We nawe hauna akili, huyo mzungu kwani amemuita mtu akamlazimisha kumfi#, mzungu lazima kaita watu ambao wanatobolewa ndo wakaona sasa tutobolewe na mzungu ila deep far wameshatobolewa sana na wabongo huko mtaani kwao
hana akili mama yako!
 
Hii report haijamtaja Mzunngu mmoja yupo Arusha anafanya kazi UN-MICT na alianza toka UN-ICTR anaitwa Tom Adami yupo kitengo cha Archives,Anajulikana hadi na mapolisi wa Arusha kwa kuwaharibu vijana wadogo.Kwakua ana diplomatic protection huwa hafanywi kitu,hadi mke wake mkenya aliamua kumuacha.Arusha anajulikana sana kwa tabia yake chafu na hata kuwapa kazi gays UN.
Gays gan wa kibongo walipewa kazi huko UN? hizi story za vijiweni peaneni vizuriii khaaaah.

 
sitaki kupanga kazi ya MUNGU ila hii dunia ingeanza mwanzo tena...

DUME LINAKOJOA ETI NAE ANAKOJOLEWA alafu anajifanya bonge la SELA....

Dunia iende zake tu....

Nikifa sjui watoto wangu itakuwaje? 😥😥😥 inanikata sana hii inshu ya USHOGA.
 
1. Serikali imkamate upesi huyu Raia wa Marekani Bwana David ( Mpumbavu na Shetani ) na ahojiwe kwanini ameshatuharibia Kizazi cha Vijana wengi wa Kiume Mkoani Dar es Salaam?

2. Kama Serikali inaogopa Kukabiliana nao Kimedani basi iseme tu kimya kimya Kwetu Wananchi wenye Hasira ( Wakiongozwa nami GENTAMYCINE ) tumalizane nao ( Kimkakati ) kama ambavyo tumemalizana na Wezi / Vibaka Sugu Mwananyamala, Manzese na Msasani.

3. Upesi sana wakamatwe Watanzania wanaomsaidia huyu Mpumbavu Mzungu Mmarekani David kufanya huu Upumbavu wake mkubwa Usiovumilika kwa Watanzania Wenzetu ambapo GENTAMYCINE nimetajiwa Majina yao wakiwemo baadhi ya Wakubwa, Watendaji wa Wizara, Wastaafu fulani, Wasanii, Waandishi wa Habari ( Watangazaji maarufu wakiwemo ) na hata Viongozi wa Dini ( Wahubiri Wakubwa ) tu nchini.

4. Wamiliki wa Kumbi zote za Starehe na Hotels Kubwa mpaka na Appartments za Mbezi Beach zilizotajwa na Investigative Journalist Catherine Kahabi Wakamatwe, Wahojiwe kwa Kina na Washtakiwe.

5. Ile Barua ya Wizara ya Mambo ya Nje iliyotolewa wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiwa Paul Makonda iliyoonyesha kuwa Serikali haikumtuma Paul Makonda Kupambana na Ushoga nchini ikanushwe haraka sana na Serikali ( Mamlaka ) kwani kumbe kuna Watu wanaitumia hiyo Barua ya Wizara katika Kuwaambia Mashirika Matajiri ya Kizungu yanayojihusisha na Ushoga duniani kuwa Serikali ya Tanzania inaruhusu Ushoga na Wao kuwa Mawakala wao na Kujipatia Fedha nyingi mno.

6. Ifanyike Tathmini Kubwa na ya haraka ni Kiasi gani huyu Mzungu Mmarekani Shetani David na Mtandao wake Wameharibu Watoto wa Shule za Msingi ( Primary ) na Upili ( Secondary ) kwa Ushoga kwani tayari GENTAMYCINE namalizia Kukamilisha Uchunguzi wangu Binafsi juu ya Mwanafunzi wa Darasa la Sita ( Shule naihifadhi kwa sasa ) ambaye ni Shoga na ameshaharibu karibia 35% ya Wanafunzi wa Kiume wa hiyo Shule yake anayosoma.

7. Wanaume Wenzangu kuweni makini na Mazingira mnayokuweko, Vinywaji mtumiavyo mkiwa katika Kumbi za Starehe na Watu wanaowazungukeni kwani kwa mujibu wa Dada Catherine Kahabi ( Investigative Journalist ) ni kwamba huyu Mzungu Mpumbavu na Shetani David na Mtandao wake wana Dawa Maalum, Manukato na Nguo ( hasa hasa Jezi za Timu za Mpira Kubwa nchini na zile za Ulaya ) ambapo wakikupa tu na Kunywa, Kupakaa na Kutumia basi Wewe Mwenyewe kwa ridhaa yako unamtafuta Shetani David Mmarekani popote alipo aje afungue Utepe wa Marinda yako kwa Kuyafumua bila Huruma na Kunakotukuka

GENTAMYCINE nimalizie kwa kumpa pongezi zangu nyingi mno Dada Catherine Kahabi ( Investigative Journalist ) na Wasaidizi wake kwa Kazi Kubwa aliyoifanya kwa kutuletea hii Special Report yake ambayo Kiukweli imetufungua mengi zaidi.

Ombi langu tu Kwake Dada Catherine Kahabi ( Investigative Journalist ) na Dk. Harrison Mwakyembe walioamua Kuvaa Mabomu na Kujilipua Kupambana na hawa Mashoga na Mtandao kuwa kuanzia sasa wawe Makini na Usalama Wao, Serikali iwalinde kwani wameamua Kupambana Vita ambayo ni Kubwa, Chungu na ya Hatari Kwao huku Sisi Wengine tukiwaombea Ulinzi mkubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.

Hali ya Ushoga ni mbaya Tanzania!!!
duh aisee
 
Issue hizi ni kupanda tu gar ya umaarufu kupitia ushoga.... Huyu dada ana raha sana kakomaa na mazuzu na bila scientific evidences anakuja kuconclude hapa na watu wanampa promo... ushoga mimi naamini sio kiivyo upo ila tunaupromote tu... tunaacha major issues za society
 
Kupambana na adui sharti ujue ana nguvu gani? Unataka ku deal nae kimya kimya, je akifa halafu waliomtuma wakataka kuwawajibisha wauji hamuoni kuwa mtaleta tafrani kubwa ya kidiplomasia? Kama hao walijitoa muhanga kujilipua waendelee kuwataja wahusika kuliko kutoa ripoti inayoning'inia hewani. Hao watu maarufu na taasisi watajwe hadharani jamii iwafahamu na ichukue hatua kujitenga na shughuli zao. Sasa mpaka mnasema wapo wasanii, wanadini na wengine wengi ni bora ijulikane wazi kuliko kuendelea kushiriki kwenye shughuli zilizo nyuma ya ushetani
 
..
tapatalk_1570946898001.jpg
FB_IMG_1570960151009.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa Dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini? Yaani limekuwa ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume, Mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?
Shetani amesogea karibu zaidi.
 
Wengine tupo karibu na wasanii na wanadini maarufu, sasa kama ripoti inawataja ni miongoni mwa vinara wa ushoga na hatujatajiwa majina na taasisi zao kinagaubaga itabidi tujiongeze kujua ni kina nani hao hasa ili tuanze kuchukua hatua za kujitenga na kazi zao. Ingekuwa enzi za magu sasa hivi ingekuwa patashika na taharuki kwa jamii kuhamaki kusikia majina hayo. Kwa sababu za kiusalama huenda majina hayo yasitajwe, tuchakate wenyewe kuwabaini washenzi hao
 
Back
Top Bottom