figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Staminah ft Rich Mavoko - Kabwela
nimepigwa msumari wa kichwa mwili unangoja
kaburi
maisha yamenipiga picha nega zimetoka vivuli
dunia tambala bovu nalidekia kwa shida
jitahidi kui'solve bila kutumia four figure
natamani nisimame ili nione magharibi
moyo umejaa ukame kuhema unajitahidi
macho yote yana ukungu utadhani chungu cha
bibi
nataka, kumuomba mungu shetani ananzidi
spidi men
vizuri viko wapi navisaka havionekani dah
napata makapi vinono navitamani
sina baba, sina mama, sina babu sina bibi
uchumi wangu umesimama kama behewa la
itigi
umaskini unanipodoa, bila kutumia cosmetics
daily unanizodoa, unanivuta bila magnetics
maisha yangu hayana swagga kama mmasai wa
Njiro
Natamani kula burger naishia viazi vya Gairo
dah
leo nimepata kesho nimekosa
nnachohifadhi maumivu tu
life ni ngumu bado inanichosha
nakula mbichi sili mbivu boo
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
sikusoma, kitajiri kichwa kimejaa madufu
maisha hayana tafsiri usidhani yanamjua lufufu
naichora, lami na mkaa kwa kudhani nitaona
chochote
atleast, basi ningekaa nisingeitwa kiokote
pesa imegeuka yuda, daily inanisaliti
mishale inazidi muda, utajiri unaninyima seat
maisha kama gwaride, kuna wa mwisho na wa
kwanza
ikisikika nyuma geuka, wa mwisho anakuwa wa
kwanza
taifa la kichwa changu Raisi wake naona kichaa
na kitabu, cha dhambi zangu kwa Mungu
kimeshajaa
ah, napatwa wazimu shida zinanitia madoa
pesa imekuwa adimu kama bikra kwa
changudoa
banda nnalofugiwa sihemi halina dirisha
wasichana wananikimbia wananiita nyoka wa
kibisa
msosi wangu sio wa drafti sili mpaka nijitume
maisha yana super shaft yashanizidi nguvu za
kiume
dah
leo nimepata kesho nimekosa
nnachohifadhi maumivu tu
life ni ngumu bado inanichosha
nakula mbichi sili mbivu boo
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
ushindi wangu ni wa uchafu kwenye vita ya
wasafi
kila nnayemuomba tafu anataka afanye na ulafi
maisha ni kombolela masikini ndio mlinda kopo
cha msingi ni kuunga tela mpaka utoke kwenye
msoto
kila jua linapozama natamani pasikuche
hasi inageuka chanya kapeto anageuka sunche
naona alama za mlango ila sioni pa kutokea
hii pesa imetoka jando inataka kuni-babu seya
nimegeuka konokono natembea na mzigo wa
shida
silali, nimekuwa figganigga maisha unakwenda na
mida
shida zishanipa ustaa, zaidi ya kanda ya loketo
tumbo umezoea njaa hadi shibe naiona mseto
vikombe vya uaminifu nishavivunja mtaani
na vijiko vya uhalifu nishaviweka kwenye sahani
mi nadhani, haya maisha yana ramani
na aliyewachorea masikini peni ilimgomea njiani
ah
leo nimepata kesho nimekosa
nnachohifadhi maumivu tu
life ni ngumu bado inanichosha
nakula mbichi sili mbivu boo
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela. Mia
nimepigwa msumari wa kichwa mwili unangoja
kaburi
maisha yamenipiga picha nega zimetoka vivuli
dunia tambala bovu nalidekia kwa shida
jitahidi kui'solve bila kutumia four figure
natamani nisimame ili nione magharibi
moyo umejaa ukame kuhema unajitahidi
macho yote yana ukungu utadhani chungu cha
bibi
nataka, kumuomba mungu shetani ananzidi
spidi men
vizuri viko wapi navisaka havionekani dah
napata makapi vinono navitamani
sina baba, sina mama, sina babu sina bibi
uchumi wangu umesimama kama behewa la
itigi
umaskini unanipodoa, bila kutumia cosmetics
daily unanizodoa, unanivuta bila magnetics
maisha yangu hayana swagga kama mmasai wa
Njiro
Natamani kula burger naishia viazi vya Gairo
dah
leo nimepata kesho nimekosa
nnachohifadhi maumivu tu
life ni ngumu bado inanichosha
nakula mbichi sili mbivu boo
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
sikusoma, kitajiri kichwa kimejaa madufu
maisha hayana tafsiri usidhani yanamjua lufufu
naichora, lami na mkaa kwa kudhani nitaona
chochote
atleast, basi ningekaa nisingeitwa kiokote
pesa imegeuka yuda, daily inanisaliti
mishale inazidi muda, utajiri unaninyima seat
maisha kama gwaride, kuna wa mwisho na wa
kwanza
ikisikika nyuma geuka, wa mwisho anakuwa wa
kwanza
taifa la kichwa changu Raisi wake naona kichaa
na kitabu, cha dhambi zangu kwa Mungu
kimeshajaa
ah, napatwa wazimu shida zinanitia madoa
pesa imekuwa adimu kama bikra kwa
changudoa
banda nnalofugiwa sihemi halina dirisha
wasichana wananikimbia wananiita nyoka wa
kibisa
msosi wangu sio wa drafti sili mpaka nijitume
maisha yana super shaft yashanizidi nguvu za
kiume
dah
leo nimepata kesho nimekosa
nnachohifadhi maumivu tu
life ni ngumu bado inanichosha
nakula mbichi sili mbivu boo
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
ushindi wangu ni wa uchafu kwenye vita ya
wasafi
kila nnayemuomba tafu anataka afanye na ulafi
maisha ni kombolela masikini ndio mlinda kopo
cha msingi ni kuunga tela mpaka utoke kwenye
msoto
kila jua linapozama natamani pasikuche
hasi inageuka chanya kapeto anageuka sunche
naona alama za mlango ila sioni pa kutokea
hii pesa imetoka jando inataka kuni-babu seya
nimegeuka konokono natembea na mzigo wa
shida
silali, nimekuwa figganigga maisha unakwenda na
mida
shida zishanipa ustaa, zaidi ya kanda ya loketo
tumbo umezoea njaa hadi shibe naiona mseto
vikombe vya uaminifu nishavivunja mtaani
na vijiko vya uhalifu nishaviweka kwenye sahani
mi nadhani, haya maisha yana ramani
na aliyewachorea masikini peni ilimgomea njiani
ah
leo nimepata kesho nimekosa
nnachohifadhi maumivu tu
life ni ngumu bado inanichosha
nakula mbichi sili mbivu boo
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela
huwezi amini bado kabwela
sina uhuru kama niko jela. Mia