Hisense Group is a Chinese multinational white goods and electronics manufacturer headquartered in Qingdao, Shandong Province, China. It started out making radios in 1969.At present, Hisense owns two listed companies, Hisense Visual Technology Co., Ltd. and HISENSE H.A., listed in Shanghai, Shenzhen and Hong Kong.Hisense retails products under several brand names. These include Hisense, Toshiba, Gorenje, Kelon and Ronshen. Hisense is also an OEM, so some of the products it makes are sold to other manufacturers and carry a brand name not related to Hisense. The main products of Hisense are televisions; their first TV model CJD18 was produced in 1978. It has invented a type of transparent television in 2013. In 2015 it acquired the right to sell televisions in the Americas using the brand name of the Japanese firm Sharp.In 2020, it introduced the world's first true 8K 10 bit HDR screen TV that is based on an AI-powered HDR algorithm and an image quality engine claiming 6.5T supercomputing power.With more than 80,000 employees world-wide Hisense Group has 14 industrial parks, which are located in Qingdao, Shunde, Huzhou, Czech Republic, South Africa, Mexico and so on. There are also 18 R&D centers located in Qingdao, Shenzhen, USA, Germany, Israel, etc.
TV USED lakini naweza sema ni zile USED FROM DUBAI japo ni FROM Tanzania
Tv ni NET and CLEAN safi sana, Uhakika Sana.
Njoo ichukue hiii utaipata kwa bei rafiki kabisa TV ni kama Mpya Ndugu yangu unaetafuta TV (okoa pesa yako)
Ukihitaji Mpya Pia Dukani ipo
HISENSE 55 inch ni 1,150,000 (Bei ya...
naomba kuuliza wakuu nmenunua fridge hisense rd 20 lakn naona mbele kwenye milango kuna rangi ya silver na pembeni kuna rangi flani ya kqma kijivu flan je ndo yanakuag hvo au nimepgwa hapa wakuu
Habari za asibuhi wakuu,
Natamani kujua utofauti uliopo kwenye TV ya Hisense ya boksi jeupe na ile ya boksi ya kaki, na between the two ipi ni bora kuliko mwenzake?
Waatalamu wa electronics na wajuzi wengine naomba mnijuze.
Nimejikuta kua mjanja mno lakini hii TV imenifanya niwe mshamba hakika naombeni msaada kwa yeyote mtaalam wakuchezea /mjanja waktumia hii Tv nisaidie Tv inaukubwa wa nchi 43 nimeharibu kuweka flash Tv uko zoom inajaa ila nikiunganisha na kisimbusi picha inabaki kuonyesha Kati Kati naomba...
Hii tv ina miezi michache sana na ili kuamini unapewa na box lake na mazaga zaga yote.
Kwanini inauzwa mapema sana? Kuna mgonjwa yupo hospitali inahitajika hela ya haraka. Bei ya dukani ni 500k
Haina kasoro kama unahitaji nipigie 0625547181
Habari zenu Wana JamiiForums,
TV yang brand hisence Ina miezi 3 tokea ninunue tatizo ni kioo chake kimevunjika iligongwa na kitu.
Nimefikiria gharama za kununua tv nyingine ni Bora nifanye repair hii tv kubadilisha kioo nahitaji msaada upatikanaji wa kioo kingine na gharama Niko nje ya dar es...
Nauza TV aina ya Hisense LED Flameless kwa bei ya Tshs 270,000
TV hii imetumika miezi 4 tu ba bado ina boksi lake.
Nicheki kwenye namba 0764368588 tufanye biashara
Napatikana Mbezi jirani kabisa na Stand ya Mabasi ya mkoani ya Magufuli Terminal
Nauza TV HIsense Inch 32 LED kwa bei ya Tshs 260,000
TV imetumika miezi 4 na ina boksi lake, haijawahi kufunguliwa na fundi wa aina yeyote.
Ukinunua TV hii ni sawa tu na unenunua dukani mana bado mpya.
Napatikana Mbezi Stand ya Magufuli na namba yangu ya simu ni 0719742225.
Nicheki tufanye...
Wakuu salaam,
Nahitaji kununua friji kwa bei ya hizi zetu watu wa hali ya kawaida,sasa ktk pita zangu nimeona angalau HISENSE na BRUHM ni bora kidg kulingana na pesa niliyonayo
naomba ushaur je ipi ni bora kati izo ya izo mbili hapo
je zile za condeser nje yaan nyuma ya friji na zile...
Habarini wanajamvi!
Nilikuwa naomba kujulishwa aina gani ya TV ni bora zaidi kati ya hizo tajwa.
Nilikuwa nahitaji TV 43",Hisense nimeambiwa 800,000/=tshs.,Home tech nimeambiwa 680,000/= dukani.
Kulingana na bei Hisense ipo juu je vipi kuhusu ubora?Mimi sijui ila Hisense inaweza kuwa bei ila...
Wakuu Mambo.
Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1
Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja.
Sony Home Theatre hiyo hapo, Wat 320. Nimeona haina Bluetooth connectivity sijui itafaa?
Na Hapa chini ni Hisense...
Ndugu wana Jf Nahitaji msaada wenu jinsi ya kuunganisha Smart tv na Simu, yaani ninachokifanya au ninachoangalia kwenye simu kionekane kwenye Tv (Mirrow view).
Simu yangu haina Screen cast or smart view kwahiyo nashindwa ku Connect.
Ila nasikia unaweza kutumia njia ya Wi-Fi so kwa anayefahamu...
Ndugu wana jamvi kama thread inavyojieleza,
Naomba mdau ambaye anatumia au ameishawahi kutumia tv aina hii, naomba aniambie mchanganyiko mzuri wa rangi
ili niweze kupata picha nzuri katika hisense vidaa 55''
Naomba mchanganyiko wa rangi, kwa mfano
Picture mode nichague ipi kati ya...
Hisence Smart TV
40 inch slid
full hd 1920×1080 pure HD
HLG support
game enhancer
wi-fi n ethernet connectivity
screen mirroring tech
integrated chrome browser
2HDMI
2USB &OPTICAL
ENERGY STAR
Dolby speaker yaan utoitaj subwoofer
Used miez 5 tu
Bei 765000 tu
Nahitaji mtu anaeuza flatscreen smart TV inch 32 brand Hisense. Napatikana Morocco ATS office eneo la Ada estate. Tunaandikishiana ofisini hapa kabisa.
Malipo: Nitalipa kwa two installments in a month.
Watsap No:0783 242247
Imetumika miezi 4 tu milango miwili ina friza juu ubaridi mkali na friji kwa chini ina nafasi kubwa na pia 0712046405 lipo Dar es salaam kigamboni pia kuna masofa yanauzwa NAHAMA KIKAZI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.