Kwema bandugu?
Hata sina maneno mengi kwenye hili...
Kama title inanyojieleza naomba kufahamishwa ni nani au akina nani? Waliotengeneza App ya Cheka Plus?
Natanguliza shukurani.
Pagale linauzwa Kigamboni Cheka
Ina vyumba vitatu kimoja ni master, sebule, dining, public toilet.
Ukubwa 30 kwa 20
Ipo mita 300 kutoka barabara ya lami
Bei:- million 25 maongezi yapo ushindwe mwenyew kupanga bei.
Call/WhatsApp:-0766534488
Pagale linauzwa Kigamboni Cheka ina vyumba vitatu kimoja ni master, jiko,sebule,dining. Ipo mita 300 kutoka barabara ya lami ukubwa 30 × 20
Bei:- million 25 maongezi yapo
Call/WhatsApp:- +255766534488
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Cheka sana tu, ruka huku na huko sana tu, Puyanga sana tu,Fanya ngono sana,Kunywa pombe sana tu,Fanya uasherati sana tu,Jifariji sana tu kwa mambo ya kijinga,zembea sana tu,dharau sana tu!.
Ila omba kwa dini yako sana tu usije ukaugua ukalazwa au...
Kamisheni inayosimamia ngumi za kulipwa Tanzania TPBRC, kupitia makamu wake imewapa adhabu za faini bondia Cosmas Cheka na mwenzie Isa Nampepeche.
Cosmas Cheka amepigwa faini ya Tshs laki nne (400,000/-) na Isa Nampepeche faini ya Tshs Laki Tatu (300,000/-).
Faini zote zilipwe ndani ya mwezi...
Kwema wakuu?
Hawa wawili ilikua wazichape Leo ukumbi wa PTA, pambano limeshindikana sababu Cheka anasema kapata ajali, amekuja na "hogo" mkono wa kushoto wakati anahojiwa na Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV.
Issa Nampekeche anasema Cosmas hajapata ajali popote, ka fake ajali ili amkimbie...
Haya mashindano yamekuwa mazuri sana. Na nafikiri sekta ya Stand up comedy Tanzania ndiyo imezaliwa. Washiriki karibu wote walikuwa vizuri sana tofauti na wakina Pilipili, Idrisa na Bukuku. Hawa wanajua.
Na hawa washindi waliopatikana ni wanajua hasa. Hata kuna wengine walitolewa lakini bado...
Wakuu,
Kama title inavyotamba, basi. Kwa wale tunaofuatilia hiki kipindi kinachotafuta vijana wenye vipaji vya kuchekesha kwenye stand up comedy (CHEKA TU COMEDY SEARCH) cha wasafi tv tujuzane ni washiriki gani ambao unavutiwa nao na ambao huvutiwi nao katika uchekeshaji wao.
Mimi naanza na...
Huyu kijana kwa kweli hana uwezo wa kushinda pambano lolote la ndondi kama kunakuwa na uamuzi wa haki , hajui kupigana , ni vema akatafuta cha kufanya kabla hajauawa ulingoni .
Leo kwenye Vitasa vya Azam kaokolewa na Refa Mlundwa bila sababu ya msingi .
*Mazungumzo kati ya injinia hersi na tp mazembe*manager
Injinia: habari mkuu
Tp: salama
Injinia:mkuu naomba game ya kirafiki
Tp: Wewe ni nan
Injinia; mkurugenz wa gsm
Tp: gsm ni timu gan
Injinia : sio timu mkuu bali kampuni ya kutengeneza nagodoro
Tp: kwahyo unataka tucheze na...
Hakika sijawahi kuona upendeleo kama huu kwenye mchezo huu wa ndondi popote, nimeangalia hili pambano nimeona aibu sana kwa matokeo ya uongo kama haya.
Kwa haya yanayofanyika, nchi hii haitoendelea kwenye michezo.
Huu ni uzi wa kutupia vichekesho na vimbweka vya kingereza tu japo mimi nimeanza kwa kiswahili 😅😅 anza na hii
my son is stupid imaging he get zero even if i do his hormwork for him😅😅😅
Duh! Kumbe Watanzania walikua wamenunia na Waganda pia, hawa wenzetu diplomasia imewashinda, sasa ni mwendo wa full migogoro na majirani wote.
Hii ni baada ya Tanzania kusalimu amri kwa Kenya na kukubali madereva wake kupimwa na Wakenya, sasa imetangazwa hata kwa Uganda mwendo ndio huo huo...
Kichaa mmoja wa kiume alikatiza porini akiwa uchi kama alivyozaliwa wanyama wote wakatoka spidi kumkimbia.
Fisi akamuuliza simba, imekuwaje hadi wewe mfalme wetu umekimbia?
Simba akamjibu weee! nani hajipendi?
Tokea nzaliwe sijawahi ona mnyama mwenye mkia kwa mbele.
#MAN_VIBES
Aliyekuwa Msanii wa Muziki, Cheka Hija Mzee maarufu 'Bibi Cheka' amefariki dunia leo mchana Novemba 28 katika hospitali ya Mloganzila Mkoani Dar.
Kwa mujibu wa mtoto wa Msanii huyo mkongwe, aliyefahamika kwa jina la Adam Juma amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya moyo.
Bibi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.