Salaam,
leo nilikua naangalia youtube compilation ya ma celebs wanapo wa surprise mashabiki wao either kutokea nyumbani kwao au kuibuka ghafla kwenye talk shows. Nimejikuta napigwa na butwaa...
RAY C AMPA KIPIGO NORAPosted by GLOBAL on October 28, 2013 at 8:00am1 Comment 0 Likes
Na Musa Mateja
KATIKA hali ya kushangaza, siku chache baada ya kuripotiwa kupona na kuacha matumizi ya madawa...
Ni tanzania to lagos,skelewu vs ngololo.
Diamond anatalajia kwenda Lagos week hii kuungana na Mwanmziki nguri Davido kishoot video mpya ya remix ya number one waliyoifanya Davido alipokuwa...
Duh kama izi tetesi ni za kweli basi kazi tunayo akina kantupeni,tetesi zilizopo chini ya kapeti ni kuwa ile promotion inayotarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa na kampuni ya vodacom pale...
Katika hali ya kushangaza, baba wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba amempiga marufuku mama mzazi wa msanii huyo, Flora Mtegoa kutumia jina la...
Ni ukweli unajulikana kina Kim Kardashians
walivyoanzisha kipindi chao cha kuonesha maisha yao
hata wao hawakujua nini kitataokea mwisho
na watu wengi mwanzo waliona kama ni 'sio reality show'...
Kila jumapili kuanzia saa tatu usiku na kuendelea,unapata nafasi hadimu ya kuimba nyimbo unayoipenda,unaweza kuimba na mpenzi wako kama ukipenda, kiingilio ni bureee ni miguu yako tu,ni pale pale...
Baby Madaha amemchana Shilole na kusema muziki wake ni wa vigodoro. Anadai yeye music wake ni classic. Baby anasema ingawa ana mafanikio kibao lakini hapigi kelele! "I dont make noise. Let success...
Hapa Bob Junior Akiwa Mombasa na Ashley Toto hivi Karibuni
Hapa Bob Junior Akiwa Ujerumani na Dada Ashley Toto
Wakila Raha Ujerumani Frankfurt
Wakiwa Ujerumani...
Mjasiriamali na mwandishi bora wa riwaya za kusisimua nchini Eric james shigongo kwa mara ya kwanza katoa riwaya ya kusisimua inayoitwa A SAINT AND A GHOST ambayo inahusisha maisha ya vijana na...
Ninahisi kuwa clouds wanampango wa kuja na kitu/burudani ambayo inaweza kuwa karibu kabisa na show ya p square ili tu kuwaharibia jamaa wa EATV ili nao wabume kama wao walivyobuma.
Hii ni...
The world's tallest man has married - and his new bride barely reaches his waist.
At 5'8" Merve Dibo isn't a particularly short lady, but next to her giant groom Sultan Kosen, who looms at an...
Najua wapo wanaopita hapa watakufikishia taarifa.
Nimepata kusikiliza Joto Hasira Remix ambayo umemshirikisha Mkoloni, Songa, na One The Incredible.
Kusema ukweli hii Remix hujaitendea haki...
Sio kawaida kwa waislamu kuagwa sura ya mwisho na miili yao kuhifadhiw kwenye masanduku(majeneza) kama ilivyotokea kwa marehemu mzee sepetu.mzee alikuwa mkristo au swaga tu,maana mazishi ya...
Kupitia account yake ya Twitter msanii Alaine ameandika hivi:
Alaine Laughton Alainesinga
"Tanzania I love you. The sound system however did not love me. The delay was so bad. Couldn't hear...
Hii ingekuwa bongo TAAA zingezimwa then wadau wanajivinjari
sintoshangaa ikitokea coz wengi wetu tumezoea kuiga ya wenzetu
Hivi tabia ya kulamba koni/kuzama chumvini/..m...nduni mmeitoa wapi...