mzee wa fix
Member
- Jun 27, 2016
- 14
- 3
Mwenye nacho ambacho hakizidi Km 1 kutoka main road aniwekee namba ya simu, tuwasiliane.
Bei gani hiki MkuuKipo cha 650 dege kimepimwa na kina bikon ukifel cha 800 nione
Kipo 0717226461 kipo dege sqm 900Mwenye nacho ambacho hakizidi Km 1 kutoka main road aniwekee namba ya simu, tuwasiliane.
Kimepimwa na kina hatiPoa naku PM
Umeshauza? kinadai bei gani?Kimepimwa na kina hati
Kwa Dar es salaam sehemu pekee iliyobaki kwa usalama wa kununua viwanja ni kigamboniKwa Kigamboni, kuwa makini usitapeliwe!