Habari za muda huu wakubwa.
Mimi ni kijana wa kiume ambae nimebahatika kupata sehemu yangu ya urithi toka kwa wazee wangu ambapo nimepata milioni 30.
Nilikua naomba wazoefu, watu mnaoifanya hii biashara tusaidiane kwenye mambo kadhaa juu ya hii biashara kama eneo, mbinu za kuongeza mauzo, nk...
Wakuu heshima yenu.
Niende moja kwa moja kwenye mada.Naomba kujua chuo kinachotoa certificate ya pharmacy ONLINE hapa tanzania.Mimi ni mwajiriwa wa serikali na nahitaji kusoma hii course.
Natanguliza shukrani.
Habari, Natafuta nafasi ya kazi ya pharmacist asistant (pharmaceutical technician)
Elimu: Diploma in pharmaceutical science (3yrs)
sehemu ya kazi: Hosipitali, Pharmacy,Dukanla dawa Muhimu
Uzoefu: Hosipitali 6months , Pharmacy :7months
Mkoa: Dodoma, Morogoro,Arusha, kilimanjaro
note: Uaminifu...
SALES REPRESENTATIVE (2)
Nikki Pharmacy Ltd is the local registered company dealing with distribution of human medicine in Tanzania, located at Chalinze, Pwani.
The company is growing fast and we are looking for two (2) qualified Tanzanian(s) to fill for the position of Sales Representative...
Habari Wakuu Heri ya jumapili!
Mimi kwangu kwa akili yangu najua ni zipo kwenye friji 🤦😂😂 lakini nikiingia napewa za moto, najua kabisa lakini nafanya kusudi,
Karibu tuichangamshe jumapili
Wiki jana nilienda Pharmacy moja kubwa tu maeneo ya magu mjini pembeni ya stand,nikamkuta mama mtu mzima kama miaka 50 hivi mnene kapanda hewani,Lengo la kwenda ile pharmacy ilikuwa kununua vidonge vya kuongeza nguvu za kiume maarufu,viagra!
Yule mama akanieleza bei ni 2000 kwa kidonge kimoja...
Tatizo kubwa hapa nchini ni kwamba pale inapotokea janga, mlipuko wa ugonjwa basi wafanya biashara hutumia nafasi hiyo kujinufaisha. Kuna vifaa kama hand sanitizer, medical face masks vimekuwa katika uhitaji mkubwa sana kwa ajili ya kujikinga na virusi vya corona.
Serikali kupitia waziri wa...
A Robust Hospital Management System for Hospitals, Clinics, Pharmacies and Laboratories.
So what we are, real?
An integrated Information System for managing all ways of a hospital’s operations such as medical, financial and administrative tasks
It is a web based Application that works with all...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.