SMart is a British CBBC television programme based on the subject of art, which began in 1994 and ended in 2009. The programme was recorded at BBC Television Centre in London, previously it had been recorded in Studio A at BBC Pebble Mill in Birmingham. The format is similar to the Tony Hart programmes Take Hart and Hartbeat. The show was revamped into an hour-long show in 2007; from 1994-2006 it was previously a 25-minute show. From 1994–2005, the show also featured Morph, originally from Take Hart. It has 199 episodes. CBBC last aired SMart on 11 August 2011.
Kauli aliyoitoa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Faris Buruhan ni ya HATARI kwa Usalama wa Nchi na hata Ustawi wa watu wake hivyo kitendo cha CCM Taifa hadi hivi sasa kuinyamazia ni Uthibitisho kuwa kwanza wao (CCM) ndiyo wamemtuma huyu mpumbavu kusema vile.
Lakini pia ni Uthibitisho usio na...
Maendeleo ya teknolojia yamekuwa na kasi kubwa sana katika miongo ya hivi karibuni. Moja ya mabadiliko makubwa ni kuingia kwa smart screens, ambazo zimefanywa kuwa na uwezo wa kuunganisha na vifaa mbalimbali vya kidijitali na kutoa uzoefu bora wa matumizi. Hata hivyo, kununua smart screen...
Ni Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.
Kuna wakati Mwaka 2019 nilitumia TCL TV ikiwa na builtin Decorder DVB T/T2 na ilikuwa nikiunga antenna napata channel mbalimbali Bure. Ni muda Sasa TV hiyo Toka iharibike. Sasa katika uchunguzi naambiwa hizo channel Sasa hazipatikani zimezuiliwa na Serikali.
Hivi Sasa Kuna TV nyingi sana...
Roku TV, Android TV, Smart TV, AI TV, Google TV, Mini LED TV, QLED TV, na kadhalika ni baadhi ya maneno ya masoko yanayotumiwa na wazalishaji wa TV hivi sasa. Kusema ukweli, ni ngumu kutofautisha kati yao ikiwa wewe si mtaalamu katika kuhusu televisheni.
Android TV na Smart TV ni sawa sana hadi...
Eneo Duka Lilipo : DAR - STOP OVER
MAJUKUMU :
1.Kuuza Vitu Dukani
2.Kuwashawishi Wateja Kununua Kwa kuwaelezea Faida na Hasara ya Kutotumia Bidhaa Husika.
3.Usafi wa Vitu na Duka Zima kwa Ujumla
4.Ku record Mauzo ya Siku husika/Matumizi ya Siku Nzima,nk.
SIFA ZA BINTI ANAEHITAJIKA
1.Uwe...
TV USED lakini naweza sema ni zile USED FROM DUBAI japo ni FROM Tanzania
Tv ni NET and CLEAN safi sana, Uhakika Sana.
Njoo ichukue hiii utaipata kwa bei rafiki kabisa TV ni kama Mpya Ndugu yangu unaetafuta TV (okoa pesa yako)
Ukihitaji Mpya Pia Dukani ipo
HISENSE 55 inch ni 1,150,000 (Bei ya...
Hua nafanya online business hasa ya electronics kama simu, computer,na laptops
before nilikua nafanyia mwanza nikahamia mbeya tangu January
Biashara mwanza ilikua ngumuh Sana wateja pasua kichwa
mwanza Ina watu wengi na Kundi kubwa la watu wanakaushamba Flani Ivi
laiti mwanza ingetambua...
Wakuu, Nina Smart tv hapa inch 32 ( Alitop ). Naomba kuelekezwa jinsi ya ku-connect simu na tv Ili nicheze game kwenye simu ila display ionyeshe kwenye tv.
NOTE: Tv ni Alitop , simu ni Infinix hot 20i
Jamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana tumeonana sehemu tukawa tunapata kinywaji na chakula akawa ananionesha kitu fulani kwenye simu yake...
wakuu habari za uzima?
Mimi na mke wangu niseme watu tunaopenda sana kusoma vitabu, sasahivi tuna mtoto mmoja handsome boy linanipa faraja sana na kunifanya niendelee kupambana.
Niseme katika watu wenye wanawake smart mimi ni miongoni mwao, mke wangu tulikutana miaka mitano nyuma.
Nadhani wote...
Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"
SIFA ZA WAHITAJIKA
-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care
OFISI INAJIHUSISHA...
Wanabodi,
Angalizo la Kuchanganya Lugha
Naomba kuanza na angalizo la kuchanganya lugha, JF ilipoanzishwa, it was meant to an online user generated social forum, mtu una post chochote, kwa lugha yoyote ya public, bila kuvunja kanuni za jf.
Kwa kadri jf inavyozidi kukua, inazidi kuimarika na...
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku...
Hi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta...
Wazungu wameamua kutuletea smart toilet. Ukikaa ktk iki choo huna haja ya kujikamua ata kama nnya ikiwa ngumu mitambo inakukamua unastukia mzigo umeshashuka chini.
Baada ya apo unasafishwa unapigwa msasa na kukaushwa maji. Amna tabu ya kuanza kushika maji au kujishika.
Mambo yote yakiisha...
"Hey everyone, and welcome to my Thread! Today, I want to talk about something that's really important to me: sacrifice. Now, I know what you're thinking: 'Sacrifice? That sounds negative.' But I'm here to tell you that sacrifice is actually a powerful tool for achieving your dreams.
"You see...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.