Staminah ft Rich Mavoko - Kabwela
nimepigwa msumari wa kichwa mwili unangoja
kaburi
maisha yamenipiga picha nega zimetoka vivuli
dunia tambala bovu nalidekia kwa shida
jitahidi kui'solve bila...
Mimi ni mmoja kati ya wapenzi na wasomaji wazuri wa jarida hili la BAAB KUBWA,kwa takribani miaka miwili sasa,ila kuna tatizo ambalo naliona linakuwa too much kwa hawa waandishi wa jarida hilo.Ni...
Anaitwa Elizabeth michael,wengi tumemzoea kwa jina la LULU.Ndiye msanii maarufu pekee mwenye umri mdogo kuliko wasanii wote apa Tanzania akiwa na umri wa miaka 18 tu Lulu anamiliki mjengo wake...
Lundenga anacheza na hili shindano
poor promotion
watu wengi walikuwa hawajui..
no proper media coverage
wasanii waku perform ndo kabisa
mganda hamna kitu
Jaydee akavaa kama anaenda Disco
jukwaa...
Jose (or Joe) Chameleone is a Ugandan artist who found his niche blending traditional Ugandan folk music, a bit of rumba and a heavy reggae influence. He sings in English, Swahili, and Luganda...
VALU VALU:LYRICS:DR JOSE CHAMELEONE
IT'S BEEN A LONG,LONG,LONG,LONG TIME,
(Paddy producer-Audio one- come in)
BILA VALU VALU BABY,
NAOMBA MI NAWEWE TUWE,
ACHANA VALU VALU DARLING....Naleli na...
HIli suala limekuwa likiniumiza sana kichwa kama mdau wa burudan apa bongo,aswa hil suala la wasanii wetu kuendekeza sifa za kijinga huku wakiish nyumba za kupanga.ni juzi tu nimetoka kusikia eti...
Mtu Chee (Stamina, Young D, Country Boy) - 100!
Mtu chee! haha, Young Dar es salaam
Country Boy na Staminah! haha
[Young D]
yeah
ah sina hela, ila siwazi biashara ya karanga
ma alijua nitakuwa...
Kwenye shoo ya Mtwara mlisema anakuja Ommy Dimpoz. Hatukumuona. Kwenye shoo ya Iringa mlisema anakuja AY. Hatukumuona. Kwenye shoo ya Mwanza mlisema anakuja Diamond. Hatukumuona.
Kama ndiyo njia...
Wasanii wanaobadili sauti zao na kuongea kama watu maarufu mi wananiboa,naona kama hawapo funny,kama Steve Nyerere yaani naona kama katuni akiigiza sauti ya mwalimu,Kwenye Movie za King Majuto...
kwa kizazi hiki cha wabana pua ni ngumu kumkumbuka huyu mwanadada wa Congo lakini enzi zake alitikisa hasa, natamani mno wasanii wetu wajifunze kwa wanamuziki kama hawa japo kwa kusikiliza nyimbo...
Hali ya Msanii Banza Stone yaelezwa ni mbaya,kwa sasa yupo nyumbani kwake maeneo ya Sinza Vatican akijiuguza,wadau na wapenzi wa Msanii huyu wamsaidie apate mshauri kwani amekata tamaa,huku akiwa...
EPIQ BONGO STAR SEARCH 2013 itaonyeshwa TBC1 na sio ITV tena kama tulivyozoea
huku Chief Judge Madam Ritha akisema sababu kubwa ya kufanya hivyo ni sababu za
kibiashara(sijui zipi hizo) na pia...
Leo dada wa mkasi anatimiza miaka kadhaa. Hongera kwa kila alichotufanyia kwenye muziki wetu(enzi za planet bongo ya ukweli kabla mbana pua dulah hajaiharibu) hadi sasa kwenye mkasi.
Muungano...
Jamana hawa watu nimetokea kuwakumbuka leo hii wapo wapi hawa watu aisee nimewamiss sana toka kipindi kile cha mambo hayo itv.....
Sent from my BlackBerry 9000 using JamiiForums
Habari wanaJF,inajulikana kuwa msanii ni kioo cha jamii,na tunaamini jamii ni rahisi kumuiga msanii au mtu flani ambaye ni maarufu,tujadiri kidogo kuhusu wasanii wa hapa ndani ya nchi yetu kama...
Mwigizaji Irene Uwoya ambae alipata tuzo ya Steps kama mwigizaji bora kike 2012/2013 amethibitisha kuacha kuigiza movie kwa sasa ili kufanya kazi ambayo ameianza hivi karibuni.
Namkariri akisema...
Nimeshangazwa Tanzania kuwa na miss asiyekijua kiswahili kwa ufasaha!anakiri kwamba kiswahili chake sio kizuri eti ata2mia muda atakaokuwepo kujifunza na kukieneza!.NB:hivi inawezekana vp taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.