Popoma naona umeamua kuleta upopoma wako hapa, akili kubwa haiwez kukaa na kuanza kujadili ule utafiti uchwara wa mala¥a alieamua tu kutafta upepo wa kutokea,
Hamna mzungu anayetoka ulaya kuja kimgeuza mtu kuwa shoga na haitakaa itokee,
Ina maana hata wewe wakikukuta na kukupa mafuta na spray utaenda kuwapa mzigo, au tuseme wameamua kuweka hizo vitu vyao kwenye maduka wewe ukanunua accidentally bila kufahamu ukishatumia utatoka hapo na kuanza kutafuta mtu akushughulikie, acheni mawazo ya kipumbavu hata kwa kitu ambacho kinahitaji reasoning ya babyclass

Ushoga unaanzia kwenye familia zenu na upo tokea zamani, tawala za kichifu pia zilikua na wanaume ambao chifu anawapelekea moto vizuri kabisa ila ni kitu ambacho hutakaa uambiwe kazi kupiga kelele wazungu,
N.B Sipo katika kuwatetea wazungu ila mkijadili hili suala mjadili ukweli wake na sio kukaa na kujadili myths ambazo hazipo duniani.
 
Popoma naona umeamua kuleta upopoma wako hapa, akili kubwa haiwez kukaa na kuanza kujadili ule utafiti uchwara wa mala¥a alieamua tu kutafta upepo wa kutokea,
Hamna mzungu anayetoka ulaya kuja kimgeuza mtu kuwa shoga na haitakaa itokee,
Ina maana hata wewe wakikukuta na kukupa mafuta na spray utaenda kuwapa mzigo, au tuseme wameamua kuweka hizo vitu vyao kwenye maduka wewe ukanunua accidentally bila kufahamu ukishatumia utatoka hapo na kuanza kutafuta mtu akushughulikie, acheni mawazo ya kipumbavu hata kwa kitu ambacho kinahitaji reasoning ya babyclass

Ushoga unaanzia kwenye familia zenu na upo tokea zamani, tawala za kichifu pia zilikua na wanaume ambao chifu anawapelekea moto vizuri kabisa ila ni kitu ambacho hutakaa uambiwe kazi kupiga kelele wazungu,
N.B Sipo katika kuwatetea wazungu ila mkijadili hili suala mjadili ukweli wake na sio kukaa na kujadili myths ambazo hazipo duniani.
Kumbe machogo mpo wengi hapa JF!! Lakini hamtashinda na ushetani wenu huo!!
 
KUNA SHG MMOJA WENYEWE WANASEMA NI DISIGNER WA MAVAZ MPAKA WASANII WANAMTUMIA UNAAMBIWA JUZI KATI ALIKUWA ANAZINDUA OFISI YAKE MITAA YA KWA MAKOMA
HILO NYOMI SI LA KITOTO MABASHA+WASANII KIBAO WA KIBONGO WALIKUWEPO

CHUKUA NYINGINE HII,JUZI KATI UNAAMBIWA,KUNA SHOGA KAPANGIWA MITAA YA BUIBUI NYUMBA,HAPO KUNA BAHASHA WAWILI FUMQNIANA KWA SHOG
HUYO MPAKA WENYEWE KWA WENYEWE WAKATA KUZICHAPA
WAKIMGOMBANIA SHG HUYO
MMOJA ANAMWAMBIA MW3NZAKE YEYE KAMPANGIA NYUMBA,NA MWINGINE ANASEMA YEYE KAMPA MTAJI
KWA KIFUPI MM NINGEKUWA NDY SERIKALI NINGEPIGA MAARUFUKU MAMBO YA WASANII NA MATAMASHA YAO.....
MPAKA NIONE WANAKAA KWENYE MSTARI

OVA
afu umeandika kwa herufi kubwaa. Daaah
 
Hii report haijamtaja Mzunngu mmoja yupo Arusha anafanya kazi UN-MICT na alianza toka UN-ICTR anaitwa Tom Adami yupo kitengo cha Archives,Anajulikana hadi na mapolisi wa Arusha kwa kuwaharibu vijana wadogo.Kwakua ana diplomatic protection huwa hafanywi kitu,hadi mke wake mkenya aliamua kumuacha.Arusha anajulikana sana kwa tabia yake chafu na hata kuwapa kazi gays UN.
 
Nani Kati yenu anamjua shoga yeyote personally achana na hawa wa mitandaoni na maarufu? Probably hakuna. Mnaangalia na ishu non-existent wakati Kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili. Miafrika inawaza ngono tu.

Kwanza ijulikane estrogen (female hormone) hata wanaume wanazo naturally and vyakula vya Kila siku vina ongeza estrogen kwa wanaume na bado wengi tu sio mashoga. Haiwezekani a one time dosage tena ya toothpaste na perfume imfanye mtu awe shoga. Haiwezekani. Halafu wewe mwanaume na ndevu zako unakubali zawadi ya perfume na toothpaste kweli? It will take a truckload of it kumgeuza mtu awe shoga.

Hivi mizungu iwafanye nyie muwe mashoga kwa umuhimu gani hasa?

Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level. No more, no less. Msikimbie majukumu yenu. Mashoga wengi wameanza hii michezo majumbani mwao sio shuleni wala sehemu nyingine.

Kila research Ina agenda yake sijui huyu dada agenda yake ni ipi. Itakua kasoma upepo kaona mitanganyika inapenda story za ushoga kajiongeza.

CC: BICHWA KOMWEE Dr. Mariposa
You nailed it.
 
Wewe shoga kwani hujasikia kwenyetaarifa hiyo kwamba hizo perfume zilipelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali na akathibitisha kuwa perfume hizo zinaathiri hormone za kiume na kuongeza hormone za kike??. Nakushauri achana mchezo huo
I don't argue with idiots.
 
Hii report haijamtaja Mzunngu mmoja yupo Arusha anafanya kazi UN-MICT na alianza toka UN-ICTR anaitwa Tom Adami yupo kitengo cha Archives,Anajulikana hadi na mapolisi wa Arusha kwa kuwaharibu vijana wadogo.Kwakua ana diplomatic protection huwa hafanywi kitu,hadi mke wake mkenya aliamua kumuacha.Arusha anajulikana sana kwa tabia yake chafu na hata kuwapa kazi gays UN.
We nawe hauna akili, huyo mzungu kwani amemuita mtu akamlazimisha kumfi#, mzungu lazima kaita watu ambao wanatobolewa ndo wakaona sasa tutobolewe na mzungu ila deep far wameshatobolewa sana na wabongo huko mtaani kwao
 
Mostly of us ,we settle on Consequence ila hatujaweza kabisa kuangalia mzizi wa Matatizo yaani sababu kukuu ya Serikali ya marekani kuhangaika kusapoti Ushoga kwa kiasi na Kasi kubwa.


Tukitaka kujua Tatizo lazima tujue,Kwanza U .S wanafaidika na Nini katika hii agenda yao?? Au ndiyo Wanataka kutugeuza zombie@@@@ utani ila kuna jambo wamelitaget kulifanya siku za mbele.


What's that?
Kwa wakristo wataelewa, hizo ndo ajenda za mpinga kristo, ishu sio serikali za marekani bali wakuu wanaoiendesha hyo serikali kwa remote control, hao ndio wazee wa new world order, lengo kubwa kumuasi Mungu, na kuweka utawala wa shetani duniani sasa kazi ya kwanza ni kupunguza idadi ya watu ili in future iwe rahisi kutawala, lengo likitimia zitakuja serikali moja, sarafu moja etc, mpaka ile chapa ya mpinga kristo ifike. Kwa kuwa ushoga na usagaji ni uasi mbele za Mungu, basi mawakala wa shetani wanaopigia debe na kupata wanachama wapya kila siku maana yake ni shetani anavuna waasi wenzie wa kutosha, siku ya hukumu ikifika wakaogelee naye kwenye ziwa la moto.
 
Back
Top Bottom