Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 321
- 550
Habari ya uzima wana JF moja kwa moja niingie ktk mada bila ya kupoteza muda Je..? umewahi kuachwa na bus au kuchelewa kufika stendi kwaajili ya safari na ukakuta bus limesha ondoka kisha ukatumia bodaboda kufukuzia bus embu tueleze ilikuaje na gharama za kulifukuza zilikua kiasi gani.
Mimi niliachwa na bus enzi zile stendi ipo Ubungo nilikuwa naelekea Dodoma na bus ya Al-Saedy tiketi iliandikwa safari inaanza saa 4:00 asubuhi nafika pale majira ya saa 3:50 asubuhi naambiwa gari imeshaondoka muda si mrefu nilivurugwa ikabidi nichukue namba za konda akaniambia hawako mbali nichukue bodaboda wao wataenda mdogomdogo, chap nikavuta bodaboda nikaanza kuifukuzia nilikuja kuipata kibaha bodaboda ananiambia gharama yake nilibaki hoi ni bora ningeongezea kidogo nipande bus nyingine ikawa mzozo ila konda akalipa kwa kumuahidi nikifika Dodoma nitamlipa maana pale sikuwa na kitu, nilipofika Dodoma nikamkimbia sikumlipa kitu.
Je wewe ilishawahi kukutokea tueleze ilivyokua ...
Mimi niliachwa na bus enzi zile stendi ipo Ubungo nilikuwa naelekea Dodoma na bus ya Al-Saedy tiketi iliandikwa safari inaanza saa 4:00 asubuhi nafika pale majira ya saa 3:50 asubuhi naambiwa gari imeshaondoka muda si mrefu nilivurugwa ikabidi nichukue namba za konda akaniambia hawako mbali nichukue bodaboda wao wataenda mdogomdogo, chap nikavuta bodaboda nikaanza kuifukuzia nilikuja kuipata kibaha bodaboda ananiambia gharama yake nilibaki hoi ni bora ningeongezea kidogo nipande bus nyingine ikawa mzozo ila konda akalipa kwa kumuahidi nikifika Dodoma nitamlipa maana pale sikuwa na kitu, nilipofika Dodoma nikamkimbia sikumlipa kitu.
Je wewe ilishawahi kukutokea tueleze ilivyokua ...