Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Katibu Mkuu wa UDASA, Dk. Dominicus Makukula, amesema wakati alipomtembelea Dk. Melikisedeki Kaijage, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) anayekabiliwa na kesi ya ugaidi, alitoa ujumbe mmoja...
10 Reactions
42 Replies
593 Views
Nilikuwa naangalia Kilele cha Tamasha la Kizimkazi, Zanzibar nimeona uwepo wa viongozi wetu wa juu wa nchi, Rais wa Jamhuri ya Muungano, Rais wa Zanzibar na Makamu wa Rais. Nimejiuliza Waziri Mkuu...
7 Reactions
26 Replies
541 Views
Anonymous
HOJA 
Nina vijana wangu sita wanaosoma katika Chuo cha Mwalimu Nyerere pale Kigamboni wameathirika baada ya kufutiwa matokeo yao na kuambiwa kuwa walighushi matokeo. Kwa maelezo tuliyoyapata, si watoto...
1 Reactions
4 Replies
101 Views
1: Kama Jesus walimsurubu kwa kuponya na kufanya miujiza iweje wewe ukubalike? de Gunner amekuwa na kitu special katika jukwaa hili.. Ni mtu aliyependa ukweli, alipenda kuongea point na kuitetea...
4 Reactions
10 Replies
115 Views
Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kupitia Mwenyekiti wao Nasra Mohamed Ramadhani umeitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumfuatilia kwa umakini Makamu Mwenyekiti...
0 Reactions
3 Replies
55 Views
Trump: "Tunashinda sana dhidi ya Iran." Lakini ndani ya saa 24 — Marekani yapoteza 25% ya ndege zake za Reaper, meli ya Lincoln yarudi baada ya siku 266, Iran yasisitiza Hormuz ni yake. Ushindi si...
3 Reactions
10 Replies
102 Views
Unarogwa na maadui unaofanya nao kazi kwa wivu na chuki zisizofaa kimaendeleo. Uraiani unarogwa na wananzengo ambao hata ukivaa shati na wakiona wewe una uhakika wa kura ugali dagaa wanachukia...
2 Reactions
4 Replies
46 Views
Je, kuna urafiki wa kweli usio na hisia za mapenzi kati ya mwanaume na mwanamke?
3 Reactions
10 Replies
33 Views
Mara ooh mama yako akikwambia maneno mabaya utateseka sana kwenye hii Dunia , uongo Baba yako akivua ngua akanyoosha uume juu huku akisema kama kweli wewe ni mwanangu nimekuzaa ufe ahivi...
17 Reactions
109 Replies
893 Views
Je, unaweza kumpa mpenzi wako password ya simu yako bila uoga wowote?
2 Reactions
5 Replies
18 Views

FORUM STATS

Threads
2,081,203
Posts
55,954,120
Back
Top Bottom