Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,603
- 4,762
Acha kutetea Ushoga weweDuh! Nimezungumza facts sijasema natetea mashoga, hili ndio tatizo kubwa la Watanzania wengi. Tunabebwa na upepo our reasoning capacity iko chini mno, ndio maana akija mtu akisema anatibu kwa kutumia kikombe wote tunakimbizana