tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,355
- 19,166
mkuu amka uangalie BIA SHEVA alichofanya, huwezi kuamini.Nitaingia kesho saa mbili usiku kuangalia matokeo. Ngoja nipumzike
mkuu amka uangalie BIA SHEVA alichofanya, huwezi kuamini.Nitaingia kesho saa mbili usiku kuangalia matokeo. Ngoja nipumzike
hahahahaha! mm nafikiri hayo mawazo nakuwa nayo mm tu kumbe tupo wengi? nimecheka sana i see!Hivi hawa galatasaray watuazimishe goli moja tu
hakika mkuu. na hata kama timu moja ikichana hupaswi kulaumu sana. umeona eeh?Hilo kokoro linaitwa saka shimo,yapo menzie kibao hapa.
Hayo huwa sio ya kuyachungulia siku ya tukio bali siku moja baada ya tukio unaangalia balance tu kama kuna 6 digits au.
pongezi mkuu kwa ushauri wako mujarabu.Thanx God for your charity,inplay imenipa kamtaji kaleo ambako nitatengeneza kokoro la dbc tu litakalomng'oa meno huyu manywele.
Pongezi zingine ni kile kitendo cha kuniarlet nisimpe win huyu wala over huyu SHEEVA.
Ila wakuu niwaase jambo moja juu ya mechi ya MAN CITY,kuwa kutoa over 2.5 ni kama tajiri kupenya tundu la sindano ili kuingia mbinguni japo anaweza akapenya,maana jana niliona kuna mtu anataka kuipa over 3.5
PIA ningeomba tuifanye ile kampeni ya Mr.wise ya kukusanya odds mbili tu ili tutengeneze pesa.
Mie nitazileta hivi punde wakuu.
jamani naangalia game ya lakers hapa. chezeni ata over 52.5 itatoa tu. ful mwendo kasiiii.
daaah, si mchezo chief.LA Clippers sijui kimewakuta nn aisee ...
Bank Cep sio Pahala pa Ku bet.Wadau mi mgeni kidogo wa mikeka.naomba msaada namna ya kubeti banko cep na namna ya kulipia.
umebeti kama mimi mkuu...ngoja tumsubiri kanji kama anakuja kuchukua chake, achukue tu.Team Odd Selection
ARSENAL 1.26 WIN
MANCHESTER
UTD 1.20 WIN
HULL CITY 1.30 LOSE
ASTON VILLA 1.65 WIN
NEWCASTLE 1.62 WIN
OOSTENDE 1.40 WIN
BOLTON 1.47 WIN
CLUB BRUGGE 1.16 WIN
Chelsea ana uwezo wa kushinda hata bila kuwepo watu hao. Kwanza leo Zouma anarudi dimbani...ataziba pengo la Kante.D.Costa na kante hawatakuwepo. Tahadhari
Asante mkuu kwa kunifahamisha.sehemu nzuri ya kubet ni ipi ambayo nitalipia kwa kutumia tigo Pesa.maana naona ziko nyingi.nataka nijilipue leoBank Cep sio Pahala pa Ku bet.
Ni App tu ambayo inahusika na kutoa Predictions kuhusu betting.
uko vizuri hapa bossWakuu nimeamua kujilipua kama ifuatavyo pasipo kushinikizwa wala kushurutishwa na mtu yeyote...nataka kunenepesha kamtaji. Na liwalo liwe...kama kanji anakula hii ndoano, aimeze tu!
View attachment 450449
BiG UP Chief ... mimi hao Clippers sitaki hata kuwaona, sheenz kbs ... Ila hiyo game kwao ni straight forward watashinda. Lakers wabovu sn skuiz