A bus (contracted from omnibus, with variants multibus, motorbus, autobus, etc.) is a road vehicle that carries significantly more passengers than an average car or van. It is most commonly used in public transport, but is also in use for charter purposes, or through private ownership. Although the average bus carries between 30 and 100 passengers, some buses have a capacity of up to 300 passengers. The most common type is the single-deck rigid bus, with double-decker and articulated buses carrying larger loads, and midibuses and minibuses carrying smaller loads. Coaches are used for longer-distance services. Many types of buses, such as city transit buses and inter-city coaches, charge a fare. Other types, such as elementary or secondary school buses or shuttle buses within a post-secondary education campus, are free. In many jurisdictions, bus drivers require a special large vehicle licence above and beyond a regular driving licence.
Buses may be used for scheduled bus transport, scheduled coach transport, school transport, private hire, or tourism; promotional buses may be used for political campaigns and others are privately operated for a wide range of purposes, including rock and pop band tour vehicles.
Horse-drawn buses were used from the 1820s, followed by steam buses in the 1830s, and electric trolleybuses in 1882. The first internal combustion engine buses, or motor buses, were used in 1895. Recently, interest has been growing in hybrid electric buses, fuel cell buses, and electric buses, as well as buses powered by compressed natural gas or biodiesel. As of the 2010s, bus manufacturing is increasingly globalised, with the same designs appearing around the world.
Hizi gari madereva wanajiona kama Viwete Kuwa wanahitaji Special Care, mara kadhaa nimeshuhudia Gari la shule likivuka taa za barabarani bila hata kuchukua tahadhar na ilikuwa inawaka Red.
Madareva wamekuwa rafu sana wa wanafunzi hawa wadogo, magari yanakimbizwa mnoo, hawachukui tahadhari, na...
Kuna taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa yangu flani yupo Arusha ananiambia amepita mitaa ya Dampo, Sinoni anadai kuna basi mali ya Shule ya Msingi Ghati Memorial limeanguka kwenye korongo kutokana na mvua kubwa ambayo imenyesha pande hizo kuanzia usiku wa kuamkia leo Tarehe 12 hadi alfajiri...
Tanzanian side Yanga SC faced a frustrating start to their stay in South Africa after the team’s designated transport, provided by hosts Mamelodi Sundowns, broke down just 5 kilometres from OR Tambo International Airport.
Young Africans arrived in Johannesburg on Tuesday morning after taking a...
Kuna ajali mbaya sana imetokea Mlandizi. Bus moja limegonga lori la mafuta na kusababisha moto, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali.
Lakini hii Morogoro Road kwa nini serikali haijali? Barabara nyembamba saaana hasa kipande cha Mlandizi to Morogoro, barabara kila siku ina ajali na ndio lango...
The US Treasury said Crown Bus Services has supported al-Shabaab’s logistical operations/FILE
ANTI-TERROR WAR
US Sanctions Crown Bus, Associates Over Al Shabaab Financing
OFAC named Kenya-based Faysal Yusuf Dini (Dini), working closely with Mohamed Jumale Ali Awale (Awale), as an al-Shabaab...
Watu wengi tunaogopa kuanzisha biashara fulani kwa kuogopa kwamba ma giant wameshajaa hivyo hatutapata wateja.
Soko la maji ya kunywa lilikuwa limetawaliwa na kilimanjaro, kila sherehe ya harusi utakayoenda maji unakuta Kilimanjaro. Kila hotel kubwa ama bar kubwa maji unakuta kilimanjaro, leo...
Habari ya uzima wana JF moja kwa moja niingie ktk mada bila ya kupoteza muda Je..? umewahi kuachwa na bus au kuchelewa kufika stendi kwaajili ya safari na ukakuta bus limesha ondoka kisha ukatumia bodaboda kufukuzia bus embu tueleze ilikuaje na gharama za kulifukuza zilikua kiasi gani.
Mimi...
habari ya jumamosi.
ukweli mabinti wa kichaga wana tofauti kubwa na makabila mengi. sio wavivu na hawachagui kazi.
mfano hai ni huyu dada kondakta wa bus. shule amesomeshwa tena shule nzuri, kwao maisha mazuri, vijana wanasema mboga saba ila kazi yake huyu dada ni kondakta wa bus.
nawaza...
Kwa mliowahi kutembea nje ya Africa naomba mnipe uzoefu wenu mliyoyaona Uko nje ya Afrika hususani kwenye Swala la usafiri wa mabasi yanayoenda safari ndefu kutoka Mji fulani kwenda mwingine maana kwa Tanzania kuna usanii mwingi kwenye usafiri wa mabasi.
Kama Kuna changa Moto ulishawai kutana...
Ivi ni kwanini watu wengi wakisinzia kw basi au daladala wawe wanawake au wanaume wana tabia ya kushindwa kujicontrol kichwa kisimuegemee mwingine? Me nikilala au kusinzia nabaki hapo hapo kw kiti changu; hawa wengine vipi?😳😳😳
JF be the first to know,
Hatimaye mafuta na maji vimeanza kujitenga na ukweli unawekwa wazi ingawa si rahisi Kwa media za Bongo kupata hizi taarifa, tunazipata wa ndani tuliopo kwenye Circe za Kibaharia.
Ukweli ni kwamba kuna Watanzania watu wakiongozwa na msela Mavi mmoja wa Mbagala anaitwa...
Habari Wakuu!
Nipo hapa kuwajurisha Ajari mbaya ya Bus la Mkombe Bus Service, ambayo imetokea jana Zambia, eneo linaloitwa Serenje, 400 km and almost 5 hrs from Lusaka.
Inasadikika Watu zaidi ya 15 Wamefariki on the spot...!
Kile nashukuru Mungu, ilibaki kidogo Nifanye booking ya hili Bus...
Nimekataa tiketi ya Mwanza kuandikiwa muda wa kuanza safari ni saa kumi na kuripoti ni saa tisa na nusu ila mpaka saa kumi na mbili bus halijaingia Mbezi yaani ni shida na usumbufu mwingi na hakuna anayeshughulika na sisi yani kama watoto yatima
Wakuu mwenye taarifa kamili atujuze maan kuna ndugu yetu tumepewa taarifa kafariki alikuwa humo,
Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun
=====
Watu 14 wamefariki dunia na wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali iyohusisha basi la Kampuni ya Baraka Classic, yenye namba za usajili T 336 DPW, inayofanya...
Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasio na siti
Kuanzia Ally stars BUS wanaoisifia , katarama BUS na Bus zingine nyingi hali hii inafanyia abiria wake.
Unakuta umepanda bus kila abiria amekaa katika seat yake ikifika mahali Bus linaruhusu kupakiza...
Mimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.
Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?
Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?
Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?
Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?
RPC Tabora, OCD Nzega na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.