Nimeingia saloon kujiweka fresh nimeacha chelsea anaongoza 1-0 , nakuja kutoka baadae sana mpira ulikua umeisha naingia sportybet mkeka wangu siuoni kwenye unsettled najiuliza imekuwaje? kuja kucheki flash score kumbe wametoa sare 2-2 daah! yan hapa nimechoka natamani hata nistaafu hiki cheo cha afisa ubashiri.
 
.natengeneza odds zangu hapa
JamiiForums-98354702.jpg
 
Msaada odds 5 game za kesho
Nina ka 5k hivi..
Nipate ya supu kesho
Napoli win,Bayern ov 1.5goals yy,ajax ov0.5 goals yy, Monaco ov 1.5 mech nzima,frankfut women ov 1.5 gols yy,hoffenum women ov1.5 gols yy.odd 5 hzo.kidole kwenye cash out muda wote koz ni 89%%%%%
 
Nimeingia saloon kujiweka fresh nimeacha chelsea anaongoza 1-0 , nakuja kutoka baadae sana mpira ulikua umeisha naingia sportybet mkeka wangu siuoni kwenye unsettled najiuliza imekuwaje? kuja kucheki flash score kumbe wametoa sare 2-2 daah! yan hapa nimechoka natamani hata nistaafu hiki cheo cha afisa ubashiri.
hii leo tumepatwa wengi
 
Wanangu wa betpawa mzigo mwingine ule wa jana umeenda na Leipzig ,chelsea na norwich sasa wa leo ni full mapesa

Ayaa tuchambue wote wapendwa wa betpawa 👇🏽

2A6E842 zipo timu 30 odds 114 katika izo. Odds kuna timu 15 za 0.V5 ,timu tano za 1.5V ,timu tano za 1x na timu tano za ushindi
 
Nimeingia saloon kujiweka fresh nimeacha chelsea anaongoza 1-0 , nakuja kutoka baadae sana mpira ulikua umeisha naingia sportybet mkeka wangu siuoni kwenye unsettled najiuliza imekuwaje? kuja kucheki flash score kumbe wametoa sare 2-2 daah! yan hapa nimechoka natamani hata nistaafu hiki cheo cha afisa ubashiri.
 
Genoa Win FT odds 1.94
Besiktas Win HT odds 1.63
Samsunspor Win Odds 167

Odds 5 hizo za Uhakikaa Wakuu nmewatengenezea Jilipueni hizo timu leo znatoboa....💪
RESULTS:-

Genoa Won 3-0 FT🔥
Besiktas Won 1-0 HT🔥
Samsupor Won 1-0 FT🔥

The Best Yet to Come As I told You km mtu alichukulia poa 5 points gone💪...The Becomes Are Excited📌🔨
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom