atujuze

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Yanayojiri Uchaguzi Mkuu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo 2023: Felix Tshisekedi atangazwa Mshindi wa Urais

    SERIKALI YAKATAA KURUDIA UCHAGUZI LICHA YA WAANGALIZI KUDAI KUNA UDANGANYIFU Kauli ya Serikali inakuja huku kukiwa na shinikizo la Wafuasi na Viongozi wa Upinzani kutaka Uchaguzi huo ufutwe kutokana na madai ya kuwepo kwa ukiukwaji wa Sheria na Uwazi ikiwe baadhi ya Vituo kutopiga Kura. Ripoti...
  2. Crocodiletooth

    Naomba kujuzwa kwa anayefahamu biashara ya hewa ukaa

    Naomba kujuzwa kwa anayefahamu biashara ya hewa ukaa atujuze hapa
  3. Hismastersvoice

    Anayejua kwanini Polisi jijini Mbeya jana Jumamosi 04/11 waliandamana atujuze

    Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu...
  4. T

    Ni Oktoba sasa anaeijua kinachoendelea kuhusu DP world atujuze

    Karibuni wanajamvi tupeane updates Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
  5. Wadiz

    Mwenye taarifa mpya alipo ndugu Lengai Sabaya kwa sasa atujuze

    Habari! Naomba yeyote mwenye update za ndugu yetu Kamanda mzalendo Lengai Ole Sabaya alipo na afya yake atujuze tafadhari. Shukrani 🙏🙏🙏 Wadiz
  6. Sildenafil Citrate

    Nape: Kampuni za Simu haziongezi bei za vifurushi bila idhini ya TCRA

    Baadhi ya nukuu za Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akizungumza kwenye kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TVE na EFM Radio leo Oktoba 17, 2022. Kuhusu kutishiwa Bastola Anaamini kuwa lilitokea kwa kusudi maalumu, na lilileta mafunzo makubwa kwake, waliopanga...
  7. Suzy Elias

    Aliyejua hatima ya ndugu yetu huyu atujuze

    Maisha ya ugomvi wakati mwingine ni ya kupuuza kabisa. Mwamba hapo juu kwa mfano sielewi hatima ya maisha yake hapo baadae ilikuwaje! Halafu huyo mgomvi wake kama vile alielekezwa kabisa mchezo ukimaliza hapa ugomvi umeshinda. Pole yake.
  8. EINSTEIN112

    Aliyemuelewa Kipanya atujuze

    Maana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka. Anataka kutueleza nini KP?
Back
Top Bottom