dakika

20 Dakika ("20 Minutes") is a Turkish television drama series broadcast on Star TV. This story talks about a beautiful family. A father, mother, daughter and a son that lived together in happiness and peace. One day, the police stormed in and took the mother (Tuba Buykustun) to jail. She was suspected of committing a murder and sentenced to 20 years in prison. Her husband (Ilker Aksum) tries to prove her innocence while at the same time the criminal investigator (Firat Celik) tried to find as much evidence as he can to find out the truth. But the big question is did she really commit the murder?

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Dakika 40 chumba cha wanaozaliwa kabla ya wakati

    Novemba 17, 2023, Dunia iliadhimisha siku ya Mtoto aliyezaliwa kabla ya wakati, siku moja kabla, nilibahatika kufika katika Wodi maalumu kwenye mojawapo ya vyumba vya kutunza Watoto hao katika Hospitali ya Benjamin Mkapa na kujenga msingi wa simulizi hii. Ni kijichuchumba kidogo chenye nafasi...
  2. MK254

    Netanyahu azungumza na Putin kwa dakika 50, amkaripia kuhusu Putin kuonekana kama ambaye haeleweki kwenye huu ugomvi

    Ikumbukwe kuna kipindi Putin alikua kiboko cha haya magaidi, kayalipua sana ila hivi majuzi haeleweki eleweki, ila inawezekana kutoeleweka kwake kunatokana na aibu anayofanyiwa kule na kataifa kajirani, Ukraine...........hiyo aibu imemfanya achanganyikiwe.... Prime Minister Benjamin Netanyahu...
  3. SAYVILLE

    Moses Phiri hajagusa mpira kwa dakika 16

    Juzi hapa nilifanya marudio ya mechi ya Simba vs ASEC Mimosas ili nijiridhishe baadhi ya vitu. Moja ya jambo nililogundua na kunishangaza katika marudio ni kugundua kuwa Moses Phiri aliingia dakika ya 59 ya mchezo na alikuja kugusa mpira wake wa kwanza dakika ya 76. Imenikumbusha mechi ya...
  4. BARD AI

    Matumizi ya Sukari na Kutolala Vizuri huathiri Ubongo wako kila dakika

    Ubongo ni kiungo muhimu katika Mwili wa Binadamu ambacho baadhi ya tafiti zinakitaja kuwa kama 'Msimamizi Mkuu' wa utendaji kazi wote wa Mwili. Ili kiungo hiki kifanye kazi kwa usahihi, ni muhimu kutofanya vitu vinavyoweza kuathiri utendaji wake ikiwemo Kufanya Mazoezi ya Mara kwa Mara na...
  5. N

    Jenerali Ulimwengu: Inanichosha kusikia sifa za Rais kila dakika

    Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake. Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake. Alichosema Jenerali Ulimwengu "Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini...
  6. matunduizi

    Nilichojifunza dakika chache baada ya kumaliza chuo: Kujilipua na Kujihatarisha (risk taking) kutakusaidia kutoboa mapema kuliko kusubiri utaratibu

    Niliingia first Year nikiona mwaka wa mwisho wote wanaijiwa na waajili wakaanze kazi. Siku namaliza hakuna hata hata mmoja aliyekuja. Hali ilikuwa imebadilika. Nilikuwa nimeshaapa sirudi nyumbani afe kipa afe beki. Plan B Niliandaa barua na CV kama 200 hivi. Za elimu zote, form 4, six, ya chuo...
  7. Objective football

    Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?

    Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione...
  8. mdukuzi

    Kuishi usukumani raha sana,wamama watu wazima wananisalimia wakiwa wamepiga magoti kama dakika tatu hivi

    Mimi sio mzee wala sio kijana, Mimi ni mkunga kwenye kituo cha afya,sasa huku wanaume wote tunaofanya kazi idara ya afya tunaitwa madoctor,bila kujali area ya specialization yako, Sasa sijui wananisalimia mimi kama mimi au kwa sababu ni dokita Nimetoka pwani kuja kutafuta maisha huku Wamama watu...
  9. mdukuzi

    Kuishi usukumani raha sana,wamama watu wazima wananisalimia wakiwa wamepiga magoti kama dakika tatu hivi

    Mimi sio mzee wala sio kijana, Nimetoka pwani kuja kutafuta maisha huku Wamama watu wazima wakikutana na mimi ni ng'wangaruka bhabha huku wamepiga magoti,hawataamka hapo mpaka nimalize salam niondoke,salam ikiwa ndefu hata dakika tatu anyanyuki mpaka mmalize. Hawa ndio wanawake sasa, Sio...
  10. Mr Why

    Mwenye Ipad anikodishe dakika kadhaa nahitaji ku screenshot iOS App

    Ndugu zangu mimi sio mtumiaji wa Ipad ila nina uhitaji nayo wa dakika tano tu. Nahitaji kuchukua App yangu screenshot za App Store na baada ya hapo ndio mwisho wa matumizi yangu Kama unayo basi nikodishe kwa dakika tano tu nitakupooza kidogo
  11. Jumanne Mwita

    Hawa wabunge sio wazalendo. Dodoma hili jambo lingepitishwa haraka

    Yaani hii ndio ingekuwa ni Tanzania pale Dodoma saa hii viti vilikuwa vinaumia kwa makofi maana ni swala ambalo wangesema tumechelewa sana 😅 Tanzania Ila Tanzania muda mwingine unawaza kwanini haya mavituko yanafanyika kwenye mamlaka zetu nyeti kiasi kwamba hawaoni aibu hata chembe 😂
  12. P

    Bungeni dakika 3 nzima inatumika kusifia na kutoa shukrani watu kufanya majukumu yao!

    Wakuu, Hivi mambo hayawezi kuanza kwa kumshukuru Mungu pekee na kwenda moja moja kufanya kilichokupeleka? Au kushukuru viongozi wengine waliojitoa kwa ujumla wao bila kutaja mtu mmoja mmoja na tuona watu wanasifiwa kwa kukamilisha tu majukumu yao utafikiri kodi zetu hazitumiki kwa wao kufanya...
  13. Kaveli

    RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

    RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua. Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote...
  14. Baba Ndubwi

    Mimi nikifika tuu, dakika 10 nyingi wanaanza

    Wakuu salaam... Naishi uswazi..ile nyumba kubanana, milio ya mafeni usiku kucha na maredio. Kutokana na mishe zangu huwa inanilazimu kurudi home kati ya saa 7 usiku au 8usiku ndio naingia ndani. Nawasha taa, kisha nafanya maandalizi ya kulala. Maana naishi peke yangu. Kutokana na mbanano wa...
  15. Vincenzo Jr

    Story hii itakusisimua kuliko zote, utatumia dakika 2

    Nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu, niliyekuwa nikimuita “Bestfriend” nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu, lakini yeye hakuwa akitamani hilo na nilikuwa nikilitambua hilo. Baada ya leacture, alikuja kwangu...
  16. BARD AI

    Wananchi watakiwa kuoga kwa Dakika 2 tu na Kutoflash Vyoo kila wakati ili kutunza Maji Afrika Kusini

    Ni tahadhari ilitolewa na Mamlaka ya Huduma za Maji ya Jiji la Johannesburg Nchini Afrika Kusini ikiwataka Wananchi kutumia Maji kidogo vinginevyo watasababisha Mfumo wa Usambazaji Kuishiwa Maji kabisa. Wananchi wametakiwa kumwaga Maji kwenye Vyoo baada ya kwenda haja kadhaa na sio kila wakati...
  17. BARD AI

    Dakika 60 za Kuvuta Shisha ni zaidi ya Kuvuta Sigara 100 hadi 200

    Kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya American Lung Association (ALA), vijana wenye kati ya miaka 18 hadi 24 duniani wanazidi kuingia katika matumizi ya 'Shisha' licha ya Kilevi hicho kuwa na madhara ya Kiafya. Tafiti za ALA za mwaka 2020 zinaonesha 52.1% ya Watumiaji wa Shisha duniani...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Upwiru wa dakika tano ulivyobadilisha Maisha yangu

    Jambo Sana! Wakati wengine wakibadilisha Maisha Yao Kwa dakika tano Kwa kubet, Mimi nilikuwa napiga doria katika account za mitandao ya kijamii huko Pm na inbobo nikivizia mawindo. Wengine wengi wakijaribu kuyabadilisha Maisha Yao Kwa kulima Kilimo cha machenza, Mimi nilikuwa nachenza na...
  19. Bwana Bima

    Mtazamo wangu kuhusu Simba day hasa dakika 90 za mchezo

    Timu zote mbili zimecheza vizuri sana. 1)Ukuta wa Chemalone+Inonga mmh ni balaa. Uyo Malone ana jicho haswa 2)Kwenye kiungo naona nafasi ya Ngoma dhidi ya Mzamiru 3)Mganga wa Baleke anafanya kazi nzuri kumweka benchi Moses Phiri. 3)Chama kwa uwepo wa Onana na kuongezeka kwa Ngoma mmmh...
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    Usilipimie gemu la hawa members, unaweza kudhaani watauana dakika mbili zijazo

    Chizi Maarifa vs UMUGHAKA GENTAMYCINE vs Dr Matola PhD Mshana Jr vs FaizaFoxy
Back
Top Bottom