Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Jamana hawa watu nimetokea kuwakumbuka leo hii wapo wapi hawa watu aisee nimewamiss sana toka kipindi kile cha mambo hayo itv..... Sent from my BlackBerry 9000 using JamiiForums
1 Reactions
19 Replies
13K Views
Habari wanaJF,inajulikana kuwa msanii ni kioo cha jamii,na tunaamini jamii ni rahisi kumuiga msanii au mtu flani ambaye ni maarufu,tujadiri kidogo kuhusu wasanii wa hapa ndani ya nchi yetu kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwigizaji Irene Uwoya ambae alipata tuzo ya Steps kama mwigizaji bora kike 2012/2013 amethibitisha kuacha kuigiza movie kwa sasa ili kufanya kazi ambayo ameianza hivi karibuni. Namkariri akisema...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
msanii maharufu kipind cha nyuma kidogo amefarik dunia .Hizi habari nimepata kutoka watu wa karibu na yeye ni maharufu kwa jina la MACK 2B
1 Reactions
40 Replies
13K Views
Nimeshangazwa Tanzania kuwa na miss asiyekijua kiswahili kwa ufasaha!anakiri kwamba kiswahili chake sio kizuri eti ata2mia muda atakaokuwepo kujifunza na kukieneza!.NB:hivi inawezekana vp taifa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamaa anastahili pongezi kwa jinsi alivyobuni namna ya kuzitangaza fursa za nchi yetu kwa watu. Sijawahi kuona kitu kama hiki kinachoendeshwa sasa na Clouds FM. Yaani watu wamehamasika na kuelewa...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Lile tangazo la bibi kiroboto kwenye hakatwi mtu hapa,ile body language inaashiria nini? Naona katanua miguu halafu mikono kailekeza sehemu za siri huku anasema hakatwi mtu hapa! Kazi kwenu wateja...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna taarifa kwamba mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam Ajulikanaye kwa jina la Mzamir hivi sasa hana tena uume baada ya kufanyiwa unyama wa kutisha huko China. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa...
0 Reactions
111 Replies
28K Views
diamond platnumz akimkabidhi Mzee Gurumo gari jipya alilomnunulia @ Serena Hotel Dar source BONGO 5
2 Reactions
77 Replies
16K Views
Kila siku na kiingereza kilekile kibovu tu. Vipi wewe? Tumechoka kusikia ''in a house,'' ''you know what it is,'' ''it is what it is'.' ptuuuuuuuuuuu.......Kama lugha haipandi kaka una ruhusa...
1 Reactions
40 Replies
11K Views
Habari wanajamvi i hope mko poa na mnaendelea na mishe mishe za kila siku.leo na swali kwenu hivi nini maana ya utangazi coz juzi tu nilikuwa nasikiliza redio moja dah!! Kiukweli sikuelewa jamaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo saa 8:45 usiku wimbo wa ''WANAUME KAMA MABINTI'' wa Lady Jay Dee ulisikika kwenye kipindi cha ''Late Night Show'' cha hii redio. Japo mtangazaji wa kipindi hakuumaliza wimbo mzima, ni dalili...
2 Reactions
42 Replies
8K Views
Bonge la dude toka kwa binamu na woman and a half 'jay dee' aka anaconda.complex ndo alitengeneza hyo huku adam juma akismamia video. Bahati mbaya umepata pigo kwani wahusika hawawezi tena imba...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Radio V-103 iliyoanzishwa miaka 25 iliyopita Chicago, Marekani inatumia The Peoples station kama Clouds fm. Any coincidence? Link hii hapa: V103 - TODAY'S R&B & OLD SCHOOL: CHICAGO
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Huwezi kufika mbali bila kugeuka nyuma na kuangalia Adui wako kafikia wapi... ili ujue unamuongezea Hatua ngapi Mbele Kumuacha kabisa...! #WCB for life artwork by Andrew(h.desert)
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Nani kati yao yuko real na anaiwakilisha mitaa vilivo?!
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Nimepata taharifa kutoka kwa mtu wa karibu na Agnes masogange kuwa wanaandaa mapokezi makubwa airport ya kuwapokea ,kinachosubiriwa sasa ni Tarehe rasmi ya kuja,pia ikitangazwa mnaombwa kuja...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
our thoughts and Prayers are with you during this difficult time... Stay Strong! #WCB pic designed by heaven0762052850
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Huyu jamaa ni director producer na muigizaji wa movie za kutisha kutokea mkoani mwanza.baadhi ya movie alizowahi kuzitoa ni ile yaCHOZI LA URITHI hii movie ilimpa umaarufu si mwanza tu hadi dar na...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Binti (20) anayedai talaka kwa Amri Athuman 'King Majuto' (60) pembeni cheti cha ndoa na hicho alichokishuka ni wito wa kumwita Majuto Bakwata.
0 Reactions
34 Replies
15K Views
Back
Top Bottom