Mkuu uwe unatuwekea kabla pia itakuwa vizur
Mkuu uwe unatuwekea kabla pia itakuwa vizur
naona unajioa promo raia wafungue acc 888bettuendelee kuokota code wakuuView attachment 2504734
sio mimi mkuu, ni mwalimu wetu kutoka jamhuri ya twita..........naona unajioa promo raia wafungue acc 888bet
Jamaa hamna kitu huyo sema anamaneno mengi sana...sio mimi mkuu, ni mwalimu wetu kutoka jamhuri ya twita..........
hapo tayar anakula kamisheni yake mdogo mdogo
Kuna kitu unatafuta,mbona unajifagilia sana boss,kana kwamba we ndio wa kwanza kuleta codes humu?(just kidding).Kueni alert comrades baadae naleta mkeka mwingine atakayeniamini tena atasherekea mafao ya uaminifu wake!
Nami nasubiria, nimetengeneza MasterCard ya Airtel money wamekata elfu mbili , nimeingia skrill ku add card inakataa, sijui nakwama wapinaomba maelezo ya kuweka na kutoa Airtel money kwenda skrill na kutoka skrill kwenda airtel money?
And you took it persona! Kila mtu analeta ambacho anaona kinafaa na mimi pia naleta ninachoona kinafaa. Maamuzi ni yako kusuka au kunyoa. Betting is fun gamble responsibly Long stepKuna kitu unatafuta,mbona unajifagilia sana boss,kana kwamba we ndio wa kwanza kuleta codes humu?(just kidding).
izi njia zote za mlolongo kisa tu kumkimbia wakala yaan unadepodit kutoka skrill 100000 inafika 75000 kuwen serious basiNami nasubiria, nimetengeneza MasterCard ya Airtel money wamekata elfu mbili , nimeingia skrill ku add card inakataa, sijui nakwama wapi
Hapa mdau unanihakikishia skrill ina makato makubwa hivi 🤭izi njia zote za mlolongo kisa tu kumkimbia wakala yaan unadepodit kutoka skrill 100000 inafika 75000 kuwen serious basi
Naomba namba ya wakala wa 1xbetWale wataalam x1bet Leo mmetususa
Msaada namba ya wakalaizi njia zote za mlolongo kisa tu kumkimbia wakala yaan unadepodit kutoka skrill 100000 inafika 75000 kuwen serious basi
Huyu hapaNaomba namba ya wakala wa 1xbet
ASante
nasuilia mzgo huo nijilipueAnd you took it persona! Kila mtu analeta ambacho anaona kinafaa na mimi pia naleta ninachoona kinafaa. Maamuzi ni yako kusuka au kunyoa. Betting is fun gamble responsibly Long step
Mwenye namba ya wakala Lukasi1XBET kila nikitaka kujiunga nakutana na vipengele,,wakala nikasema NO
Hapa mdau unanihakikishia skrill ina makato makubwa hivi 🤭