Habari, mimi ni Pharmtech Tech., nina liseni, nilikuwa nahitaji kazi.
Naishi Dar es Salaam-mwenge, pia naweza fanya kazi as full time, part time and night shift.
Napatikana kwa number 0765607650 au email: jaelynebless@gmail.com
Oya eeh jana mambo km vile hayakuenda vizuri. Nlikua nasafisha rungu kwa izi dada poa asee si nkashtuka ndomu imetoka na kubaki ndani ya k bila mi kujua, bizee naendelea na kazi.
Sasa nina wasiwasi ule mda ilivovuka nilikua na direct contact na fluid zake asee. Em nisaidieni kupata dawa za PEP...
AMOPRIC PHARMACY inatangaza nafasi ya kazi ya kuuza Pharmacy katika Pharmacy zake zilizopo maeneo ya Tandika, Vingunguti na Chanika.
Muombaji awe na sifa moja wapo kati ya hizi:
1) Addo
2) Pharmaceutical Dispenser
3) Pharmaceutical Assistant
Maombi yote yatumwe kwenda:
E-mail...
Za jioni wadau
Naomba msaada wenu mimi nina diploma ya pharmacy nimemaliza mwaka jana nikataka kuendelea mwaka huu lakini nilikosa awamu zota tatu.
Likaja dirisha la huruma la awamu ya nne kwakuwa nilikuwa na cheti cha form six nikajaribu kuombea nacho pale ardhi (nilifanya kama kujaribu tuu...
Nataka kujua cheti cha mfamasia kinaruhusiwa kubandikwa kwenye pharmacy ngapi ndani ya wilaya anakoishi? Maana kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja basi haina maana kabisa. Kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja kwa maana ya kuzisimamia, kazi hii angepewa...
Habari wakuu anahitajika pharmacy technician. Location ni Mwanza.
Atafanya kazi Jeet Pharmacy, vigezo awe ana uzoefu usiopungua miaka miwili na pia awe na leseni hai.
Kwa walioko kanda ya ziwa haswa Mwanza watapewa kipaumbele zaidi.
Kwa maelezo zaidi: musabuhare.tz@gmail.com
Natangaza nafasi ya kazi ya kuuza kwenye Pharmacy, kwa mtu mwenye elimu ya Famasia, na ufahamu wa kutosha kuhusu dawa mbali mbali za binadamu.
Sifa za mwombaji
Awe na elimu ya Famasia ngazi ya cheti (Certificate Level)
Awe na umri usiozidi miaka 40
Awe mkazi wa Dar es Salaam
Maombi yote...
Hawa jamaa ndio wanaosimamia maduka ya dawa maarufu kama Pharmacy.
Jana nimeona wameungana na wanaharakati akina shangazi, kupinga agizo la mheshimiwa waziri Ummy, la kuondoa maduka ya dawa yaliyo karibu na Hospitali za umma kama inavyosema sheria yao wenyewe.
Sheria au kanuni ziliweka umbali...
Wanajamii,
Najua zote ni best ideas:
●Hardware ya vifaa vidogo vidogo vya ujenzi
●Pharamcy ya kisasa
■LOCATION: Miji mikubwa au miji inayokuwa kwa kasi. Katika maeneo yaliyokuwa na movement kubwa za watu.
Naombeni maoni yenu kutokana na uzoefu na uelewa wenu kuhusina idea ipi yenye return...
Habari zenu wana JF wenzangu.. Ndugu zang kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni biashara gani mtu akifanya ataweza kufikia au hata kukaribia ndoto zake za ki maisha haraka haraka? Hasa kwa mkoa wa Dar es Salaam. Kama kawaida natanguliza shukran kwa wote watakaochangia, na hata...
Nakusalimuni wakuu.
Binafsi nina ndoto za muda mrefu sana za kufungua Biashara ya kuuza dawa za binaadamu yani Pharmacy kwa rejareja hapa jijini Dar es salam.
Naomba maoni yenu wakuu, ni kiasi gani nahitajika niwe nazo ili niweze kufungua na kuanza hii Biashara. kwa maana ile starting point...
Habari zenu nimechaguliwa kusoma bachelor of medical lab general MUHAS pia nimechaguliwa bachelor of Pharmacy Bugando na Kampala University
Naombeni ushauri niende kusoma course gani?
Habari,
Selection zimetoka ambapo nimechaguliwa kusomea Medical Laboratory General Muhas na Bachelor of Pharmacy Bugando na Kampala University je nikasome course ipi kati ya hizo?
Habarini wana JF,
Naomba kujua kama ni lazima mtu awe amesoma pharmacy ili aruhusiwe kufanya biashara ya duka la dawa muhimu za binadamu au la.
Naomba msaada kwa hili tafadhali.
Wasaalam,
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyosema.. Kijana wa PCB, aliyepata division 2.11 with physics-C, chemistry-D, and Biology-D! anaweza kupata nafasi ya kusoma degree ya pharmacy na kupata mkopo asilimia mia.. Kama sivyo je course gani nzurii yenye channels za kujiajiri na kuajiriwa...
Jana napiga story na mdogo wangu ambae anafanya mitihani ya NBAA ananiambia juzi hapa walifanya mitihani migumu hadi wakaongezewa muda kwenye chumba cha mtihani zaidi ya dakika 30.
Nikajiuliza kwani NBAA kabla hawatoa mitihani yao hua hawaifanyii moderation kuona kama inaweza kufanyika kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.