The 2011 Dar es Salaam explosions were a series of explosions at an ammunition depot in Dar es Salaam, Tanzania, that killed 20–32 people. According to officials at the base, the first explosion was at 8:30 pm local time. Being the second explosion in two years of an ammunition depot near a populated area, several groups questioned the locations of these centers and requested they be moved. Reports indicate that 23 military structures, two homes and a school were destroyed.The first of several reported explosions was at around 10 pm local time, and eyewitnesses reported that intermittent explosions occurred during the following hour for two minutes at a time. Media reports said that between 20 and 32 people were killed by the blasts and that 300 more were injured as homes were flattened and debris fell from the sky. The deaths were either directly from the explosions or from the effects of high blood pressure. Debris was reported as far as 15 km (9.3 mi) away from the base. At least 200 children were reported to be missing their parents as well; it was unknown whether their parents were missing from the explosions or were separated during the evacuation.Immediately following the incident, officials in the city ordered all residents within a 10 km (6.2 mi) radius of the military base to evacuate. An estimated 4,000 residents fled their homes. Residents in the city began calling for the resignation of Defence and National Service minister, Hussein Mwinyi, and the Chief of Defence Forces, General Davis Mwamunyange. On February 17, an investigation was launched to find the cause of the explosions.The country's main airport, the Julius Nyerere International Airport, was also temporarily shut down. A similar incident occurred in April 2009 at the Mbagala ward of the city.
Na. M. M. Mwanakijiji
Kwa wanaokumbuka na wale wasiokumbuka ni kuwa mimi ni mpinzani wa madai ya Katiba Mpya. Sijaona bado na sijashawishika kabisa kutambua mchakato wowote halali wa uandikaji wa Katiba Mpya. Nilitakaa na kupinga mchakato haramu ulioanzishwa na Rais Kikwete wa kuivunja Katiba...
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anasema "Ilipotokea ajali ya mabomu kule Gongo la Mboto, mimi nikiwa Waziri wa ulinzi nilipeleka ujumbe kwa Rais wangu wakati huo Mhe. Kikwete nikimtaka aliridhie nijiuzulu lakini sikukurupuka kwenda kwenye vyombo vya habari nikatangaza kwamba nimejiuzulu...
Habari za humu Jumba la Melo!
Ninatarajia kupata mgeni kesho Ijumaa hii akitokea kusini kwa kina Miso Misondo.
Mgeni wangu amehitaji hotel au lodge nzuri maeneo ya Ukonga, Gongo la Mboto au Pugu, anahitaji hotel au lodge kwenye eneo mojawapo ya hayo lkn kuwe na utulivu kiasi cha kuweza...
Wanasema dhahabu hupitia moto ili kutengeneza Vito, hayo yanajidhihirisha kwa wakazi wa gongo la mboto ambapo kwa sasa wanapitia adha kubwa ya usafiri wakati ukarabati wa barabara ya mwendokasi ukiendelea.
Kipande cha barabara ya Pugu almaarufu kama Nyerere road kuanzia maeneo ya gold star...
Aisee kuna hii branch ya NMB gomsi huwa najiuliza maswali nashndwa kuelewa. Branch iko mzambarauni karibu kabisa na gomsi means inahudumia population kubwa ya gomsi na maeneo jirani.
Lakini mazingira yake hasa kwa wateja wa nje wanaofanya transaction kwenye ATM huku nje ni balaa yan wateja...
Nimekaa sana Tabata barakuda Takribani miaka mi 5 ivi Ila nimehama mwaka jana mwanzoni Nimehamia GONGO LA MBOTO ila kwa sasa napaona Pachungu.
Chanzo cha kuhama tabata ni kukimbia bar na malaya wanaojiuza, Nikaona bora nihamie sehemu iliyop00zap00za nikaambiwa gongo la mboto ni pazuri...
Husika na mada tajwa hapo juu,
Kimsingi eneo linalosemekana limeandaliwa kwa ajili ya stend ya mabasi ya mwendo kasi kwa maeneo ya gongolamboto, sidhani kama lipo mahali sahihi.
Wahusika waliangalie hili jambo kwa umakini kusiwe na upigaji wa kipekee kwa maana kule Pugu stesheni , stend...
Shule ya Sekondari Ulongoni A iliyopo Kata ya Gongolamboto inakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo uzio, miundombinu chakavu kwa baadhi ya madarasa na maabara.
Imeelezwa kuwa hali hiyo inachangia utoro kwa wanafunzi wengi pindi wanapohitaji haja binafsi na nidhamu ya ufaulu kushuka.
Mkuu wa...
Kwa wakazi wa Gongo la Mboto mitaa ya Mzambarauni kuna kunguru wengi sana kila siku jioni huwa wanakusanyika wakitoka kwenye mahangaiko ya kila siku sasa sijajua kama wakazi wa Gomz wanafuga kunguru hawa au wameamua tu kuchangua pale ndo pawe makao makuu kwa upande wa Ilala.
Habari za jioni
Kuna kaubishani kametokea site, sasa vijana wameshiba wanabishana kati ya Mbagala na Gongo la Mboto ipi kubwa zaidi?
Kwa anayejua ningependa kufahamu
Thank you
Kumekuwepo na taarifa zisizokuwa rasimi watu wakithubutu hata kusema milipuko yote iliyotekea katika makmbi hayo ni hujuma je wewe na mimi waweza kuhisi ni hujuma au ni bahati mbaya?
Maana kwa mtizamo wangu mimi ninaona ni uzembe!!Maana kama ingekuwa ni hujuma sidhani kama wanaofanya hujuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.