Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimepita page za wachekeshaji mtandaoni maarufu kama COMEDIAN WA BONGO , Jamaa wanaomba matangazo hata ya Tsh 50,000/= na kumaliza kwa kusema "NJAA ITATUUA" Mkawasapoti wapate unga na dagaa...
2 Reactions
12 Replies
607 Views
Kwanza niseme tu leo lazima nifungue champagne Nilikuwa naangalia nomination list ya Grammy kwa mwaka huu ambayo imetoka muda mfupi uliopita Kuna kile kile kipengele cha Best African Music...
3 Reactions
16 Replies
476 Views
Wakuu, Naona Watanzania mmepelekea moto wasanii mpaka sasa imefikia hatua wanaahirisha show zao Tuko kwenye first stage ya Cancel Culture. Tukiendelea hivi tunaenda kutengeneza wasanii ambao...
5 Reactions
17 Replies
888 Views
Msisahau kureport kabla ya ku unfollow. Na msiwape engagement yoyote hao chawa. miziki na muvi zao watazisikiliza wenyewe.
7 Reactions
21 Replies
727 Views
Haijaisha mpaka iishe. Tunaanza walipoishia wao. Kama kweli una uchungu wa watu waliopoteza maisha kwa ajili ya mama yule kuingia madarakani kibabe akisaidiwa na wasanii uchwara kumpa promo...
14 Reactions
89 Replies
3K Views
Kitendo cha Diamond kumuunga mkono Samia kweye siasa uchwara kitamgharimu. Kwa sasa najiuliza kama huyu ni Diamond au Demon. Naoma msaada.
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Msanii wa muziki nchini Joh Makini ameungana na watanzania katika kipindi hiki kigumu "Pole yetu sote Watanzania lakini zaidi kwa ndugu jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao Mwenyezi Mungu...
1 Reactions
6 Replies
336 Views
Baada ya lawama nyingi kutoka kwa wananchi zikiwalenga wasanii na watu maarufu kwa kutosimama na raia wanapopambania utawala wa haki badala yake wasanii wamekuwa upande wa watawala na kudidimiza...
3 Reactions
17 Replies
702 Views
Ninakiri na wengi mnajua namna nilivyokuwa ninamsapoti Diamond Platnumz, Ila kutokana na maujinga yake nilipunguza rasmi ushabiki wangu kwake labda baadaye sana kama itatokea atabadirika na...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Juma Jux kupitia ukurasa wake wa Instagram ametoa pole kwa famili zilizopoteza watu katika maandamano. "Mungu ibariki ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tanzania, praying for peace and healing. Mungu awatie nguvu na faraja...
4 Reactions
8 Replies
407 Views
Kumekucha huko !! Utachagua Mawili tu hapa 1-Uwabagaze Watanzania ili Jina lako liingizwe kwenye Orodha ya Watu wasosamehewa Milele na Milele na MUNGU ANENE NAWE. 2-Kukaa Kimya . Mungu...
3 Reactions
13 Replies
417 Views
Msanii wa Muziki wa Bongofleva 'Zuchu' Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuiombea Taifa la Tanzania kuwa nchi yenye amani, umoja na Upendo Jambo ambalo wananchi wengi kwa upande wa...
0 Reactions
7 Replies
434 Views
Kutoka katika ukurasa wa Instagram wa msanii wa Bongo Flavour Phina... "moyo wangu ni mzito sana... ๐Ÿ’” pole nyingi kwa familia, ndugu na marafiki waliopoteza wapendwa wao. tunaomboleza pamoja...
1 Reactions
6 Replies
270 Views
Kutoka kwenye Ukurasa wa Mwanamuziki Diamond Platnumz ameandika haya "MWENYEZI MUNGU NDIO MPANGA WA YOTE...NA HAPAJATOKEA JAMBO PASIPO YEYE KUTAKA, NA KILA JAMBO HUTOKEA KWA SABABU...INSHAALLAH...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Msanii wa Muziki wa Bongo fleva 'Marioo' kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram ametoa salamu za Pole kwa Watanzania wote, familia na ndugu waliofiwa na wapendwa wao na Mwenyezi Mungu aweze...
1 Reactions
5 Replies
214 Views
"Mungu awapumzishe salama walio tangulia awaponye waliokuwa mahospitali kwa pamoja utupe amani mungu ibariki tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.
0 Reactions
2 Replies
113 Views
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Queen Darlin amesema laiti Mungu angempa uongozi basi wale wanaopanga kujiandaa Oktoba 29, 2025 angewakata kata na kuwavunja miguu akidai Rais Samia ametekeleza...
0 Reactions
41 Replies
2K Views
Rapa kutoka West Coast Nipsey Hussle afariki dunia baada ya kupigwa risasi nje ofisi ya kampuni yake ya nguo ambapo alikuwa yupo akipiga picha na watoto wadogo. Mpaka sasa inasemekana C.I.A ndiyo...
5 Reactions
199 Replies
27K Views
Wanabodi, JF bado tuko kwenye maombolezo ya kumlilia member mwenzetu William Malecela, kwa jina maarufu Le Mutuz Super Brand ambaye kesho Jumatano saa 9:00 Adhuhuri ndipo atapumzishwa kwenye...
23 Reactions
39 Replies
7K Views
Ngumu kuacha kitu kitrend chenyewe. Boost muhimu. Ningeongeza view ila walituambia tufanye kazi.
3 Reactions
9 Replies
556 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ