24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,624
- 5,947
inategemea na walioshinda wangap wanagawa labda milion moja tu kwa washind hao kwa kuigwa kima kund wale wa 9,10,11 kwahiyo inategema na upepo utakavo kuwa siku hiyo tembelea m bet uone mgawo unavyo fanywa,,,Kwahiyo hata zisiposhinda zote zikashinda 9,10,11 unapata angalau kifuta jasho? Mfano 9 utapata kiasi gani mkuu?