DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,209
Wakili wa Hakimi kwenye kesi ya talaka na mkewe Hiba Abouk anayejulikana Kwa jina la Barry Roux kupitia official account yake ya Twitter amesema:
"Hakimi kwa sasa hana mali yoyote kwa jina lake, mkewe Hiba Abouk ambaye ni muigizaji atapaswa kutoa mgao wake. Kisheria Hiba ni tajiri kuliko Hakimi, hivyo atapaswa kulipa gharama za kesi na pia kugawana 50/50 ya mali zake zote anazomiliki."
Pia gazeti la intelregion limeripoti kwamba, "Ashraf Hakimi anajipanga kupata mgao wa mali baada ya kutalikiana na aliyekuwa mkewe Hiba Abouk."
Source: Twitter, gazeti la intelregion
"Hakimi kwa sasa hana mali yoyote kwa jina lake, mkewe Hiba Abouk ambaye ni muigizaji atapaswa kutoa mgao wake. Kisheria Hiba ni tajiri kuliko Hakimi, hivyo atapaswa kulipa gharama za kesi na pia kugawana 50/50 ya mali zake zote anazomiliki."
Pia gazeti la intelregion limeripoti kwamba, "Ashraf Hakimi anajipanga kupata mgao wa mali baada ya kutalikiana na aliyekuwa mkewe Hiba Abouk."
Source: Twitter, gazeti la intelregion