Top for B
JF-Expert Member
- Mar 4, 2023
- 662
- 2,297
Popoma naona umeamua kuleta upopoma wako hapa, akili kubwa haiwez kukaa na kuanza kujadili ule utafiti uchwara wa mala¥a alieamua tu kutafta upepo wa kutokea,
Hamna mzungu anayetoka ulaya kuja kimgeuza mtu kuwa shoga na haitakaa itokee,
Ina maana hata wewe wakikukuta na kukupa mafuta na spray utaenda kuwapa mzigo, au tuseme wameamua kuweka hizo vitu vyao kwenye maduka wewe ukanunua accidentally bila kufahamu ukishatumia utatoka hapo na kuanza kutafuta mtu akushughulikie, acheni mawazo ya kipumbavu hata kwa kitu ambacho kinahitaji reasoning ya babyclass
Ushoga unaanzia kwenye familia zenu na upo tokea zamani, tawala za kichifu pia zilikua na wanaume ambao chifu anawapelekea moto vizuri kabisa ila ni kitu ambacho hutakaa uambiwe kazi kupiga kelele wazungu,
N.B Sipo katika kuwatetea wazungu ila mkijadili hili suala mjadili ukweli wake na sio kukaa na kujadili myths ambazo hazipo duniani.
Hamna mzungu anayetoka ulaya kuja kimgeuza mtu kuwa shoga na haitakaa itokee,
Ina maana hata wewe wakikukuta na kukupa mafuta na spray utaenda kuwapa mzigo, au tuseme wameamua kuweka hizo vitu vyao kwenye maduka wewe ukanunua accidentally bila kufahamu ukishatumia utatoka hapo na kuanza kutafuta mtu akushughulikie, acheni mawazo ya kipumbavu hata kwa kitu ambacho kinahitaji reasoning ya babyclass
Ushoga unaanzia kwenye familia zenu na upo tokea zamani, tawala za kichifu pia zilikua na wanaume ambao chifu anawapelekea moto vizuri kabisa ila ni kitu ambacho hutakaa uambiwe kazi kupiga kelele wazungu,
N.B Sipo katika kuwatetea wazungu ila mkijadili hili suala mjadili ukweli wake na sio kukaa na kujadili myths ambazo hazipo duniani.