tumia menu kwa tigo pesanalipia direct kwenye app ila inagoma sasa sijui tatizo nn
tumia menu kwa tigo pesanalipia direct kwenye app ila inagoma sasa sijui tatizo nn
aaah ok shukran namba ya kampuni ?tumia menu kwa tigo pesa
Nipo hapa nitafanya edit kidogo tu.
Ukimaliza usitusahau pia weka nasi tupite nazoNipo hapa nitafanya edit kidogo tu.
Tuonyeshe na Lost basi ili tujifunze zaidi,ndugu Proffesor
Mkuu kwenye usajili wa skrill nakwama kwenye kujaza nchi inaload na mwisho ni sema "errors in general servers"Kwa wale wa kutaka kutumia 1xbet bila wakala
i)Kuweka ni kama ifuatavyo
Airtel money or Bank A/c >Skrill Account (Hii ni app kama Paypal n.k) >1xbet wallet.
ii)Kutoa nayo ni kama ifuatavyo
1xbet wallet >Skrill App>Airtel Money or Bank A/c.
Changamoto ni Skrill app,sababu lazima waku~verify.
Kama hapo kwako ni mziki endelea tu kutumia wakala
naomba maelezo ya kuweka na kutoa Airtel money kwenda skrill na kutoka skrill kwenda airtel money?Kwa wale wa kutaka kutumia 1xbet bila wakala
i)Kuweka ni kama ifuatavyo
Airtel money or Bank A/c >Skrill Account (Hii ni app kama Paypal n.k) >1xbet wallet.
ii)Kutoa nayo ni kama ifuatavyo
1xbet wallet >Skrill App>Airtel Money or Bank A/c.
Changamoto ni Skrill app,sababu lazima waku~verify.
Kama hapo kwako ni mziki endelea tu kutumia wakala
Mkuu uwe unatuwekea kabla pia itakuwa vizur
naona unajioa promo raia wafungue acc 888bettuendelee kuokota code wakuuView attachment 2504734
sio mimi mkuu, ni mwalimu wetu kutoka jamhuri ya twita..........naona unajioa promo raia wafungue acc 888bet
Jamaa hamna kitu huyo sema anamaneno mengi sana...sio mimi mkuu, ni mwalimu wetu kutoka jamhuri ya twita..........
hapo tayar anakula kamisheni yake mdogo mdogo