Katibu Mkuu wa UDASA, Dk. Dominicus Makukula, amesema wakati alipomtembelea Dk. Melikisedeki Kaijage, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) anayekabiliwa na kesi ya ugaidi, alitoa ujumbe mmoja...
Nilikuwa naangalia Kilele cha Tamasha la Kizimkazi, Zanzibar nimeona uwepo wa viongozi wetu wa juu wa nchi, Rais wa Jamhuri ya Muungano, Rais wa Zanzibar na Makamu wa Rais. Nimejiuliza Waziri Mkuu...
Nina vijana wangu sita wanaosoma katika Chuo cha Mwalimu Nyerere pale Kigamboni wameathirika baada ya kufutiwa matokeo yao na kuambiwa kuwa walighushi matokeo.
Kwa maelezo tuliyoyapata, si watoto...
1: Kama Jesus walimsurubu kwa kuponya na kufanya miujiza iweje wewe ukubalike?
de Gunner amekuwa na kitu special katika jukwaa hili..
Ni mtu aliyependa ukweli, alipenda kuongea point na kuitetea...
Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kupitia Mwenyekiti wao Nasra Mohamed Ramadhani umeitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumfuatilia kwa umakini Makamu Mwenyekiti...
Trump: "Tunashinda sana dhidi ya Iran." Lakini ndani ya saa 24 — Marekani yapoteza 25% ya ndege zake za Reaper, meli ya Lincoln yarudi baada ya siku 266, Iran yasisitiza Hormuz ni yake. Ushindi si...
Unarogwa na maadui unaofanya nao kazi kwa wivu na chuki zisizofaa kimaendeleo.
Uraiani unarogwa na wananzengo ambao hata ukivaa shati na wakiona wewe una uhakika wa kura ugali dagaa wanachukia...
Mara ooh mama yako akikwambia maneno mabaya utateseka sana kwenye hii Dunia , uongo
Baba yako akivua ngua akanyoosha uume juu huku akisema kama kweli wewe ni mwanangu nimekuzaa ufe ahivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.