Moïse Katumbi Chapwe (French pronunciation: [mɔiz katœ̃bi]; born 28 December 1964) is a Congolese businessman and politician. He was Governor of Katanga Province, located in the southern part of the Democratic Republic of the Congo, from 2007 to September 2015. He was a member of the People's Party for Reconstruction and Democracy (PPRD) until September 2015. He has been described by The Economist as "probably the second most powerful man in the Democratic Republic of Congo after the president, Joseph Kabila". Jeune Afrique named him "African of the Year" in 2015.
Uchaguzi wa urais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) unakabiliwa na mgogoro wa uhalali kutokana na wito wa upinzani wa kufuta kura kutokana na udanganyifu uliodaiwa.
Wapinzani watano, ikiwa ni pamoja na aliyekuwa Gavana wa Mkoa Moise Katumbi, walisema Jumamosi kwamba kura hiyo haipaswi...
Moise Katumbi, mfanyabiashara tajiri wa nchini Kongo ambaye pia ni mwenyekiti wa klabu inayoongoza ya soka nchini humo ya TP Mazembe ni mpinzani wa muda mrefu anayewania urais katika uchaguzi wa 2023.
Maisha binafsi
Moïse Katumbi alizaliwa tarehe 28 Desemba 1964 sasa ana miaka 58. Mama yake ni...
SERIKALI YAKATAA KURUDIA UCHAGUZI LICHA YA WAANGALIZI KUDAI KUNA UDANGANYIFU
Kauli ya Serikali inakuja huku kukiwa na shinikizo la Wafuasi na Viongozi wa Upinzani kutaka Uchaguzi huo ufutwe kutokana na madai ya kuwepo kwa ukiukwaji wa Sheria na Uwazi ikiwe baadhi ya Vituo kutopiga Kura.
Ripoti...
Moise KATUMBI anachukua nchi mapema sana.
Sera zake za kurejesha amani na kujenga miundombinu ya maendeleo ndio silaha yake kuu.
Pia huyu jamaa anatumia Kiswahili katika kampeni zake, hii inafanya aweze kusikilizwa na wacongo katika majimbo yote.
Huko KISANGANI amefanya mafuriko haijawahi...
19 November 2023
Kuelekea uchaguzi mkuu nchini DR Congo nchi yenye utajiri mkubwa wa maliasili kama madini, uvunaji magogo ni watia nia wawili wa uRais ndiyo wanaoutia moto uchaguzi
https://m.youtube.com/watch?v=XzU9u6Y4bzg
Moïse Katumbi amewasiki Maniema na kupokelewa na umati mkubwa wa...
Jana nimepata wasaa wa kumsikikiza Ndugu Moise Katumbi Chapwe katika moja ya mahojiano ya hivi karibuni. Pamoja na kuzungumza mengi lakini mipango miwili ya amani na usalama wa chakula imenifurahisha sana.
Huyu bwana amepanga kumaliza vita mashariki ya DRC ndani ya miezi sita tu.
Pia anataka...
Niseme nini kuhusu Yanga Africa, niambieni niseme nini? Mpaka kesho najiuliza hivi inawezekana vipi kuwa shabiki wa soka bila kuipenda Yanga? Sijawahi kupata jibu.
Yanga ni furaha, Yanga ni upendo, Yanga ni kielelezo cha ladha halisi ya soka. Ifike hatua huyu Mayele tumtafutie jina lake maalumu...
Mwaka 1997 Aliyekuwa raisi wa Kongo mobutu aliwahi kusema kuwa ili Kongo ipate amani inahitaji kuongozwa na raisi mzungu.
Je, unafikiri moise katumbi atakuwa chaguo bora kwa wakongo mwaka 2023?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.