana hip hop snoop dogg, kusema kwamba hakuwai kuupenda wimbo wa Tupac "hit em up" (diss track). Snoop dogg was said: I didn't like this shit like it wasn't...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini Wana Jamvi. Hii Hali Inapoelekea sio nzuri kwa underground wetu NANDY,maana naona kabisa Kama tunaenda kumpoteza kwenye ramani ya Muziki. Na hii yoote ni kutokana na ujio wa giant...
4 Reactions
75 Replies
7K Views
Ngoma kali za Godzilla. 1.SALASALA 2.X 3.GET HIGH 4.Mama Made It 5.Stay 6.Thanks God ft Walter Chilambo 7.Hard Work ft Chege 8.Kila Wakati ft G.Nako 9.Lakuchumpa ft Joti 10.Sonia ft Juma Nature...
20 Reactions
43 Replies
5K Views
Huyu jamaa Jonathan Majors ni actor anayeijua kazi yake vyema sana. Talent yake ni ya hali ya juu. na amepata deal kubwakubwa ndani ya muda mfupi sana. Sasa mwezi jana alikamatwa kwa ukatili wa...
1 Reactions
7 Replies
798 Views
Habari ya jumapili, wale mnaenda kusali ibada njema. Miaka inaongezeka miaka inabadilika ila sio umri wa wasanii wetu. Huu ni mwaka 2019, wema sepetu ana miaka 28, Hamisa ana miaka 24 ingawa...
35 Reactions
63 Replies
15K Views
AUDIO BATTLE. Ngwair She got gwan vs Mb Dog Latifa. Ipi ilikuwa hatari zaidi wakati ule? Ipi ilikimbiza zaidi wakati inatoka? Kwako ipi ilikuwa noma zaidi? She got gwan vs Latifa. #forgive me.
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Kumbe jamaa ni mchicha mwiba lizuga na ndoa kumbe hamna kitu ni shoga baridi sasa yamemshinda ameamua kubwaga akaolewe kabisa USSR Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
28 Replies
4K Views
EFM to Wasafi FM mara Wasafi FM to EFM mara tena EFM to Wasafi FM kulikoni? Maulid Kitenge tafuta Mfadhili mkubwa ufungue Media yako Kubwa hii hama hama inashusha Value yako kwani ni kama...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwangu naona imekaa poa. Ina faida kwa watangazaji wenyewe ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakilalamika kuwa na maslahi duni kwenye fani hiyo. Baada ya Efm kuwavunjia Wasafi Tv & Fm kipindi cha...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
1) Mr Nice - huyu Afrika mashariki nzima na baadhi ya nchi za kusini kama vile Malawi, Msumbiji na Zambia hakuna mtu ambae alikuwa hamjui. Mpaka watoto wadogo huko vijijini Malawi walikuwa...
25 Reactions
160 Replies
14K Views
Thabo Bester, maarufu kama "Mbakaji wa Facebook" amegoma kula chakula cha Mahabusu kwa saa 48 zilizopita akidai kuhofia kuwekewa sumu, hivyo kuomba Mahakama kuruhusu Mawakili wake kumpelekea...
5 Reactions
11 Replies
3K Views
[Verse 1: Solo Thang] Yeah… Yeah… Hakuna S bila O L bila O Mwingine aitwe’ Thang bila Solo Shupavu’ awajibike kama Apollo Jay, Afande! Ni ukuta’ wapi uchochoro? Hakuna S bila O L bila O Mwingine...
14 Reactions
54 Replies
3K Views
Wakili wa Hakimi kwenye kesi ya talaka na mkewe Hiba Abouk anayejulikana Kwa jina la Barry Roux kupitia official account yake ya Twitter amesema: "Hakimi kwa sasa hana mali yoyote kwa jina lake...
16 Reactions
103 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…